Masudi Kipanya akemewe kabla hajaleta machafuko kama Lars Vilks

Masudi Kipanya akemewe kabla hajaleta machafuko kama Lars Vilks

Hiko kikaragosi chenye suti ya blue ni yule Mchungaji wa kudeal na misukule.
Halafu acha ujinga wakusema CHADEMA ndio wanahusika na "neno"

Sukuma Gang huu mziki mnauimba huko huko ccm na mnaucheza vizuri sana.
 
Kwanza nadhani wewe ulivyoona kikundi fulani kimetajwa hujazingatia ujumbe
Mbona nayeye anasema hakuna hilo genge? Au unataka aseme kwamba hilo genge lipo
Ujumbe upo wazi anawasilisha kwa kutazama kabila. Ni kama wakati wa Hitler walivyofanya wachora vibonzo kwa wayahudi.
 
Yaan mie sijui analenga nini. Maana naona ana machafuko moyoni halafu alichoeka kwa maandishi ji tofauti na uhalisia.
Rwanda kuna kabila liliitwa mende. Una address kabila unaibua hisia. Hisia ni ngumu kudhibiti.
 
Lars Vilks ni mchora katuni maarufu ambaye aliingiza dunia kwenye machafuko mpaka kutokea vifo na migogoro mikubwa baada ya kuchora katuni ya kumkashifu Mtume Muhammad SAW. Cartoonist huyu ambaye kwa sasa ni marehemu alifikia hapo baada ya kunyamaziwa kwa muda mrefu akaona anayo haki ya kuchora chochote na kudhalilisha yoyote kwa mgongo wa uhuru wa habari.

Hiki ndio ameanza kukifanya Masudi Kipanya anaetumia katuni zake kushambulia kabila la WASUKUMA. Tumkemee sasa kabla hajaamsha hisia za ukabila ambazo zinaenezwa sasa na wanasiasa wa Chadema na wachache ndani ya CCM. Mashambulizi dhidi ya kabila fulani hayapaswi kushabikiwa na mtu yoyote yule kwa maana kuna ku-fight back hapo ndio uja machafuko au kugawana fito.

Sukuma gang = Wasukuma

View attachment 2568357
pole sana kuwa kwenye hilo kabila.
 
Hiyo ni tafsiri yako? Sukuma genge maana yake Genge la Wasukuma? Lugha gani hiyo?
Sukuma ni kabila. Hakuna tafsiri mpya. Sioni afya ya kushambulia wasukuma. Masudi ameingia mtego mbaya sana.
 
Lars Vilks ni mchora katuni maarufu ambaye aliingiza dunia kwenye machafuko mpaka kutokea vifo na migogoro mikubwa baada ya kuchora katuni ya kumkashifu Mtume Muhammad SAW. Cartoonist huyu ambaye kwa sasa ni marehemu alifikia hapo baada ya kunyamaziwa kwa muda mrefu akaona anayo haki ya kuchora chochote na kudhalilisha yoyote kwa mgongo wa uhuru wa habari.

Hiki ndio ameanza kukifanya Masudi Kipanya anaetumia katuni zake kushambulia kabila la WASUKUMA. Tumkemee sasa kabla hajaamsha hisia za ukabila ambazo zinaenezwa sasa na wanasiasa wa Chadema na wachache ndani ya CCM. Mashambulizi dhidi ya kabila fulani hayapaswi kushabikiwa na mtu yoyote yule kwa maana kuna ku-fight back hapo ndio uja machafuko au kugawana fito.

Sukuma gang = Wasukuma

View attachment 2568357
Natafuta Kosa la Kipanya katika Hoja zako silioni, ila naona tu Chuki zako Kwake na Ujuha wako uliokutukuka.
 
Lars Vilks ni mchora katuni maarufu ambaye aliingiza dunia kwenye machafuko mpaka kutokea vifo na migogoro mikubwa baada ya kuchora katuni ya kumkashifu Mtume Muhammad SAW. Cartoonist huyu ambaye kwa sasa ni marehemu alifikia hapo baada ya kunyamaziwa kwa muda mrefu akaona anayo haki ya kuchora chochote na kudhalilisha yoyote kwa mgongo wa uhuru wa habari.

Hiki ndio ameanza kukifanya Masudi Kipanya anaetumia katuni zake kushambulia kabila la WASUKUMA. Tumkemee sasa kabla hajaamsha hisia za ukabila ambazo zinaenezwa sasa na wanasiasa wa Chadema na wachache ndani ya CCM. Mashambulizi dhidi ya kabila fulani hayapaswi kushabikiwa na mtu yoyote yule kwa maana kuna ku-fight back hapo ndio uja machafuko au kugawana fito.

Sukuma gang = Wasukuma

View attachment 2568357
Bahati nzuri wasukuma sio magaidi kama wale wengine
 
Natafuta Kosa la Kipanya katika Hoja zako silioni, ila naona tu Chuki zako Kwake na Ujuha wako uliokutukuka.
Kosa ni kuaddress kabila la wasukuma, kuanza kupoint kabilas ni mwanzo wa chuki na uhasama. Anyways tangu nipate story zako kuwa wewe si rizki basi nakupuuza tu.
 
Back
Top Bottom