Cybercurex
Member
- Jan 19, 2023
- 77
- 182
Mungu ni zaidi ya ufahamu kinachowaponza wengi ni kutumia akili kumjadili Mungu,unadhani ukisoma biblia Basi umeshamjua Mungu la hasha.kiufupi Mungu ni ufahamu ambayo ni very infinite, Mwanadamu ni sehemu ndogo ya ufahamu huo hutaweza kumjua Mungu simply kwa kutumia logic.By The way Binadamu tuna linear thinking Ambapo tuna starting point na end point.Na ndio Maana swali Kubwa la Binadamu, Mungu alitokea wapi Nani?, alimuumba? .Kwa mtindo huu huwezi kutoboa.Kimsingi Amini kwamba Kuna Nguvu Kubwa Katika ulimwengu wote inayotawala kila kitu isiyo na upinzani .