Maswahiba wa Gaza ana kwa ana na rais Biden

Maswahiba wa Gaza ana kwa ana na rais Biden

Unaikumbuka October 7? Unaunga mkono mashambulizi waliyofanya Hamas?
Kwani Israel imeanza kuuwa na kutesa wapalestina baada ya hiyo October 7?
Tukio la October 7 ni matokeo ya vitendo vya Israel viovu na visivyo vumilika dhidi ya wapalestina, katibu wa umoja wa mataifa alisha lisema.
Hata wanasiasa ndani ya Israel yenyewe wanakili kuwa sera za kikatili za Netanyau dhidi ya wapalestina ndo zimechochea shambulizi hilo.

Na Israel isipo badilisha sera yake dhidi ya wapalestina basi jua matukio haya yataendea sana tu miaka ijayo maana hakuna binadamu mwenye akili timamu ambaye anaweza kuvumilia mambo yanayo fanywa Israel dhidi ya wapalestina.

%70 ya wapalestina wanaishi kwenye kambi za wakimbizi baada ya kufukuzwa kwenye nyumba zao na mashamba yao na serikali ya Israel na kuwapatia walowezi wa kiyahudi wanao hamia nchini humo kutoka sehemu mbali mbali duniani.

Maeneo yote yaliyo shambuliwa na Hamas October 7 na maeneo yote yanayo itwa kusini mwa Israel ni maeneo ya wapalestina walifukuzwa na wakaenda kuwarundika hapo gaza hivi hata kama ungekuwa ww ungeweza kuvimilia mambo ya aina hiyo?
 
Sometimes nikiwa hapa jamiiforum huwa nakuwa na ushabiki wa mada na comment za baadhi ya wasomaji Ila nikirudi home nikiwa naangalia Al Jazeera huwa moyo unaumia Sana hasa nikiona watoto wadogo wenye umri kama wanangu wakifa Kwa mabomu..
Hawa HAMAS wangerudisha hao mateka pengine Israel angeweza kupiga tena Gaza

Israel hawezi kuacha vita bila ya kuwakamata au kuwauwa Hawa kwenye list:

Hamas: Who are the group's most prominent leaders?

Huko ndiko anakoita dismantling of HAMAS.
 
Sometimes nikiwa hapa jamiiforum huwa nakuwa na ushabiki wa mada na comment za baadhi ya wasomaji Ila nikirudi home nikiwa naangalia Al Jazeera huwa moyo unaumia Sana hasa nikiona watoto wadogo wenye umri kama wanangu wakifa Kwa mabomu..
Hawa HAMAS wangerudisha hao mateka pengine Israel angeweza kupiga tena Gaza
Israel haijaanza kuuwa na kutesa wapalestina baada ya hao mateka na wala haitaacha uwauwa na kuwatesa baada ya kuwaachia mateka.
 
Sehemu pekee ambayo Israel inapata ugwaji mkono wa uovu wake ni kutoka warokole wakiafirica walio jaa upumbavu vichwani lakini wakiristo wengine wenye akili duniani kote wanapinga vitendo vya Israel.
Ukiona mtu yeyote ana unga mkono vitendo vya Israel dhidi ya wapalestina eti kwa msingi wa taifa teule katika dunia hii iliyo sitaarabika basi jua ana kasoro kubwa kutoka katika ubinadamu wake na anastahili kuitwa mnyama.
Tar7 October Hamas waliua waisrael zaidi ya 1200, hilo jambo unalichukuliaje!?
 
Tar7 October Hamas waliua waisrael zaidi ya 1200, hilo jambo unalichukuliaje!?

Maji maji, Mau Mau mau na vya namna hiyo walikufa walowezi kadhaa na vibaraka wao. Hilo nalo walichukulia je?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hii ndiyo tafsiri kamili ya kitabuni - "kukaza ubongo."

Unajua ninakua quoted maeneo karibu mia kila baada ya dakika chache, hivyo huwa sipotezi muda kujibu kil anayenitag au quote, hususan nyie mazombi wa dini ile huwa nawajibu moja kwa moja kabla hata sijaangalia sababu za kunitag.
 
Unajua ninakua quoted maeneo karibu mia kila baada ya dakika chache, hivyo huwa sipotezi muda kujibu kil anayenitag au quote, hususan nyie mazombi wa dini ile huwa nawajibu moja kwa moja kabla hata sijaangalia sababu za kunitag.

Ulichoandika hapo ndiyo u zombie wenyewe
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Ulichoandika hapo ndiyo u zombie wenyewe

Hebu naomba unidhihirishie uwepo wa 'mungu' ambaye husababisha mfanye haya maukatili yenu
 
Hebu naomba unidhihirishie uwepo wa 'mungu' ambaye husababisha mfanye haya maukatili yenu

Kulikoni kudhani yupo asomaye utopolo wako ndugu?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Tar7 October Hamas waliua waisrael zaidi ya 1200, hilo jambo unalichukuliaje!?
Hiyo hoja yenu ya October 7 ni hoja ya kipumbavu sana kwa sababu Israel haijaanza kuuwa na kutesa wapalestina baada ya October 7, Israel kaanza kuwafanyia ubaya wapalestina kabla hata hiyo hamas yenyewe haijaanzishwa.

Kiufupi Israel anacho fanya kwa wapalestina ni ni mambo yasiyo faa kakita dunia ya karne ya 21 iliyo sitaarabika.

Ww kama unaona ni haki kwa Israel kufanya mauaji ya watoto na wanawake kwa kisingizio cha kulipa kisasi cha mauaji ya siku moja ya hamas mbona hukuona haki ya Hamas ya kufanya mauaji ya October 7 kama malipo kwa maelfu kwa maelfu ya Wapalestina walio uawa na kuteswa kwa miaka 75?

Nyinyi mkikatiwa umeme kwa masaa 6 tu mnashinda humu mishipa imewasimama na kutoa matusi ya kila aina dhidi ya CCM sembuse wapalestina walio uliwa ndugu zao ,wakanyanganywa ardhi zao ,warundikwa kwenye makambi ya wakimbizi ,wanao fungwa magerezani bila sababu?

Au tuseme sawa Israel ina lipa je ww jambazi anaye ishi mtaani kwenu akienda akafanya uharifu basi ni sawa kwa polisi kuja mtaani kwenu na kuanza kuuwa kila mtu kwa kisingizio cha kumtafuta huyo jambazi?


Hii tabia yenu ya kupuuza mateso ya wanadamu wenzenu kisa nyinyi mnaishi vizuri kwenye nchi yenu ni tabia moja ya kipumbavu na isiyo ya kibinadamu, mnapo kuwa mnashabikia matatizo ya watu wengine mkumbuke kuwa hata nyinyi ipo siku mnaweza jikuta kwenye matatizo hayo hayo wanayo yapitia wenzenu sasa sijui mkija kusikia watu wanashangilia matatizo mnayo pitia mtajisikiaje.



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo hoja yenu ya October 7 ni hoja ya kipumbavu sana kwa sababu Israel haijaanza kuuwa na kutesa wapalestina baada ya October 7, Israel kaanza kuwafanyia ubaya wapalestina kabla hata hiyo hamas yenyewe haijaanzishwa.

Kiufupi Israel anacho fanya kwa wapalestina ni ni mambo yasiyo faa kakita dunia ya karne ya 21 iliyo sitaarabika.

Ww kama unaona ni haki kwa Israel kufanya mauaji ya watoto na wanawake kwa kisingizio cha kulipa kisasi cha mauaji ya siku moja ya hamas mbona hukuona haki ya Hamas ya kufanya mauaji ya October 7 kama malipo kwa maelfu kwa maelfu ya Wapalestina walio uawa na kuteswa kwa miaka 75?

Nyinyi mkikatiwa umeme kwa masaa 6 tu mnashinda humu mishipa imewasimama na kutoa matusi ya kila aina dhidi ya CCM sembuse wapalestina walio uliwa ndugu zao ,wakanyanganywa ardhi zao ,warundikwa kwenye makambi ya wakimbizi ,wanao fungwa magerezani bila sababu?

Au tuseme sawa Israel ina lipa je ww jambazi anaye ishi mtaani kwenu akienda akafanya uharifu basi ni sawa kwa polisi kuja mtaani kwenu na kuanza kuuwa kila mtu kwa kisingizio cha kumtafuta huyo jambazi?


Hii tabia yenu ya kupuuza mateso ya wanadamu wenzenu kisa nyinyi mnaishi vizuri kwenye nchi yenu ni tabia moja ya kipumbavu na isiyo ya kibinadamu, mnapo kuwa mnashabikia matatizo ya watu wengine mkumbuke kuwa hata nyinyi ipo siku mnaweza jikuta kwenye matatizo hayo hayo wanayo yapitia wenzenu sasa sijui mkija kusikia watu wanashangilia matatizo mnayo pitia mtajisikiaje.



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Wafuasi uchwara wa TB Yoshua hawawezi kukuelewa, wanaubishi wa kuchanjiwa.
 
Kulikoni kudhani yupo asomaye utopolo wako ndugu?

Hehehe nani asiyesoma, tena ninapata maelfu ya views per day
kwa sasa nimewakusanya nyote mje kwa huu uzi huku mnihidhirishie uwepo wa huyo allah wenu ambaye husababisha mchinje watu
Tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wenu anayesababisha mzike waafrika wenzenu wakiwa hai na kuchinja wengine.....
 
Hiyo hoja yenu ya October 7 ni hoja ya kipumbavu sana kwa sababu Israel haijaanza kuuwa na kutesa wapalestina baada ya October 7, Israel kaanza kuwafanyia ubaya wapalestina kabla hata hiyo hamas yenyewe haijaanzishwa.

Kiufupi Israel anacho fanya kwa wapalestina ni ni mambo yasiyo faa kakita dunia ya karne ya 21 iliyo sitaarabika.

Ww kama unaona ni haki kwa Israel kufanya mauaji ya watoto na wanawake kwa kisingizio cha kulipa kisasi cha mauaji ya siku moja ya hamas mbona hukuona haki ya Hamas ya kufanya mauaji ya October 7 kama malipo kwa maelfu kwa maelfu ya Wapalestina walio uawa na kuteswa kwa miaka 75?

Nyinyi mkikatiwa umeme kwa masaa 6 tu mnashinda humu mishipa imewasimama na kutoa matusi ya kila aina dhidi ya CCM sembuse wapalestina walio uliwa ndugu zao ,wakanyanganywa ardhi zao ,warundikwa kwenye makambi ya wakimbizi ,wanao fungwa magerezani bila sababu?

Au tuseme sawa Israel ina lipa je ww jambazi anaye ishi mtaani kwenu akienda akafanya uharifu basi ni sawa kwa polisi kuja mtaani kwenu na kuanza kuuwa kila mtu kwa kisingizio cha kumtafuta huyo jambazi?


Hii tabia yenu ya kupuuza mateso ya wanadamu wenzenu kisa nyinyi mnaishi vizuri kwenye nchi yenu ni tabia moja ya kipumbavu na isiyo ya kibinadamu, mnapo kuwa mnashabikia matatizo ya watu wengine mkumbuke kuwa hata nyinyi ipo siku mnaweza jikuta kwenye matatizo hayo hayo wanayo yapitia wenzenu sasa sijui mkija kusikia watu wanashangilia matatizo mnayo pitia mtajisikiaje.



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mzeebaba, kitu unatafaa kuelewa ni kwamba hakuna mtu anafurahia vifo vya watu wasio na hatia. Mtu bora ni yule anayelaani kitendo cha Hamas kuuwa watu 1200 na pia kulaani Israel kuendelea kuuwa watu kule Gaza.
Upumbavu mlionao wengi ni kwamba mnataka Hamas wauwe tu ila Israel akiua mnaona anaonea wanawake na watoto. Kwani Hamas walivyoenda kuuwa kule Israel walichagua na kuwaacha hao wanawake na watoto?

Ikiwa wewe unafurahia kitendo cha Hamas kuuwa huna tofauti na wanaofurahia Israel kuuwa. Wote ni wapumbavu tu hamna namna ya wewe kujitoa kwenye hilo kundi la wapumbavu.
 
Back
Top Bottom