Maswahiba wa Gaza ana kwa ana na rais Biden

Kweli kabisa, hii vita watu wanachagua upande kwa kigezo cha dini. Kuna mtu wa ovyo kabisa humu anaitwa Faiza, huyu ndo bure kabisa.
 
Kweli kabisa, hii vita watu wanachagua upande kwa kigezo cha dini. Kuna mtu wa ovyo kabisa humu anaitwa Faiza, huyu ndo bure kabisa.

1. Niliwahi kuandika uzi huu:

Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama

2. Tunakuwa na misimamo kutokana na falsafa mtu anayo amini.

3. Kuna dini, haki, usawa, demokrasia nk.

4. Imani za dini ni mahekaluni, jamatini, misikitini, makanisani nk siyo kwenye jukwaa la siasa.

5. Huwezi unga mkono Ukraine, ukalaani wapalestina au hata ma LGBTQ huku ukijinasibu kupigania uhuru, demokrasia au haki.

6. Hapo #5 ndiyo ule ukweli mchungu.
 

Anzeni nyie mazombi wa dini kusema sorry kwa watoto wa Wayahudi mliowaua, la sivyo kichapo iko pale
 

Zombi la dini hebu tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wako ambaye husababisha mchinje watu...

Umuue binadamu mwenzako kwa mawe kisa dini, halafu uje kugundua huyo 'Mungu' wako hayuko!

Unamzika mtu akiwa hai, tena kwa ukatili, yote hii kisa sheria za kidini, halafu ukifa uje kushangaa huyo ambaye umekuwa ukimuabudu na kusababisha ufanye ukatili mengi kumbe siye. Mimi japo ni muumini wa uwepo wa Mungu, lakini haya masuala ya kiimani ni ya mtu binafsi na wala sina uwezo wa...
www.jamiiforums.com
 

Bila ufafanuzi kwa uzi wako huu:

Video: Mateka 250 waokolewa, HAMAS 60 wauawa na 26 kukamatwa

Posts zako zote ni ushuzi mtupu.
 
Bila ufafanuzi kwa uzi wako huu:

Video: Mateka 250 waokolewa, HAMAS 60 wauawa na 26 kukamatwa

Posts zako zote ni ushuzi mtupu.

Zombi la dini hebu tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wako ambaye husababisha mchinje watu...

Umuue binadamu mwenzako kwa mawe kisa dini, halafu uje kugundua huyo 'Mungu' wako hayuko!

Unamzika mtu akiwa hai, tena kwa ukatili, yote hii kisa sheria za kidini, halafu ukifa uje kushangaa huyo ambaye umekuwa ukimuabudu na kusababisha ufanye ukatili mengi kumbe siye. Mimi japo ni muumini wa uwepo wa Mungu, lakini haya masuala ya kiimani ni ya mtu binafsi na wala sina uwezo wa...

www.jamiiforums.com
 
Ushuzi
 

Zombi la dini hebu tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wako ambaye husababisha mchinje watu...

Umuue binadamu mwenzako kwa mawe kisa dini, halafu uje kugundua huyo 'Mungu' wako hayuko!

Unamzika mtu akiwa hai, tena kwa ukatili, yote hii kisa sheria za kidini, halafu ukifa uje kushangaa huyo ambaye umekuwa ukimuabudu na kusababisha ufanye ukatili mengi kumbe siye. Mimi japo ni muumini wa uwepo wa Mungu, lakini haya masuala ya kiimani ni ya mtu binafsi na wala sina uwezo wa...


www.jamiiforums.com
 
Niko busy sasa na ukombozi wa mama Tanzania:

Mbowe ajiuzulu mara moja Kama mwenyekiti wa CHADEMA

Nyuzi zako ushuzi baki nazo tu, honestly sizihitaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…