Katika hali ambayo hakuitegemea, bwana Joe Biden kajikuta akibananishwa na wapenda haki kanisani:
View: https://www.bbc.com/news/av/world-us-canada-67886694
Kwamba kalazimika kukiri kuwa hata yeye kukereka na kuwa anapambana na Natenyahu, usiku na mchana akimtaka aondoke Gaza?
Kwa hakika yahitaji upofu wa macho na mawazo uliopitiliza kushindwa kuuona udhwalimu wa wazi wa mwislael Gaza.
Sehemu pekee ambayo Israel inapata ugwaji mkono wa uovu wake ni kutoka warokole wakiafirica walio jaa upumbavu vichwani lakini wakiristo wengine wenye akili duniani kote wanapinga vitendo vya Israel.
Ukiona mtu yeyote ana unga mkono vitendo vya Israel dhidi ya wapalestina eti kwa msingi wa taifa teule katika dunia hii iliyo sitaarabika basi jua ana kasoro kubwa kutoka katika ubinadamu wake na anastahili kuitwa mnyama.
Marekani itaendeleza uuzwaji wa ammo kwa Israel na utoaji wa silaha za kuipiga Gaza wakati Biden anaendelea "kusikitishwa" na matendo ya Netanyahu.
Hapa tiyari Biden kashacheza na akili za mito ya pombe, ziko zinashangilia kwamba Biden kaachana na Israel sasa yuko upande wa Gaza. Shauri zenu
Swala sio kuachana na gaza swala ni haki za binadamu za wakristo na waislamu wa parestinaMarekani itaendeleza uuzwaji wa ammo kwa Israel na utoaji wa silaha za kuipiga Gaza wakati Biden anaendelea "kusikitishwa" na matendo ya Netanyahu.
Hapa tiyari Biden kashacheza na akili za mito ya pombe, ziko zinashangilia kwamba Biden kaachana na Israel sasa yuko upande wa Gaza. Shauri zenu
Halafu anapeleka mabilion na military installation eti anaongea na Netanyahu
Umesikia alivyosema, rudia tena uone unachokisema si alichomaliza nacho.Itakuwa habari mbaya sana hii kwa kina MK254 na Ile mifia dini uchwara mingine
Umesikia alivyosema, rudia tena uone unachokisema si alichomaliza nacho. View attachment 2866252
Katika hali ambayo hakuitegemea, bwana Joe Biden kajikuta akibananishwa na wapenda haki kanisani:
Kwamba kalazimika kukiri kuwa hata yeye kukereka na kuwa anapambana na Natenyahu, usiku na mchana akimtaka aondoke Gaza?
Kwa hakika yahitaji upofu wa macho na mawazo uliopitiliza kushindwa kuuona udhwalimu wa wazi wa mwislael Gaza.
Unaikumbuka October 7? Unaunga mkono mashambulizi waliyofanya Hamas?Sehemu pekee ambayo Israel inapata ugwaji mkono wa uovu wake ni kutoka warokole wakiafirica walio jaa upumbavu vichwani lakini wakiristo wengine wenye akili duniani kote wanapinga vitendo vya Israel.
Ukiona mtu yeyote ana unga mkono vitendo vya Israel dhidi ya wapalestina eti kwa msingi wa taifa teule katika dunia hii iliyo sitaarabika basi jua ana kasoro kubwa kutoka katika ubinadamu wake na anastahili kuitwa mnyama.
Mmekimbilia huku 🤣🤣🤣🤣🤣
Unaikumbuka October 7? Unaunga mkono mashambulizi waliyofanya Hamas?
Sometimes nikiwa hapa jamiiforum huwa nakuwa na ushabiki wa mada na comment za baadhi ya wasomaji Ila nikirudi home nikiwa naangalia Al Jazeera huwa moyo unaumia Sana hasa nikiona watoto wadogo wenye umri kama wanangu wakifa Kwa mabomu..Sehemu pekee ambayo Israel inapata ugwaji mkono wa uovu wake ni kutoka warokole wakiafirica walio jaa upumbavu vichwani lakini wakiristo wengine wenye akili duniani kote wanapinga vitendo vya Israel.
Ukiona mtu yeyote ana unga mkono vitendo vya Israel dhidi ya wapalestina eti kwa msingi wa taifa teule katika dunia hii iliyo sitaarabika basi jua ana kasoro kubwa kutoka katika ubinadamu wake na anastahili kuitwa mnyama.
Thubutuuuu njia pekee yakudeal na israhell ni kupambana nae ingawaje wanaumiaSometimes nikiwa hapa jamiiforum huwa nakuwa na ushabiki wa mada na comment za baadhi ya wasomaji Ila nikirudi home nikiwa naangalia Al Jazeera huwa moyo unaumia Sana hasa nikiona watoto wadogo wenye umri kama wanangu wakifa Kwa mabomu..
Hawa HAMAS wangerudisha hao mateka pengine Israel angeweza kupiga tena Gaza
Kwamba ammo za israhell zimemalizwa na hamas kwa miezi mitatu tu ndani ya ghazaMarekani itaendeleza uuzwaji wa ammo kwa Israel na utoaji wa silaha za kuipiga Gaza wakati Biden anaendelea "kusikitishwa" na matendo ya Netanyahu.
Hapa tiyari Biden kashacheza na akili za mito ya pombe, ziko zinashangilia kwamba Biden kaachana na Israel sasa yuko upande wa Gaza. Shauri zenu
Kumbe akili za mito ya pombe zinaingiaga kanisani kuabudu?Marekani itaendeleza uuzwaji wa ammo kwa Israel na utoaji wa silaha za kuipiga Gaza wakati Biden anaendelea "kusikitishwa" na matendo ya Netanyahu.
Hapa tiyari Biden kashacheza na akili za mito ya pombe, ziko zinashangilia kwamba Biden kaachana na Israel sasa yuko upande wa Gaza. Shauri zenu