Maswali matatu kwa Waziri wa Afya

Maswali matatu kwa Waziri wa Afya

Zakaria Lang'o

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
2,593
Reaction score
2,768
Ndugu Waziri wa Afya, naomba kukuuliza MASWALI matatu tu ili nisikuchoshe. Nikiwa mwananchi wa nchi hii ninahitaji majibu sahihi kutoka kwako tena yawe ya kitaalamu na si ya kisiasa:

1) Je, korona ipo au haipo hapa Tanzania, na kama ipo Ni ya aina gani, ya China au ya South Africa?

2) Je, Makamu wa Kwanza wa Rais Seif Sharif Hamad anaumwa korona kama Chama chake kilivyotoa taarifa au ni ugonjwa wa pneumonia? Ni kwanini serikali haijaujulisha umma juu ya kuugua kwa kiongozi huyu?

3) Ni kipi huleta taharuki kwa wananchi Kati ya uongo na ukweli?

Nakumbuka Bwana Yesu amewahi kusema: "tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru." Mathayo 8:32.

Asante Waziri, nakutakia kazi njema kwa matumaini ya kupata majibu sahihi yatakayoniondolea "taharuki" mimi pamoja na Watanzania wengine walio kama mimi.
 
Zamani mtu mmoja mmoja ndani ya nchi aliweza kuwa muongo na mhuni ila kwa sasa serikali hii imekuwa kinara wa uongo na uhuni
We acha tu, halafu waongo hawa kila ibada unawakuta wamejaa misikitini na makanisani!!!
 
Kwani wewe ni Dr. Dorothy Gwajima niliyemuuliza swali!?

Mwandikie bsrua huyo waziri kama unataka yeye ndio akujibu. Kulikua na haja gani kuandika hapa jukwaani hayo maswsli yako ikiwa unataka waziri ajibu?
 
Mwandikie bsrua huyo waziri kama unataka yeye ndio akujibu. Kulikua na haja gani kuandika hapa jukwaani hayo maswsli yako ikiwa unataka waziri ajibu?
Hili ni jukwaa la umma, waziri Gwajima ni waziri wa umma. Covid Ni ugonjwa wa umma. So nataka majibu yawe ya wazi ili umma wa JF ujue. Otherwise, shut up your narrow mouth.
 
kwani ni nani aliewambia watu wavae barakowa miezi nane iliyopita ? bado hajabadilisha kauli ya kuwambia wasivae,ila anachotumia ni kuwa kila mtu ana akili zake,sasa mtu akikwambia usivae changanya na akili yako.
 
kwa sasa "koona" imeshika kasi nchini, tegemea jamaa kurejea likizo ndefu huko nchini jirani ya chatoo
 
We kamasi kweli kuugua augue Mh Makamu wa Rais Zanzibar halafu kutangaza atangaze Dr Gwajima
 
Ndugu Waziri wa Afya, naomba kukuuliza MASWALI matatu tu ili nisikuchoshe. Nikiwa mwananchi wa nchi hii ninahitaji majibu sahihi kutoka kwako tena yawe ya kitaalamu na si ya kisiasa:

1) Je, korona ipo au haipo hapa Tanzania, na kama ipo Ni ya aina gani, ya China au ya South Africa?

2) Je, Makamu wa Kwanza wa Rais Seif Sharif Hamad anaumwa korona kama Chama chake kilivyotoa taarifa au ni ugonjwa wa pneumonia? Ni kwanini serikali haijaujulisha umma juu ya kuugua kwa kiongozi huyu?

3) Ni kipi huleta taharuki kwa wananchi Kati ya uongo na ukweli?

Nakumbuka Bwana Yesu amewahi kusema: "tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru." Mathayo 8:32.

Asante Waziri, nakutakia kazi njema kwa matumaini ya kupata majibu sahihi yatakayoniondolea "taharuki" mimi pamoja na Watanzania wengine walio kama mimi.
Huyo mama waziri dish limeyumba hajitambui
 
Hili ni jukwaa la umma, waziri Gwajima ni waziri wa umma. Covid Ni ugonjwa wa umma. So nataka majibu yawe ya wazi ili umma wa JF ujue. Otherwise, shut up your narrow mouth.

It seems like I underestimated your level of comprehension. I thought you are better than this.
 
It seems like I underestimated your level of comprehension. I thought you are better than this.
I'm a member of this forum which is a public forum; and a citizen of this country. Dorothy Gwajima is a public leader in the ministry of health. She's obliged to answer these questions. If she doesn't, it's up to her.
So I thought it's none of your business poking your nose into my affairs.
 
Taratibu mkuu; utaharibu mada yako bure, kwani utapata kila aina ya majibu hapa, hasa toka kwa hao wapotoshaji.
Wakati mwingine unamjibu mtu alivyokuja, japo huweza kuleta ukakasi kwa waungwana. Hata hivyo mkuu "Monk" ni mtu wa kiroho, hawezi pata tabu.
 
We kamasi kweli kuugua augue Mh Makamu wa Rais Zanzibar halafu kutangaza atangaze Dr Gwajima
Seif Sharif Hamad Ni Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar. Nafikiri masuala ya Afya ni ya Muungano. Ni haki Mganga mkuu wa serikali au waziri wa Afya aeleze umma tatizo la kiongozi wao.
 
Back
Top Bottom