firstcollina
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 349
- 23
Has proved his weakness toward UFISADI. Na hapo ndipo alipofanya kosa kubwa sana. Ku-prove weaknesses!
For the above reason, mimi kura yangu simpi!
Kura ya ndiyo huenda kwa mtu shupavu, mwenye sifa za Ujasiri, Muwazi, Asiye na woga wala aibu, mwenye uwezo wa kupambanua mambo kwa kina, wala sii hivyo tu bali mwenye ujasiri wa kukemea uovu na kutetea rasilimali za watanzania kwa manufaa ya taifa zima. Hizi ni sifa za mtu thabiti kama Dr. SLAA
For the above reason, mimi kura yangu simpi!
Kura ya ndiyo huenda kwa mtu shupavu, mwenye sifa za Ujasiri, Muwazi, Asiye na woga wala aibu, mwenye uwezo wa kupambanua mambo kwa kina, wala sii hivyo tu bali mwenye ujasiri wa kukemea uovu na kutetea rasilimali za watanzania kwa manufaa ya taifa zima. Hizi ni sifa za mtu thabiti kama Dr. SLAA