Maswali na majibu kuhusu Alliance In Motion Global

Yaani na ushahidi wote kuwa hawa jamaa hawafai hawatufai kwa sabuni ya unga ya maji wala kacherema lakini wanadamu wenye nyoyo dhaifu wanaendelea kumiminika kwao...ponzi scheme ni scheme tu hata uivalishe joho la ubidhaishaji wa bidhaa kwa mgongo wa kuongeza watu.mwisho wa yote ni ubatili mtupu.
 
Hahahaha hawa masela wanatumia slogan moja hiyo hiyo hawabadilishi

Yani sera waliyoitumia mwaka 2018 ndo hiyo hiyo nimekutana nayo jana

It's Scars
 
Hahahaha Hiyo ndo spirit ya kuwakamata mapeta

wajanja washasanuka mbongo anakunyima connection kwenye video ya ngono halafu akupe connection ya mchongo? mbona haiwezekani.

It's Scars
 

Mkuu umeongea ukweli mtupu kabisa, hawa majamaa wanatuona sisi kama majoker.



It's Scars
 
Kwa hiyo kumbe kweli!! Kuwa yale magari mnayo piga nayo picha sio yenu. Dah
 
Wayapatie wapi rafiki yangu?

Hao wahuni tu wanataka kutumia fursa watu

It's Scars
Kuna mwamba kipindi tupo college alikuwa anapiga hizi ishu ana nivutia, walikuwa kama 3. Wakaja kupotezea wenyewe, wao walikuwa ORIFLAME.
 
magari sio yao mark this, ukiona picha za magari hazina plate number au wanaficha ukiona plate number ya gari ingiza kwenye ile site ya trafic ya kuangalia fine ingiza number ya gari compare na jina la aliyepiga picha.
 
magari sio yao mark this, ukiona picha za magari hazina plate number au wanaficha ukiona plate number ya gari ingiza kwenye ile site ya trafic ya kuangalia fine ingiza number ya gari compare na jina la aliyepiga picha.
Hahahaaa sikuwahi kufikiria angle hiyo aisee

Ila kifupi ni kwamba machizi wana hali mbaya kinoma halafu kuna ile dhana ya kuficha umasikini ambayo inajidhihirisha wazi kabisa

Yani unamuona mtu kanyuka suti lakini unaona kabisa suti imemkataa. Mwingine kapiga ya mtumba shati la ndani ule weupe umechange kua rangi ya dona.

Kuna demu mmoja alikua akijinadi kua amepiga bingo ya 50+ millions na ana mkoko ambao unaogopwa na watu kwasababu unakula sana utuli nikimcheki usoni naona fenesi yani pimples kibao. At the same time wanakutangazia package zao kua zinauwezo wakutoa pimples


Mwingine wakati anapita mbele kwenda kuhamasisha watu, alipita karibia yangu nikasikia harufu ya sabuni aina ya jamaa.

Huwezi amini jamaa hata aibu hana eti anasema anamiliki milion 100 na yeye anakamilisha mwaka tangu ajiunge. Mara sijui niliacha kazi ya udokta nikaamua kujiunga na hii global mi nikawa namuona kama joker tu.



It's Scars
 
magari sio yao mark this, ukiona picha za magari hazina plate number au wanaficha ukiona plate number ya gari ingiza kwenye ile site ya trafic ya kuangalia fine ingiza number ya gari compare na jina la aliyepiga picha.

Magari sio yao na kitu kimgine extra nilicho observe pale nikua wachache sana wenye uhakika wa kutimiza milo mitatu

Halafu wanaishi kwa mateso ya kujificha ficha sana ili watu wasiwasanukie kua wanahaso. Pale makumbusho kwenye jengo lao la semina hakuna hata gari iliyopaki eneo lile ambayo wakiwa ndani wanayazungumzia kua wanayamiliki



It's Scars
 

[emoji23][emoji23][emoji23] hawa jamaa vituko sana yaani sijui wanakuaga wamerogwa??
 

wana ndoto zisizotimia
 
Biashara yoyote ambayo focus yake ni kutafuta wauzaji na sio wanunuaji kuwa na hofu nayo Sana, unahudhuria Masaa Matatu MTU anataka akupe utajiri kupitia dawa za chunusi na kadhalika na wakati wote huo wala hashitukii kukushauri na wewe uitumie kwasababu chunusi unazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…