- Thread starter
- #41
Hehehe nani asiyesoma, tena ninapata maelfu ya views per day
kwa sasa nimewakusanya nyote mje kwa huu uzi huku mnihidhirishie uwepo wa huyo allah wenu ambaye husababisha mchinje watu
Tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wenu anayesababisha mzike waafrika wenzenu wakiwa hai na kuchinja wengine.....
Umuue binadamu mwenzako kwa mawe kisa dini, halafu uje kugundua huyo 'Mungu' wako hayuko!
Unamzika mtu akiwa hai, tena kwa ukatili, yote hii kisa sheria za kidini, halafu ukifa uje kushangaa huyo ambaye umekuwa ukimuabudu na kusababisha ufanye ukatili mengi kumbe siye. Mimi japo ni muumini wa uwepo wa Mungu, lakini haya masuala ya kiimani ni ya mtu binafsi na wala sina uwezo wa...www.jamiiforums.com
Kama ni viewers, kumbe jikite kwenye nyuzi za pinde au milo ya kimasikhara huko.