Ila akiandikwa mchaga ni tatizo?
..haina tatizo.
..wachaga wameandamwa na kila awamu ya uongozi mbona wao wanavumilia na maisha yanasonga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila akiandikwa mchaga ni tatizo?
Sawa how far did you get??Wasukuma ni watanzania hawazuiwi kuzungumza kisukuma.
Are pulling my legs??Aisee hiyo nayo maajabu ya washambaKuna mbunge mmoja akataka kisukuma kiwe Lugha ya biashara Tanzania. Nilishangaa Sana. Akaleta kabisa maoni bungeni.
Nakazia ingekuwa biashara ya kuuza ujinga au biashara ya ngombe??Kwenye mnada chato lazima kisukuma au ilikuwa Dar exchange selling stock futures in kisukuma??Thought we had gone down the drain but didn’t know we were already in the gutterKuna mbunge mmoja akataka kisukuma kiwe Lugha ya biashara Tanzania. Nilishangaa Sana. Akaleta kabisa maoni bungeni.
Sijaona ukabila wowote hapoLars Vilks ni mchora katuni maarufu ambaye aliingiza dunia kwenye machafuko mpaka kutokea vifo na migogoro mikubwa baada ya kuchora katuni ya kumkashifu Mtume Muhammad SAW. Cartoonist huyu ambaye kwa sasa ni marehemu alifikia hapo baada ya kunyamaziwa kwa muda mrefu akaona anayo haki ya kuchora chochote na kudhalilisha yoyote kwa mgongo wa uhuru wa habari.
Hiki ndio ameanza kukifanya Masudi Kipanya anaetumia katuni zake kushambulia kabila la WASUKUMA. Tumkemee sasa kabla hajaamsha hisia za ukabila ambazo zinaenezwa sasa na wanasiasa wa Chadema na wachache ndani ya CCM. Mashambulizi dhidi ya kabila fulani hayapaswi kushabikiwa na mtu yoyote yule kwa maana kuna ku-fight back hapo ndio uja machafuko au kugawana fito.
Sukuma gang = Wasukuma
View attachment 2568357
Naunga mkono hoja,huyu kazidi.Lars Vilks ni mchora katuni maarufu ambaye aliingiza dunia kwenye machafuko mpaka kutokea vifo na migogoro mikubwa baada ya kuchora katuni ya kumkashifu Mtume Muhammad SAW. Cartoonist huyu ambaye kwa sasa ni marehemu alifikia hapo baada ya kunyamaziwa kwa muda mrefu akaona anayo haki ya kuchora chochote na kudhalilisha yoyote kwa mgongo wa uhuru wa habari.
Hiki ndio ameanza kukifanya Masudi Kipanya anaetumia katuni zake kushambulia kabila la WASUKUMA. Tumkemee sasa kabla hajaamsha hisia za ukabila ambazo zinaenezwa sasa na wanasiasa wa Chadema na wachache ndani ya CCM. Mashambulizi dhidi ya kabila fulani hayapaswi kushabikiwa na mtu yoyote yule kwa maana kuna ku-fight back hapo ndio uja machafuko au kugawana fito.
Sukuma gang = Wasukuma
View attachment 2568357
Sukuma gang lazima wapigwe vita kutoka pande zote, walijiamini wanaiburuza nchi(zama za Mwendawazimu) lakini alipodanja aliyekuwa nyapara mkuu na mirija yao ya asali ikazibwa wameamua kuharibu kila kitu kuanzia serikali mpaka opposition parties yaani hawaelewi hata wasimame wapi.Lars Vilks ni mchora katuni maarufu ambaye aliingiza dunia kwenye machafuko mpaka kutokea vifo na migogoro mikubwa baada ya kuchora katuni ya kumkashifu Mtume Muhammad SAW. Cartoonist huyu ambaye kwa sasa ni marehemu alifikia hapo baada ya kunyamaziwa kwa muda mrefu akaona anayo haki ya kuchora chochote na kudhalilisha yoyote kwa mgongo wa uhuru wa habari.
Hiki ndio ameanza kukifanya Masudi Kipanya anaetumia katuni zake kushambulia kabila la WASUKUMA. Tumkemee sasa kabla hajaamsha hisia za ukabila ambazo zinaenezwa sasa na wanasiasa wa Chadema na wachache ndani ya CCM. Mashambulizi dhidi ya kabila fulani hayapaswi kushabikiwa na mtu yoyote yule kwa maana kuna ku-fight back hapo ndio uja machafuko au kugawana fito.
Sukuma gang = Wasukuma
View attachment 2568357
Hata Ndugai pia ni Sukuma gang lakini si Msukuma.Mtoa mada wewe ni mgonjwa. Maana ya Sukuma Gang imefafsnuliwa mara kadhaa humu humu na ikaeleweka. Kwani Kabudi ni Msukuma, vipi Lukuvi na Bashiri.
Haiwi tatizo.Ila akiandikwa mchaga ni tatizo?
Kama hakuna watakachofaulu sasa unalialia nini?Sukuma ndio kabila kubwa, lenye heshima na wapambanaji. Wape pole Chadema na wanasiasa wengine wanaoangaika kuwachafua maana sioni watachofaulu.
CHADEMA ndiyo wamechora hicho kibonzo?Why wasukuma? Why not wachaga wapare wamakonde wahehe?
Acheni ubaguzi Chadema.
Hakuna tatizo kama ambavyo hakuna tatizo Wasukuma kuwa Sukuma gang.Kwani wachaga kuwa Chadema kuna tatizo gani?
Hii mbona kama ni weye wafanya upotoshaji na uchonganishai?Lars Vilks ni mchora katuni maarufu ambaye aliingiza dunia kwenye machafuko mpaka kutokea vifo na migogoro mikubwa baada ya kuchora katuni ya kumkashifu Mtume Muhammad SAW. Cartoonist huyu ambaye kwa sasa ni marehemu alifikia hapo baada ya kunyamaziwa kwa muda mrefu akaona anayo haki ya kuchora chochote na kudhalilisha yoyote kwa mgongo wa uhuru wa habari.
Hiki ndio ameanza kukifanya Masudi Kipanya anaetumia katuni zake kushambulia kabila la WASUKUMA. Tumkemee sasa kabla hajaamsha hisia za ukabila ambazo zinaenezwa sasa na wanasiasa wa Chadema na wachache ndani ya CCM. Mashambulizi dhidi ya kabila fulani hayapaswi kushabikiwa na mtu yoyote yule kwa maana kuna ku-fight back hapo ndio uja machafuko au kugawana fito.
Sukuma gang = Wasukuma
View attachment 2568357
Kiswahili chake ni cha ngumbaru, tokea mwanzo anaandika kama ameshia darasa la pili B. Nadhani pia huo uandishi wake mbovu unaakisi upeo wake wa akili.ahoni tatizo huyo muache tu [emoji16][emoji16][emoji16]eti uhoni nyiee [emoji16][emoji16]
Hizi ni hisia zako tu.Lars Vilks ni mchora katuni maarufu ambaye aliingiza dunia kwenye machafuko mpaka kutokea vifo na migogoro mikubwa baada ya kuchora katuni ya kumkashifu Mtume Muhammad SAW. Cartoonist huyu ambaye kwa sasa ni marehemu alifikia hapo baada ya kunyamaziwa kwa muda mrefu akaona anayo haki ya kuchora chochote na kudhalilisha yoyote kwa mgongo wa uhuru wa habari.
Hiki ndio ameanza kukifanya Masudi Kipanya anaetumia katuni zake kushambulia kabila la WASUKUMA. Tumkemee sasa kabla hajaamsha hisia za ukabila ambazo zinaenezwa sasa na wanasiasa wa Chadema na wachache ndani ya CCM. Mashambulizi dhidi ya kabila fulani hayapaswi kushabikiwa na mtu yoyote yule kwa maana kuna ku-fight back hapo ndio uja machafuko au kugawana fito.
Sukuma gang = Wasukuma
View attachment 2568357
Alichofanya Kipanya ni kidogo kuliko ulichokifanya wewe!!🤔🤔🤔
Wewe Itakuwa msukumaGenge la WASUKUMA. Uhoni tatizo hapo kuaddress kabila?