Maswali kuhusu ukatili wa kijinsia Iringa

Maswali kuhusu ukatili wa kijinsia Iringa

Joined
May 2, 2023
Posts
15
Reaction score
11
Takwimu zimeonyesha iringa imeongezeka kwa kiasi ukatili wa kinsia.

Ni sabubu gani zinohisiwa kuchochochea ukatili wa kijinsi?

Nini kufanyike ili kupunguza ama kutokomeza ukatili wa kijinisia?

Maoni ilikupunguza ukatili wa kijinsia?
 
Ukilinganisha zamani na sasa utaona Iringa matukio mbali mbali yameongezeka ya ukatili dhidi ya watoto wanawake na wanaume pia ukifuatilia utakuta mwaka 2023 desember, 7 Mkuu wa mkoa wakati huo aliweka kuwa ajenda ya kudumu ili kuweza kutatua tatizo hilo.

Sasa,

Kwa upande wangu nilitaka tu share idea jinsi ya kuepuka ili tatizo na sio kuandika fact nyingi natumaini umenielewa
 
Back
Top Bottom