Maswali kuhusu Nuhu na gharika kuu

Maswali kuhusu Nuhu na gharika kuu

Mkuu ukitaka kutumia uhalisia na logic ktk kujibu hayo maswali hutopata majibu kamwe. Chukulia mfano Yona aliyekuwa anakataa kwenda kumtumikia Mungu kule Ninawi. Ila mwisho wa siku alienda,unajua aliendaje?? Alimezwa na samaki na kuenda kutemwa kule.

Ila katika hali kawaida unadhani ni kitu kinachowezekana?

Kwahiyo kama Mungu aliweza kufanya hivyo,basi hakushindwa kutoa ufumbuzi wa maswali yako ambayo unaona hayawezekani.
wewe una support hekaya kwa kutumia hekaya nyingine?
case ya yona na hii ni tofauti kabisa, hapa unazungumzia kizazi cha viumbe vyote duniani kuteketezwa kisha kuanza upya tena kwa namna ambayo haiwezi kuelezewa kwa maelezo ya kama hayo ya mtu mmoja
 
Sasa ukianza hizi argument za uweza wa chochote kulikuwa na haja gani ya kukusanya hao wanyama wawili wawili, kwani wangeshindwa kukaa kwenye hayo mafuriko na kuendelea kuishi kwa uweza wake? Au hata wasingeendelea kuishi kama aliwaumba mwanzo kuna ugumu gani kuwaumba kwa mara ya pili?
Mkuu,sifa mojawapo ya muumba ni kufanya atakalo kwa muda atakao vile atakavyo bila kutaka ushauri kwa chochote wala yoyote.
 
Hiki kitabu kina fifisha sana ubongo wa mwanadamu afu ukihoji utasikia unasoma kama gazeti omba roho mtakatifu akuongoze ndio utaelewa. Ajabu huyo roho mtakatifu anaewaongoza ni mmoja lakini huyu anaruhusu ushoga mwingine anakataa,huyu aruhusiwi kuoa huyu anaoa,huyu pombe halali huyu haram,hawa wanasali uchi,huyu ibada jumamosi mwingine jumapili sasa huyu roho mtakatifu anashindwa kuwasimamia kweli?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Stori za kufifisha ubongo zipo zaidi kwenye Quran. Thatz y hata namna yenu ya kufikiri ni kama mnatumia kichwa kidogo!!! Stori za alfulela ulela utazipata kwny quran na mnaziamini na kuzingatia ndomana tuna Alshabaab, Alqaeda, IS nk. Hapo nani kaathiriwa na maandiko ya dini yake!!!!???
 
Stori za kufifisha ubongo zipo zaidi kwenye Quran. Thatz y hata namna yenu ya kufikiri ni kama mnatumia kichwa kidogo!!! Stori za alfulela ulela utazipata kwny quran na mnaziamini na kuzingatia ndomana tuna Alshabaab, Alqaeda, IS nk. Hapo nani kaathiriwa na maandiko ya dini yake!!!!???
na bible ndo iliwafanya mualalishe ushoga??[emoji780]
 
SAMAHANI MKUU NAOMBA KUULIZA,HII YA NUHU KUWA MLEVI NA KUCHEKWA NA MWANAE IMEANDIKWA KATIKA KITABU GANI?.MAANA NAONA TUUU INAZUNGUMZIWA.

Genesis 9
20 Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu;

21 akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake.

22 Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake, akawaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.

23 Shemu na Yafethi wakatwaa vazi, wakalitanda mabegani mwao wote wawili, wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao; na nyuso zao zilielekea nyuma, wala hawakuuona uchi wa baba yao.

24 Nuhu akalevuka katika ulevi wake, akajua mwana wake mdogo alivyomtendea.
 
Mkuu,sifa mojawapo ya muumba ni kufanya atakalo kwa muda atakao vile atakavyo bila kutaka ushauri kwa chochote wala yoyote.
Mkuu suala la Muumba kufanya atakalo kwa muda atakao bila kutaka ushauri wa chochote wala yeyote ni sahihi ila haina maana anafanya vitu visivyoingia akilini kwa sababu ili mwanadamu amuelewe Muumba wake vizuri ni muhimu apate maarifa yanayoonesha kuwa huyu Muumba kweli ni muumba na exceptional. Vinginevyo yeyote anaweza kudai hata Kabati ni Muumba kwa sababu Muumba ameamua kuwa kama kabati na kwa kuwa huwa haombi ushauri wa yeyote utalazimika kuamini hilo kabati ni muumba wako, sasa je wewe kwa akili yako unaona hiyo ni sawa? Utakubali kuambiwa kabati fulani ni muumba wako kwa sababu tu Muumba anafanya atakalo kwa wakati autakao na namna aitakayo??!!
 
Mkuu suala la Muumba kufanya atakalo kwa muda atakao bila kutaka ushauri wa chochote wala yeyote ni sahihi ila haina maana anafanya vitu visivyoingia akilini kwa sababu ili mwanadamu amuelewe Muumba wake vizuri ni muhimu apate maarifa yanayoonesha kuwa huyu Muumba kweli ni muumba na exceptional. Vinginevyo yeyote anaweza kudai hata Kabati ni Muumba kwa sababu Muumba ameamua kuwa kama kabati na kwa kuwa huwa haombi ushauri wa yeyote utalazimika kuamini hilo kabati ni muumba wako, sasa je wewe kwa akili yako unaona hiyo ni sawa? Utakubali kuambiwa kabati fulani ni muumba wako kwa sababu tu Muumba anafanya atakalo kwa wakati autakao na namna aitakayo??!!
yaani huyu muumba yupo very impulsive, hana busara kabisa halafu sisi tumuelewe?
itakua ngumu
 
Genesis6:19 You are to bring into the ark two of all living creatures, male and female, to keep them alive with you.

In Genesis posits that Noah gathered "kinds" of animals and not all "species," an estimated 16,000 pairs, which raises a few animal-related questions:



1.What about specialized diets (bamboo for the giant panda, meat for the carnivores, fresh vegetation for the herbivores)?

2.Who cleaned each stall and shoveled the tons of daily excrement through the huge ark’s single window?

3.How did they separate the predator and prey animals? Did the lion lay with the lamb?

4.How do you explain the acquisition and loading of animals not indigenous to the Middle East (many separated by oceans), like the polar bear, the sloth, the crocodile, the fruit bat, the anaconda, etc?

5.And how did the penguins and other cold-climate creatures survive in the blistering desert heat?

6.Wouldn’t freshwater rains from the sky have made the saltwater deadly to ocean marine life?

7.And wouldn’t saltwater have proven equally toxic to all freshwater fish?
 
Real G, do ya know anything about wave propagation? Do you know anything about the semicondoctor physics? These are things which some scientists have experimented to human level. May years past no body believed test a person A could communicate with B three hundred miles away but now that is no longer a problem. What ever has notyet been revealed to you by the Greatspirit should not be questioned/taken the wa you wish
 
Real G, do ya know anything about wave propagation? Do you know anything about the semicondoctor physics? These are things which some scientists have experimented to human level. May years past no body believed test a person A could communicate with B three hundred miles away but now that is no longer a problem. What ever has notyet been revealed to you by the Greatspirit should not be questioned/taken the wa you wish
what do they got to do with my post? what do the so called holy spirit got to do with physics?
 
Genesis6:19 You are to bring into the ark two of all living creatures, male and female, to keep them alive with you.

In Genesis posits that Noah gathered "kinds" of animals and not all "species," an estimated 16,000 pairs, which raises a few animal-related questions:



1.What about specialized diets (bamboo for the giant panda, meat for the carnivores, fresh vegetation for the herbivores)?

2.Who cleaned each stall and shoveled the tons of daily excrement through the huge ark’s single window?

3.How did they separate the predator and prey animals? Did the lion lay with the lamb?

4.How do you explain the acquisition and loading of animals not indigenous to the Middle East (many separated by oceans), like the polar bear, the sloth, the crocodile, the fruit bat, the anaconda, etc?

5.And how did the penguins and other cold-climate creatures survive in the blistering desert heat?

6.Wouldn’t freshwater rains from the sky have made the saltwater deadly to ocean marine life?

7.And wouldn’t saltwater have proven equally toxic to all freshwater fish?
It is called miracle
 
Very good questions, but if God brought rain for 40 days, day and night, then all is possible to him, no need of searching for answers to these questions...
Our planet earth is round like a huge ball just hanging without holding anywhere,anything and u are just there chilling..
Doesn't this suprise u more than tht story of Nuhu??
 
Snakes and leopard walikuja kuwa dangerous baada ya uasi..
adam aliishi nao vizuri tu kina simba n.k
baada ya uasi agano la awali la mungu na binadamu likabatilishwa..
tujitahidi kuisoma biblia kwa undani kwani kuna hatari ya vizazi vyetu vijavyo vikakosa kabisa maarifa hayo
Wewe unaongelea uasi wa Adamu na Hawa, wakati wenzio wanaongelea Safina la Nuhu mziwanda, gharika na jinsi vitu alivyokusanya, vilipokujakuwa vipole kabisa, hadi palivyokauka.
 
mwneyewe nimejiuliza hili swali, yaani alichofanya ni kama mtu kuchoma nyumba ili aue panya wanaokula nafaka zake, wakati alikua na uwezo wa kutumia mbadala mzuri zaidi
halafu anaposema zamani simba wala chui hawakua hatari anamaanisha walikua hawali nyama??
hii story ya nuhu ukiitafakari utaona ni kama zile fable story za darasa la pili wanazosimuliwa watoto ili kuwatisha wawe na maadili
Mkuu hizi zaweza kuwa stori za kufikirisha tu.
Hivi kwa mfano ike historia ya Mussa na wana wa Usraeli kuwatoa utumwani misri!
Baada ya kukatisha bahari ya shamu kuelekea nchi ya ahadi kwa muda wa miaka 40! kijiografia kama Dar hadi Chalinze. Inakujaje hii?
Mimi nadhani hizi ni hadithi za kiroho kwa ajili ya kusapotia ama kuelimishia matendo mengine.
Ndiyo maana kila baada ya "somo", huwa kuna kutafasiri hadithi iliyosomwa. Ingekuwa siyo hadithi, ni historia, pasingekuwa na haja ya kufasiri baada ya kusoma somo.
 
Mkuu hizi zaweza kuwa stori za kufikirisha tu.
Hivi kwa mfano ike historia ya Mussa na wana wa Usraeli kuwatoa utumwani misri!
Baada ya kukatisha bahari ya shamu kuelekea nchi ya ahadi kwa muda wa miaka 40! kijiografia kama Dar hadi Chalinze. Inakujaje hii?
Mimi nadhani hizi ni hadithi za kiroho kwa ajili ya kusapotia ama kuelimishia matendo mengine.
Ndiyo maana kila baada ya "somo", huwa kuna kutafasiri hadithi iliyosomwa. Ingekuwa siyo hadithi, ni historia, pasingekuwa na haja ya kufasiri baada ya kusoma somo.
Mwacheni Mungu aitwe Mungu.
Kwa mtzamo wa kibidamu ni sawa kusema ni hadithi za kufikirisha tu kwa sababu hapo ndipo uwezo wetu wa kufikilia ulipofikia.

Ila katika ulimwengu wa kiroho hakuna kinachishindikana chini ya jua.

Na Mungu kafanya hivyo ili kumwonyesha binadamu uwezo wake ukoje na ili umtumaini yeye katika mazingira yoyote.

Kwamba kama ameweza kuwavusha wana Israel kupita katika bahari ya shamu, vile anaweza akavusha katika matatizo yote yanakukumba hapa duniani.

Ila kumbuka Mungu wetu ni Rohoni kwa hiyo mambo yake ni ya rohoni pia, ili kufahamu mambo yake inabidi na wewe uwe wa rohoni pia.

Kwa yule anae uliza how come miaka arobaini wakati umbali ulikuwa mdogo kiasi kile, sababu ni moja tu ni kwamba walimuasi Mungu hivyo azabu yao ilikuwa ni kutofika kaaani, ndio maana Mungu akawazunguza mpaka kile kizazi kikaisha kwa kufariki mmoja baada ya mwingine na kubakia watoto wao ambao ndio walivuka kwenda kaanani.
 
We shungurui we mwanamke au maana semi zako kama mwanamke asiyetafakari yaonesha hata hiyo habar ulioielezea huijui ispokua umekaririshwa.

Umesema mungu alifanya makusudi kuwapitisha mbali wana wa israel ili kumwonesha binadamu uwezo wake ukoje!!!

Je kwani huyo mungu hakujua kama uwezo wa binadamu aliemuumba ni mdogo hata atafute. Njia mbadala??

Je ni nini faida alipata kuwauwa wana wa israel jangwani kwan hapakuwa na njia nyingine kama kuwafundisha kuwaelekeza kuwavumilia
 
Ukisoma kuna watu waliwekwa kwenye tanuru la moto na hawakuungua..
Kakae wewe tuwashe moto tuone..
'Alitenga maji na anga kisha akatenga maji na maji'
sasa kumuweka simba na kondoo pamoja anashindwaje???
excretion???? kama aliwafunga matumbo je..
Heri yao waaminio kama mtoto mdogo maana ufalme wa mungu ni wao..
ujitahidi kusali kabla ya kusoma bible ili uweze kufunuliwa uyasomayo


Hili nalo neno.
 
Wakati wa gharika Mungu aliwateketeza waovu wote, waliingia kwenye safina walikuwa safi,sasa hawa waovu wa siku hizi walitoka wapi?
 
Back
Top Bottom