Katika udhibiti wa corona,mazingira yetu yazingatiwe sana.
Data ziwekwe wazi.Wataalamu waruhusiwe kupima lakini wafuatiliwe kujiridhisha wanatupa majibu sahihi.
Tuwe makini na kila kitu hadi vifaa kuhakikisha vinatupa majibu sahihi na si vinginevyo.
Kuna conspiracy theories nyingi kuhusu huu ugonjwa na mambo yanayozungumzwa hatuwezi kuyapuuza yote.
Ndio maana nasisitiza tuwekeze kwenye kupima na kufuatilia athari zake ndani ya nchi yetu huku tukiwa makini kuhakikisha hakuna anayepika data wala kuhujumu zoezi ili ugonjwa uonekane mkubwa au mdogo.
Tujue ukweli kwamba hili kwetu ni tatizo kubwa au la kawaida.
Then tuchukue hatua sahihi.
Hizo chanjo kwa kweli mtanisamehe mimi sitaki hata kuzisikia.Siamini kabisa kwamba in two years time tunaweza kuwa na chanjo sahihi kwa mdudu aliyeisumbua dunia bila kutibika maelfu ya miaka kama virus.I think kama dunia tumechukua risk kubwa sana kufanya experiment kwenye miili ya watu at global level.
Dr Fauci wa U.S aliulizwa kwanini bado wanahimiza lockdowns hata baada ya majority ya watu kuchanjwa,jibu alilotoa linakatisha tamaa.Kwamba there are still unknowns about the virus and the vaccine so hawako sure na efficiency ya chanjo(which means wanafanya majaribio).Na bado wanasema itachukua muda mrefu sana kufikia herd immunity!They always come up with something new to exaggerate the situation!
Kuna vitu vya kuwa navyo makini sana.
Mkuu dah!Wapime nini.The so called C-19 virus has never been proved to exisist, simply no evidence.Akina Anthony Fauci,Bill Gates na washirika wao Wameambiwa by independent and uncompromized scientists wa-prove kwamba the virus exisists wameshindwa mpaka sasa.Infact dau la US $ 1.8 million lilitolewa,lakini hakuna yeyote aliyeweza kuthibisha kwamba virus wa C-19 yupo.
Halafuu,wapime kwa kutumia nini,the RT-PCR kit ambayo ina-report 100% false positives!Mkuu the whole thing is fraudulent and fake.
Mkuu umeshawahi kuona ingredients za inaitwa C-19 vaccine? Ni kichekesho.Sio vaccine kabisa,ni mRNA technology ambayo nia yake ni ku-re-programme DNA kwa nia ya ku-control wanadamu 100%.Infact atakaye kubali kuchanjwa anakubali kuwa a visible Zombie na Guine Pig,kama atakuwa na bahati ya kuishi.
Napenda nisisitize hapa kwamba the American Food and Drugs Administration wamesema categorically kwamba hawatapisha any of the vaccines kwa matumizi ya binadamu.Kwa nini?Akili kichwani.Ikumbukwe pia kwamba chanjo zote za C-19 hazijaruhusiwa kutumika kama chanjo na WHO,European Medicines Agency na European Medicines Centre.Kwa sasa zinatumika in an experimental capacity only.Niseme hivii,yeyote anayekubali chanjo hizo anakubali kuwa Zombie na Guinea Pig kama nilivyo sema,kwa kuwa kinachoendelea sasa ni majaribio.
Contents za hiyo chanjo hizi hapa👇.
CORONA VAX INGREDIENTS ARE HORRIFIC BEYOND BELIEF
I repeat the so called C-19 jab not a vaccine,it is an mRNA therapy or a bio-weapon,and who ever believes this is a vaccine is either dumb or compromised.That is the bottomline!
What Ingredients are in the COVID-19 Vaccine?
(We just got the answer to why people end up twitching until dead, or die on the spot)
Let me guess the troll response: “There’s nothing here saying it is dangerous if you inject it! They said no skin contact, don’t inhale it, don’t eat it, but they did not say don’t inject it, so that’s OK!!!

___
Jim Stone's Blockbuster: CORONA VAX INGREDIENTS ARE HORRIFIC BEYOND BELIEF