Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejaribu line mara kama 50 hivi mpaka nika-give up!
Email yangu najua haiwezi kusomwa, lakini swali la papo hapo angelijibu labda.
Naona anaulizwa kuhusiana na ucheleweshwaji wa kesi za EPA. Anakiri ni tatizo la kweli
Anacheka , watu hawana barabara yeye ana gigle !
irrelevant,..........Swali la Kigoma yeye anazungumzia Lindi , I AM DONE I can't listen this crap anymore.
Ebanaaaa,Kwa mtaji huu ndio maana anakimbia midahalo, kijana sijui nisemeje anasoma hotuba yake aliyoandaliwa hajibu maswali.
Kuhusiana na swali juu ya barabara, hapa huyu mzee nampa pongezi kwa kujua kila mahali kwa majina na mahitaji ya barabara.
Ila kila barabara ujenzi wake lazima tupewe misaada? Gademu Miafrika tunaboa!!!
Alijua ataulizwa juu ya Maji, Barabara, Umeme, nyaraka, Reli, Zombe na Ufisadi.Kuhusiana na swali juu ya barabara, hapa huyu mzee nampa pongezi kwa kujua kila mahali kwa majina na mahitaji ya barabara.