Daaah! Eti poshoNimeona utitiri wa maswali.
Hao walioandaa hilo dodoso sijui waliwaza nini, yaani mimi na uzee huu nikae mtu ananiuliza maswali zaidi ya mia, siwezi.
Labda kuwe na posho ya wakuu wa kaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah! Eti poshoNimeona utitiri wa maswali.
Hao walioandaa hilo dodoso sijui waliwaza nini, yaani mimi na uzee huu nikae mtu ananiuliza maswali zaidi ya mia, siwezi.
Labda kuwe na posho ya wakuu wa kaya.
Kumbe ndiomaana yamefika mia, au walihisi watakutana na wachezaji wa yanga princess?Ilo swali la 3 la kiwaki sana.
Je, wewe ni mwanaume au mwanamke?
Like SERIOUS?
Wanataka kuweka tozo hapoSwali la 59 lakipuuzi sana. Mnataka kujua mitaji yetu ni shs ngapi na tuliipata wapi ili iwe nini?
Naona hilo swali limetungwa na Mwigulu Nchba akishirikiana na Neema Lugangira
Utadhani hiyo internet na GB wanatununulia.!Maswali mengi yanaingilia faragha za watu . Mfano mdogo ni huu :
62. Katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita, Je, ulimiliki au ulitumia vifaa vifuatavyo?
63. Je, ulitumia kifaa hicho katika matumizi yapi?
- Simu janja/Kishikwambi
- Simu ya kawaida
- Kompyuta ya mezani (Desktop)
- Kompyuta mpakato
Majibu ya maswali ya 62 hadi 63 yataiwezesha Serikali kupata taarifa za asilimia ya watu wanaomiliki na wanaotumia vifaa vya TEHAMA. Aidha, Serikali itaweza kupata taarifa za matumizi makuu ya vifaa hivyo vya TEHAMA kama vile kuwasiliana, kutafuta/kupokea taarifa kwa ajili kuboresha zaidi huduma hizo
Wakati angeweza kuangalia tu jinsia na kujazaKuna makarani watapigwa makofi,
Haiwezeka mzee una midevu na sura ngumu, halafu unaulizwa wewe ni mwanaume au mwanamke,
Kweli kabisa! Ikiwa karani wa sensa analipwa posho kwa kuulizai, vipi anayejibu maswali hayo!Nimeona utitiri wa maswali.
Hao walioandaa hilo dodoso sijui waliwaza nini, yaani mimi na uzee huu nikae mtu ananiuliza maswali zaidi ya mia, siwezi.
Labda kuwe na posho ya wakuu wa kaya.
Sensa lazima iwe na maswali mengi ili kupata takwimu halisi za raia, makazi na shughuli zao za kiuchumi.Nimeona utitiri wa maswali.
Hao walioandaa hilo dodoso sijui waliwaza nini, yaani mimi na uzee huu nikae mtu ananiuliza maswali zaidi ya mia, siwezi.
Labda kuwe na posho ya wakuu wa kaya.
***** zaoIlo swali la 3 la kiwaki sana.
Je, wewe ni mwanaume au mwanamke?
Like SERIOUS?
moja kati ya swali la ovyo katika huu mkeka wa maswaliIlo swali la 3 la kiwaki sana.
Je, wewe ni mwanaume au mwanamke?
Like SERIOUS?
usituangushe bahariaakija karani KE namla
pumbav
Ntamwambia nimesahau ngoja nikajikague chooni.Ilo swali la 3 la kiwaki sana.
Je, wewe ni mwanaume au mwanamke?
Like SERIOUS?