Masudi Kipanya akemewe kabla hajaleta machafuko kama Lars Vilks

Masudi Kipanya akemewe kabla hajaleta machafuko kama Lars Vilks

Mtoa mada Kipanya kaongelea Sukuma genge (kikundi) na si kabila la wasukuma
Sukuma gang ni lugha inayotumiwa na Chadema na wanasiasa wengine kumaanisha mtu wa kabila la wasukuma. Masudi kawalenga wasukuma.
 
Lars Vilks ni mchora katuni maarufu ambaye aliingiza dunia kwenye machafuko mpaka kutokea vifo na migogoro mikubwa baada ya kuchora katuni ya kumkashifu Mtume Muhammad SAW. Cartoonist huyu ambaye kwa sasa ni marehemu alifikia hapo baada ya kunyamaziwa kwa muda mrefu akaona anayo haki ya kuchora chochote na kudhalilisha yoyote kwa mgongo wa uhuru wa habari.

Hiki ndio ameanza kukifanya Masudi Kipanya anaetumia katuni zake kushambulia kabila la WASUKUMA. Tumkemee sasa kabla hajaamsha hisia za ukabila ambazo zinaenezwa sasa na wanasiasa wa Chadema na wachache ndani ya CCM. Mashambulizi dhidi ya kabila fulani hayapaswi kushabikiwa na mtu yoyote yule kwa maana kuna ku-fight back hapo ndio uja machafuko au kugawana fito.

Sukuma gang = Wasukuma

View attachment 2568357
Mwangaluka Mayo, ulimwola?......
 
Acheni kutengeneza utengano wasukuma wangapi wapo chadema mfano angalia kula alizo pata upendo chato zile walipiga wachaga au
 
Tuache kushambulia kabila fulani kwa sababu zozote zile. Ni hatari kuna kuchoka na kujibu mashambulizi.

Limeshambuliwa genge au kabila?. Maana kasema Hakuna Sukuma genge. Inaonekana hujaelewa kilichobaki andikwa.
 
Bongo kwakweli hiyo sio ishu kabisa maana tunataniana mnoo
Hapana huu si utani, huu ni ubaguzi na muendelezo wa mashambulizi kwa wasukuma. Ni wapole ila kuna siku watachoka watajibu.
 
Lars Vilks ni mchora katuni maarufu ambaye aliingiza dunia kwenye machafuko mpaka kutokea vifo na migogoro mikubwa baada ya kuchora katuni ya kumkashifu Mtume Muhammad SAW. Cartoonist huyu ambaye kwa sasa ni marehemu alifikia hapo baada ya kunyamaziwa kwa muda mrefu akaona anayo haki ya kuchora chochote na kudhalilisha yoyote kwa mgongo wa uhuru wa habari.

Hiki ndio ameanza kukifanya Masudi Kipanya anaetumia katuni zake kushambulia kabila la WASUKUMA. Tumkemee sasa kabla hajaamsha hisia za ukabila ambazo zinaenezwa sasa na wanasiasa wa Chadema na wachache ndani ya CCM. Mashambulizi dhidi ya kabila fulani hayapaswi kushabikiwa na mtu yoyote yule kwa maana kuna ku-fight back hapo ndio uja machafuko au kugawana fito.

Sukuma gang = Wasukuma

View attachment 2568357
Sukuma Gange sio?
 
Sukuma ndio kabila kubwa, lenye heshima na wapambanaji. Wape pole Chadema na wanasiasa wengine wanaoangaika kuwachafua maana sioni watachofaulu.

Mkabila mkubwa Sana wewe. Unahangaika na CHADEMA ili kuwagombanisha na wasukumuka. Hutafanikiwa na hiyo roho yako mbaya.
 
Sukuma ni kabila. Hakuna tafsiri mpya. Sioni afya ya kushambulia wasukuma. Masudi ameingia mtego mbaya sana.

Amemshambulia msukuma gani kwa kusema Hakuna Sukuma genge?. Wewe ulitaka usikie lipo Sukuma gang ndio hufurahie maana mnautukuza ukabila utadhani Nini.
 
Back
Top Bottom