Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Baba Desi, just give the devil his due....rubbing salt into our wounds, eh?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba Desi, just give the devil his due....rubbing salt into our wounds, eh?
The farmer,JK alinishangaza wakati anajibu swali aliloulizwa kwa nini safari za nje ni nyingi? Alijibu kuwa huwa anaenda kutafuta msaada (Kuomba omba) na ni lazima aende yeye mwenyewe physically ili aweze kupewa hiyo misaada.
Hivi kwa kweli rais kama anamtazamo wa kuomba omba na ndio kiongozi wa juu kabisa wa nchi sasa anategemea nini kwa wananchi wake. Ndio maana kila siku atasikia kuna njaa vijijini kwa sababu watu hawataki kujishughulisha.
Rais JK anapaswa aache kabisa hiyo dhana ya kuomba omba na akae na wataalamu wa fedha na uchumi ili waweze kumpa strategic plan ambazo zinaweza kuliokoa taifa letu kwenye ili janga la kutegemea misaada kutoka nje. Nchi hii ina Resources nyingi sana na haipaswi kuwa omba omba.
I have a bad feeling kama kipindi kilikuwa LIVE...Nani angeulizwa wakati simu dar zilikuwa hazipatikani?
kwa kweli Rais wetu amejitahidi sana kujibu hoja na keroro mbalimbali za wananchi ila nadhani TBC waangali sula la muda naona hautoshi,maswali ni mengi,ila cha msingi karibu maswali yaliyokuwa yasemwa sana na jamii yaliulizwa na kujibiwa kwa ufasaha na umakini mkubwa.
Mbona tuliyajua hayo mapema? Mtego tayari umewanasa wengi na sasa 80% zake zilizoanza kupata mgogoro zitapona tu. Kwa vile wengi watauvaa mkenge kama unavyoonesha, Mkwere anainyanyua CV iliyofulia na mwakani anapiga 90%😕