Maswali kwa rais Kikwete na yatokanayo

Maswali kwa rais Kikwete na yatokanayo

swali la kigoma mheshima anacheka badala ya kutoa mikakati ya serikali kuimarisha miundombinu
 
Jamaa wa Kigoma kauliza swali la kumjenga kampeni...atazungumzia nchi nzima jamaa!
 
Nimejaribu line mara kama 50 hivi mpaka nika-give up!

Email yangu najua haiwezi kusomwa, lakini swali la papo hapo angelijibu labda.

Naona anaulizwa kuhusiana na ucheleweshwaji wa kesi za EPA. Anakiri ni tatizo la kweli

kwi kwi 😀kwi mkuu umenivunja mbavu.... tumia jina la upoleupole kwa kufungua email address mpya chap chap.
 
Swali la Kigoma yeye anazungumzia Lindi , I AM DONE I can't listen this crap anymore.
 
I am rushing to the pub...this is crap! sorry guyz
 
Kwa mtaji huu ndio maana anakimbia midahalo, kijana sijui nisemeje anasoma hotuba yake aliyoandaliwa hajibu maswali.
 
Kuhusiana na swali juu ya barabara, hapa huyu mzee nampa pongezi kwa kujua kila mahali kwa majina na mahitaji ya barabara.
 
Jamaniiiiiiiiiiiiiii washauri wa JK wako wapi ? Huyu hana lolote swali ana anza kuelezea mambo gani ?

Hizi sms na simu hizi ni LIVE ama walisha ongea ?
maana duh anaelezea kama vile anasoma mahali
 
Kwa mtaji huu ndio maana anakimbia midahalo, kijana sijui nisemeje anasoma hotuba yake aliyoandaliwa hajibu maswali.
Ebanaaaa,

Nimefikiria 2010 tukimweka 'Live' kwenye mdahalo na mpinzani kama Lipumba anaweza kupata wakati mgumu.

Ngoja nimsikilize zaidi, barabara amemaliza ameingilia kwenye issue ya maji?
 
Kuhusiana na swali juu ya barabara, hapa huyu mzee nampa pongezi kwa kujua kila mahali kwa majina na mahitaji ya barabara.

Ila kila barabara ujenzi wake lazima tupewe misaada? Gademu Miafrika tunaboa!!!
 
Tupunguze negatives, mzee anajitahidi, liinchi lenyewe gumu
 
Kuhusiana na swali juu ya barabara, hapa huyu mzee nampa pongezi kwa kujua kila mahali kwa majina na mahitaji ya barabara.
Alijua ataulizwa juu ya Maji, Barabara, Umeme, nyaraka, Reli, Zombe na Ufisadi.

Hakuna alomwuliza juu ya "Maisha Bora" na "Mfumuko wa bei"
 
Back
Top Bottom