Maswali magumu kwa atheist

Maswali magumu kwa atheist

Mungu ni zaidi ya ufahamu kinachowaponza wengi ni kutumia akili kumjadili Mungu,unadhani ukisoma biblia Basi umeshamjua Mungu la hasha.kiufupi Mungu ni ufahamu ambayo ni very infinite, Mwanadamu ni sehemu ndogo ya ufahamu huo hutaweza kumjua Mungu simply kwa kutumia logic.By The way Binadamu tuna linear thinking Ambapo tuna starting point na end point.Na ndio Maana swali Kubwa la Binadamu, Mungu alitokea wapi Nani?, alimuumba? .Kwa mtindo huu huwezi kutoboa.Kimsingi Amini kwamba Kuna Nguvu Kubwa Katika ulimwengu wote inayotawala kila kitu isiyo na upinzani .
 
Vizuri kwa kunikosoa swali langu

Labda nikuulize upya kwanini ulimwengu upo hivi? Je ni kipi chanzo cha ulimwengu huu.
Ulimwengu ni nini?

Kwa nini unafikiri ulimwengu una chanzo au ni lazima uwe na chanzo?
 
Binadamu yupi
Mungu ambaye anataka wanadamu wote tuseme na tukiri yeye yupo,
Alishindwaje kuumba binadamu wenye Kujua yeye Yupo????

Mungu muweza wa vyote alishindwaje kuumba binadamu wasio jiuliza uwepo wake??

Kama Mungu anaweza yote ange ondoa ufahamu Akilini mwa wanadamu kusema "Yeye hayupo" na angeweka ufahamu wa sisi kukiri tu "yeye yupo"..

Hivyo mpaka kufikia binadamu wanahoji uwepo wa Mungu ina dhihirisha tosha kwamba huyo Mungu Hayupo....
huyo anaesema Mungu hayupo?
 
Mungu ambaye anataka wanadamu wote tuseme na tukiri yeye yupo,
Alishindwaje kuumba binadamu wenye Kujua yeye Yupo????

Mungu muweza wa vyote alishindwaje kuumba binadamu wasio jiuliza uwepo wake??

Kama Mungu anaweza yote ange ondoa ufahamu Akilini mwa wanadamu kusema "Yeye hayupo" na angeweka ufahamu wa sisi kukiri tu "yeye yupo"..

Hivyo mpaka kufikia binadamu wanahoji uwepo wa Mungu ina dhihirisha tosha kwamba huyo Mungu Hayupo....
Ni ya kufikirisha. Hasa mstari uliotaja Orioni
 
Logical non sequitur, hayo maswali yanaweza kuulizwa na watu hata kama Mungu hayupo.

Pia, kutoweza kujibu hayo maswali si uthibitisho Mungu yupo, to the contrary, kutoweza kujibu maswali hayo kunaweza kuwa ushahidi kwamba Mungu wako hayupo.

Tatua Epicurean Paradox tujue yupo.

Kama hata umeielewa.
Jibu maswali hayo acha mbambamba

Sent using Jamii Forums mobile app


31 Je, waweza kuufunga mnyororo wa Kilimia, au kuvilegeza vifungo vya Orioni?

32 Je, waweza kuziongoza Sayari kwa wakati wake au waweza kuongoza Dubu na watoto wake?
 
Labda ww unafikiri kwanini ulimwengu upo hivi?

Unafahamu kila kilichopo na umbo kinachanzo chake?

Kwanini kweny ulimwengu unapinga chanzo chake.
Napinga chanzo cha ulimwengu kwa sababu Hukijui na Hakuna anaye jua ila unalazimisha kwamba kipo,

Na chanzo hicho una kipachika jina Mungu.

Kama una amini hicho chanzo usicho kifahamu unachokiita Mungu kili jiumba chenyewe, Kwa nini ni vigumu wewe kuamini ulimwengu Hauku umbwa pia?

Yani una amini Mungu usiyemjua alijiumba mwenyewe ila huwezi kuamini ulimwengu ulijiumba wenyewe..

Labda na mimi niku ulize huyo Mungu ali umbwa na nani?,
Na aliye muumba aliumbwa na nani? Na aliye muumba, muumba wa Mungu aliumbwa na nani? Na aliye muumba, muumba wa muumba wa Mungu aliumbwa na nani???

Uki lazimisha ulimwengu una chanzo na mimi nalazimisha Mungu ana chanzo muumba wake pia.
 
Mungu ni zaidi ya ufahamu kinachowaponza wengi ni kutumia akili kumjadili Mungu,unadhani ukisoma biblia Basi umeshamjua Mungu la hasha.kiufupi Mungu ni ufahamu ambayo ni very infinite, Mwanadamu ni sehemu ndogo ya ufahamu huo hutaweza kumjua Mungu simply kwa kutumia logic.By The way Binadamu tuna linear thinking Ambapo tuna starting point na end point.Na ndio Maana swali Kubwa la Binadamu, Mungu alitokea wapi Nani?, alimuumba? .Kwa mtindo huu huwezi kutoboa.Kimsingi Amini kwamba Kuna Nguvu Kubwa Katika ulimwengu wote inayotawala kila kitu isiyo na upinzani .
Nguvu inaweza ikawepo ila aliye iita hiyo nguvu Mungu ni nani??
 
Kwanza kabisa kabla ya kuangalia mtanange, kwa nini swali lako linauliza "nani"?

Huoni kwamba hata swali lenyewe lina kasumba ya kulenga kwenye jibu unalolitaka?
Hapa nimedokoa kitu🙏🙏

Naendelea kufatilia
 
Napinga chanzo cha ulimwengu kwa sababu Hukijui na Hakuna anaye jua ila unalazimisha kwamba kipo,

Na chanzo hicho una kipachika jina Mungu.

Kama una amini hicho chanzo usicho kifahamu unachokiita Mungu kili jiumba chenyewe, Kwa nini ni vigumu wewe kuamini ulimwengu Hauku umbwa pia?

Yani una amini Mungu usiyemjua alijiumba mwenyewe ila huwezi kuamini ulimwengu ulijiumba wenyewe..

Labda na mimi niku ulize huyo Mungu ali umbwa na nani?,
Na aliye muumba aliumbwa na nani? Na aliye muumba, muumba wa Mungu aliumbwa na nani? Na aliye muumba, muumba wa muumba wa Mungu aliumbwa na nani???

Uki lazimisha ulimwengu una chanzo na mimi nalazimisha Mungu ana chanzo muumba wake pia.
Mungu hana chanzo.
Kwasababu hakuna ajuaye umbo la Mungu

Mungu hajaumbwa kwasababu yeye ndiye muumba wa viumbe vyote
 
Mungu hana chanzo.
Kwasababu hakuna ajuaye umbo la Mungu

Mungu hajaumbwa kwasababu yeye ndiye muumba wa viumbe vyote
Kama hujui umbo la Mungu, Umejuaje kwanza kwamba huyo Mungu yupo??

Utasemaje hujui umbo la kitu, Halafu useme kipo???

Uko sawa kiakili kweli??
 
Jibu maswali hayo acha mbambamba

Sent using Jamii Forums mobile app


31 Je, waweza kuufunga mnyororo wa Kilimia, au kuvilegeza vifungo vya Orioni?

32 Je, waweza kuziongoza Sayari kwa wakati wake au waweza kuongoza Dubu na watoto wake?
Hata nikisema siwezi, hilo halithibitishi Mungu yupo.

Na ninaweza kukuambia siwezi, kwa sababu Mungu hayupo.

Wewe huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Ukibisha, thibitisha Mungu yupo.
 
Ulimwengu unachanzo kwasababu kilicho na umbo lazima kiwe kimetengenezwa au kuubwa



Ulimwengu ni mjumuiko wa vilivyomo ardhini na juu ya ardhi.
Unahakikishaje kila kilicho na umbo lazima kiwe kimetengenezwa na kuumbwa?

Unaelewa kwamba dhana nzima ya "chanzo" kufuatiwa na "matokeo ya chanzo" ni njozi inayotokana na ujinga wako tu?
 
sasa mtu ashajiita atheist aeleweshwe nini kama sio kupoteza muda tu. Yaani ni sawa na mtu ameamua kuwa kipa unamuambia afanye mazoezi ya Foward.
Point ni kutafuta ukweli uko wapi na hadithi za uongo ziko wapi.
 
Hata nikisema siwezi, hilo halithibitishi Mungu yupo.

Na ninaweza kukuambia siwezi, kwa sababu Mungu hayupo.

Wewe huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Ukibisha, thibitisha Mungu yupo.
Acha MBAMBAMBA ,jibu maswali


Ayubu 38

31 “Je, waweza kuufunga mnyororo wa Kilimia?

Waweza kulegeza kamba za Orioni?

32 Waweza kuyaongoza makundi ya nyota kwa majira yake,

au kuongoza Dubu na watoto wake?

33 Je, unajua sheria zinazotawala mbingu?

Waweza kuweka utawala wa Mungu duniani?

images%20(6).jpg
images%20(5).jpg
images%20(3).jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hujui umbo la Mungu, Umejuaje kwanza kwamba huyo Mungu yupo??

Utasemaje hujui umbo la kitu, Halafu useme kipo???

Uko sawa kiakili kweli??
Kama Mungu hayupo ,jibu haya maswali


31 “Je, waweza kuufunga mnyororo wa Kilimia?

Waweza kulegeza kamba za Orioni?

32 Waweza kuyaongoza makundi ya nyota kwa majira yake,

au kuongoza Dubu na watoto wake?

33 Je, unajua sheria zinazotawala mbingu?


images%20(6).jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa mtu ashajiita atheist aeleweshwe nini kama sio kupoteza muda tu. Yaani ni sawa na mtu ameamua kuwa kipa unamuambia afanye mazoezi ya Foward.
Atheism is not a choice, it is just an obvious conclusion of accepting the reality.
 
Back
Top Bottom