Unstate Bug
Member
- Aug 16, 2015
- 82
- 88
Yaan mie sijui analenga nini. Maana naona ana machafuko moyoni halafu alichoeka kwa maandishi ji tofauti na uhalisia.Point yako nini sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan mie sijui analenga nini. Maana naona ana machafuko moyoni halafu alichoeka kwa maandishi ji tofauti na uhalisia.Point yako nini sasa?
Ujumbe upo wazi anawasilisha kwa kutazama kabila. Ni kama wakati wa Hitler walivyofanya wachora vibonzo kwa wayahudi.Kwanza nadhani wewe ulivyoona kikundi fulani kimetajwa hujazingatia ujumbe
Mbona nayeye anasema hakuna hilo genge? Au unataka aseme kwamba hilo genge lipo
pole sana kuwa kwenye hilo kabila.Lars Vilks ni mchora katuni maarufu ambaye aliingiza dunia kwenye machafuko mpaka kutokea vifo na migogoro mikubwa baada ya kuchora katuni ya kumkashifu Mtume Muhammad SAW. Cartoonist huyu ambaye kwa sasa ni marehemu alifikia hapo baada ya kunyamaziwa kwa muda mrefu akaona anayo haki ya kuchora chochote na kudhalilisha yoyote kwa mgongo wa uhuru wa habari.
Hiki ndio ameanza kukifanya Masudi Kipanya anaetumia katuni zake kushambulia kabila la WASUKUMA. Tumkemee sasa kabla hajaamsha hisia za ukabila ambazo zinaenezwa sasa na wanasiasa wa Chadema na wachache ndani ya CCM. Mashambulizi dhidi ya kabila fulani hayapaswi kushabikiwa na mtu yoyote yule kwa maana kuna ku-fight back hapo ndio uja machafuko au kugawana fito.
Sukuma gang = Wasukuma
View attachment 2568357
Hiyo ni tafsiri yako? Sukuma genge maana yake Genge la Wasukuma? Lugha gani hiyo?Genge la WASUKUMA. Uhoni tatizo hapo kuaddress kabila?
Natafuta Kosa la Kipanya katika Hoja zako silioni, ila naona tu Chuki zako Kwake na Ujuha wako uliokutukuka.Lars Vilks ni mchora katuni maarufu ambaye aliingiza dunia kwenye machafuko mpaka kutokea vifo na migogoro mikubwa baada ya kuchora katuni ya kumkashifu Mtume Muhammad SAW. Cartoonist huyu ambaye kwa sasa ni marehemu alifikia hapo baada ya kunyamaziwa kwa muda mrefu akaona anayo haki ya kuchora chochote na kudhalilisha yoyote kwa mgongo wa uhuru wa habari.
Hiki ndio ameanza kukifanya Masudi Kipanya anaetumia katuni zake kushambulia kabila la WASUKUMA. Tumkemee sasa kabla hajaamsha hisia za ukabila ambazo zinaenezwa sasa na wanasiasa wa Chadema na wachache ndani ya CCM. Mashambulizi dhidi ya kabila fulani hayapaswi kushabikiwa na mtu yoyote yule kwa maana kuna ku-fight back hapo ndio uja machafuko au kugawana fito.
Sukuma gang = Wasukuma
View attachment 2568357
Bahati nzuri wasukuma sio magaidi kama wale wengineLars Vilks ni mchora katuni maarufu ambaye aliingiza dunia kwenye machafuko mpaka kutokea vifo na migogoro mikubwa baada ya kuchora katuni ya kumkashifu Mtume Muhammad SAW. Cartoonist huyu ambaye kwa sasa ni marehemu alifikia hapo baada ya kunyamaziwa kwa muda mrefu akaona anayo haki ya kuchora chochote na kudhalilisha yoyote kwa mgongo wa uhuru wa habari.
Hiki ndio ameanza kukifanya Masudi Kipanya anaetumia katuni zake kushambulia kabila la WASUKUMA. Tumkemee sasa kabla hajaamsha hisia za ukabila ambazo zinaenezwa sasa na wanasiasa wa Chadema na wachache ndani ya CCM. Mashambulizi dhidi ya kabila fulani hayapaswi kushabikiwa na mtu yoyote yule kwa maana kuna ku-fight back hapo ndio uja machafuko au kugawana fito.
Sukuma gang = Wasukuma
View attachment 2568357
Kosa ni kuaddress kabila la wasukuma, kuanza kupoint kabilas ni mwanzo wa chuki na uhasama. Anyways tangu nipate story zako kuwa wewe si rizki basi nakupuuza tu.Natafuta Kosa la Kipanya katika Hoja zako silioni, ila naona tu Chuki zako Kwake na Ujuha wako uliokutukuka.
Sukuma ni neno la kiswahili na halina maana ya kabilaSukuma ni kabila. Hakuna tafsiri mpya. Sioni afya ya kushambulia wasukuma. Masudi ameingia mtego mbaya sana.
Lugha pale ikulu ilikuwa kisukuma hata walinzi wengi walikuwa wasukuma hata kuna waziri alizungumza kisukuma live wabeja babaKama msukuma kuwa rais ni kuleta ukabila ni sawa. Acha tuone kinachofata.
Wanaposhambuliwa Wachaga huwa unajidai hujui kusoma?Au wengine wakiitwa nyumbu unafurahi?Furahi tena.Kwani sukuma maana yake siyo kulazimisha kitu bila akili ili kijongee? 😂Tuache kushambulia kabila fulani kwa sababu zozote zile. Ni hatari kuna kuchoka na kujibu mashambulizi.