Maswali matatu kwa Waziri wa Afya

Maswali matatu kwa Waziri wa Afya

Tanzania imekuwa nchi ya Jamhuri ya ndizi. Nchi inaendeshwa kimagumashi kila mahali na uwongo ndiyo umetawala. Wakati unashangaa Jaji anapewa promotion kuwa Jaji wa Rufaa kwa kuandika hukumu ya Kiswahili kinyume na kanuni, huku Wabunge wasio na Chama wanaruhusiwa kuingia Bungeni na kushiriki mijadala na utungaji Sheria.

Upande mwingine Rais ambaye ni mbumbumbu wa fani ya udaktari ndiyo anayetoa kauli kuwa hakuna ugonjwa wa corona wakati upande wa pili wa nchi Makamu wa Rais anasema amepimwa na kakutwa na corona.

Tanzania imekuwa ni NCHI YA HOVYO
 
I'm a member of this forum which is a public forum; and a citizen of this country. Dorothy Gwajima is a public leader in the ministry of health. She's obliged to answer these questions. If she doesn't, it's up to her.
So I thought it's none of your business poking your nose into my affairs.
Your affairs into public forum???I gave you credits you don't deserve.
 
Tanzania imekuwa nchi ya Jamhuri ya ndizi. Nchi inaendeshwa kimagumashi kila mahali na uwongo ndiyo umetawala. Wakati unashangaa Jaji anapewa promotion kuwa Jaji wa Rufaa kwa kuandika hukumu ya Kiswahili kinyume na kanuni, huku Wabunge wasio na Chama wanaruhusiwa kuingia Bungeni na kushiriki mijadala na utungaji Sheria.

Upande mwingine Rais ambaye ni mbumbumbu wa fani ya udaktari ndiyo anayetoa kauli kuwa hakuna ugonjwa wa corona wakati upande wa pili wa nchi Makamu wa Rais anasema amepimwa na kakutwa na corona.

Tanzania imekuwa ni NCHI YA HOVYO
Asante Sana. Ni wakati Sasa wa kufahamu iwapo anapotoshwa na madaktari au Rais ameamua kunywa damu ya Watanzania.
Waziri Ni lazima atoke hadharani atuambie wenye nchi iwapo korona ipo au haipo. HATUTAKI kuwa na viongozi wanaotuambia uongo huku wakifikiri sote tu mbumbumbu. Hii tabia ya utawala wa awamu ya tano kufikiri wanahohodhi akili zetu ni tabia chafu sana. Ukweli huleta Uhuru. Badala ya taharuki wanayoisababisha watawala, watu watajua wajikinge vipi.
Waziri wa Afya tafadhali jibu MASWALI haya.
 
Back
Top Bottom