Maswahibu yanayomkuta Halima Mdee yalinikuta na Mimi, tofauti tu yeye ni Senior Mimi nilikuwa Junior

Maswahibu yanayomkuta Halima Mdee yalinikuta na Mimi, tofauti tu yeye ni Senior Mimi nilikuwa Junior

Wacha nimalizie hii stori kwa upande Halima Mdee.

Yani Halima Mdee kaipigania CDM muda mrefu imekuwa maarufu lakini dili walilopanga na Mbowe kwa sababu halikupitia kwa katibu mkuu ndio mana wametoswa....dah inauma sana.

Mwisho wa story hii lazima Halima Mdee aonekane kaonewa sana, na hakupaswa kufukuzwa,yan hapo CDM wamebug sana....kama mnabisha basi
 
Wacha nimalizie hii stori kwa upande Halima Mdee.

Yani Halima Mdee kaipigania CDM muda mrefu imekuwa maarufu lakini dili walilopanga na Mbowe kwa sababu halikupitia kwa katibu mkuu ndio mana wametoswa....dah inauma sana.

Mwisho wa story hii lazima Halima Mdee aonekane kaonewa sana, na hakupaswa kufukuzwa,yan hapo CDM wamebug sana....kama mnabisha basi

Hawa ni moja ya vijana wanaopambana sana kumuona Halima kaonewa...mimi sio mwanasiasa ila utaniambia huko mbele

Nimekusoma mkuu, loud and clear!
 
Hata kama ningekuwa mimi lazima ningeisnitch company. Nilete mteja mkubwa then kibarua kiote nyasi. UCovid19 ungenihusu, Kwa mteja nakula deal alone.
 
Waiting... ila sioni kabisa kisa chako kikifanana na Mdee... yaani hapana.
 
Back
Top Bottom