Maswali kwa rais Kikwete na yatokanayo

Maswali kwa rais Kikwete na yatokanayo

Alijua ataulizwa juu ya Maji, Barabara, Umeme, nyaraka, Reli, Zombe na Ufisadi.

Hakuna alomwuliza juu ya "Maisha Bora" na "Mfumuko wa bei"


Invisible,

Hayo ndio maswali aliyotakiwa kuulizwa .
 
Hayo ndio mafanikio mwanakwetu...kuomba fedha kwa kila mradi wa barabara!!

Katika hizo barabara zote alizozitaja hakuna hata moja aliyosema tume fund ujenzi wake sisi wenyewe. Zote ni misaada!!! Jamani eeeh...hivi tuko masikini hivyo? No way
 
Msanii ndani ya nyumba ya sanaa . Hakuna kitu hahahaha jamaa anazunguka mambo ya ziara yake .
 
Alitakiwa kuulizwa juu ya Dowans pia, damn it, naona bado dakika 18 mechi iishe. Hivi hakuna hata dakika za majeruhi? Bado najaribu line lakini wapi!
 
...hadithi Njoo ya Richmonduli, Dowans na kadhalika.
 
"Hakuna uthibitisho rushwa kutembea kwenye issue ya Richmond" - JK Sept 9, 2009
 
Siasa za wanasiasa ni pamoja na kutojibu maswali kama yanavyoulizwa
 
Katika majibu yake tu..unaweza kujua wazi kuwa Kikwete ni muoga...kuna watu wanafanya Uizi/Utapeli wa waziwazi na wanajua kuwa Kikwete hawafanyi chochote...katika kila majibu yake anataja kuwa wakubwa wanahusika...hao wakubwa zaidi yake ni akina nani? Huyu jamaa ni mbabaishaji..Tunataka kiongozi mwenye guts...sio huyu wa kulalamika na mtu wa kutaka kuonewa huruma!
 
Mawaziri wawili na Waziri mkuu (waliojiuzulu) hawatachukuliwa hatua zaidi?

Duh!!!
 
Katika majibu yake tu..unaweza kujua wazi kuwa Kikwete ni muoga...kuna watu wanafanya Uizi/Utapeli wa waziwazi na wanajua kuwa Kikwete hawafanyi chochote...katika kila majibu yake anataja kuwa wakubwa wanahusika...hao wakubwa zaidi yake ni akina nani? Huyu jamaa ni mbabaishaji..Tunataka kiongozi mwenye guts...sio huyu wa kulalamika na mtu wa kutaka kuonewa huruma!

Pengine ni mmoja wao. Wanakula wote. Sasa awaguse kwa nini? Sidhani ni mjinga kihivyo....
 
kwa hili la Richmond JK binafsi kwa majibu haya anahusika, na anakwepa kwa ulaghai mkubwa Msaniiiiiiiiiiiii!
 
aah! mkweli huyu anautani hata kwenye mambo makubwa. Rais wetu yupo simple hawezi kufanya lolote ngumu huyu. Nampa pole saumu imemkaba sana. na majibu hamna kitu.
 
kwa hili la Richmond JK binafsi kwa majibu haya anahusika, na anakwepa kwa ulaghai mkubwa Msaniiiiiiiiiiiii!
Yani kanikata kabisaa, anaanza kuulizia issues za mechi za Ulaya?
 
Back
Top Bottom