Maswali na Majibu: Namna ya Kupakua (Download) Movies bure

Maswali na Majibu: Namna ya Kupakua (Download) Movies bure

Wataalamu natumaini wazima humu,

Nashindwa kudownload movies kabisa wakuu, nimefuatilia thread nyingi humu jinsi ya kudownload movies napo nimechemka, sijui kichwa kigumu. Kuna mtu akanambia niingie u torrent nadhani sasa kila nikiingia kupitia google zinakuja nyingi najaribu kufuatilia nakuta yanakuja mambo mengine tu mengi mengi mwisho nachemka.

Nimeona nije hapa ili nipate msaada step by step hadi niweze kudownload movies namimi. Natumia Computer, MSAADA WAUNGWANA NAMI NIFAIDI MOVIES.
 
Habari yako.

Zipo njia mbili za kudownload movie kwa PC.
1-Torrent
2-Direct download

Torrent- kwa njia hii lazima uinstall software za torrent kama vile, bitspirit, utorrent n.k.

Kisha tembelea website zinazotoa huduma ya torrents . Ubaya ni kwamba website nyingi za movie za torrent zilifungiwa (inawezekana zipo ila sizijui) , ila kwa upande wa SERIES) website za torrent zipo nyingi tu mfano eztv n.k.

Kwa urahisi ukitembelea hiyo website ukifika kwenye movie/episode unataka bonyeza kialama cha sumaku fasta tu inaunganisha kwenye software yako ya torrent.

Raha ya torrent: unaweza weka hata movie/episode 20 zikawa zinadowbload kwa pamoja ni bando lako tu. Na pia internet ikikata inakua hupotezi kitu. Yaani internet ikirudi mzigo unaendelea kushuka. (naipendela sana nikiwa busy)

Direct Download- Hizi zipo style mbili
1-kudownload direct link iliyopo kwenye website(mimi situmii maana nakua sina hakika na ubora wa file)
2-kudownload kwa kucapture video kwa kutumia IDM (kwangu mimi ndio the best kuliko torrent)

Kudownload direct kwa direct link hii ukienda kwwnye website husika utaona link zinazokuongoza hivyo click mzigo unashuka (siipendi ndio mana hata website zake sizijuo vizuri)

Download kwa kucapture linl ya video -naipenda sana na ni simple.
Download IDM , install na kisha install browser intergration yake. Ukimaliza restart browser. Sasa hapo unaingia web kama 1movies.se kisha unachagua movie tena yenye logo ya HD kisha unaiplay. Ukiplay tu utaona kijidubwasha cha IDM kinakuuliza kama unatala kudownload video. Unakaclick basi hapo katakuuliza quality hani unataka 720/480 n.k format inakuwepo TS na MP4 .raha ya hii ukiwa na internet yenye speed movie ni dakika 30 tu. Ila udhaifu wake huwezi download vitu vingi kwa pamoja na pia sometime inaweza isikubali kuendelea iwapo internet itakata (ila ni mara chache)

Nadhani kidogo umepata mwanga

Kama hujaelewa au una maswali uliza.

Kama unahitaji more clarification
Nicheki 0745090905

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Awali palikuwa na torrents nyingi sana za wazi/bure(free),mojawapo ni KICKASS TORRENTS(nadhani imefungwa baada ya mmiliki kukamatwa(nliskia taarifa hizo)....hata hivyo kuna nyinginezo zilibaki ama zilikuwepo kama matawi mfano,PIRATE BAY ambayo wakati mwingine huzingua kudowload torrents zake mpaka ku-log in n.k(kwa uzoefu wangu)
Sasa katika pitapita zangu nikaipata hii torrent link ya PIRATE BAY ambayo unadownload free...
Link ni hii

HATUA ZA KUDOWNLOAD MOVIE/SERIES/music/app/books n.k

1.download UTORRENTS AU BITTORRENTS na u-install kwenye PC yako
2.Ingia google au search engine yoyote(operamini n.k) na u-search Knaben database,fungua link ya kwanza kabisa(ina link kama hii https://www4.knaben.cc/)
3.baada ya kufungua,ingia sehemu ya ku-search na uandike jina la movie au series unayoitaka
4.ikija orodha ya movie/series nyiingi,chagua ile yenye uwezo(Mb) unazoweza kumudu kisha ifungue(click)
5.ikishafunguka, nenda hadi palipoandikwa "GET THIS TORRENT" halafu click na usubiri sekunde kadhaa utaona inakuuliza iwapo utapenda kutumia (UTORRENT AU BITORRENT moja kati hizo kama ulivyo-install),weka tiki(vema) kwenye kabox kisha subiri U/bitorrent ifunguke.
6.U/Bitorrent ikishafunguka itakuonesha pahala pa kuchagua pakuhifadhia/ku-download (yaani disk ipi uhifadhi hicho unachodownload, mf. Local disk C au E au kwenye external yako ambayo itatokea jina lake au herufi kama H n.k)
7.Baada ya ku-click,hapo utaona inaanza ku-download na ikimaliza uta-right click upate options haswa ya kustop ambapo itaonesha finished.
Hivyo ndivyo ninavyoelewa mimi.
NB-ukihitaji maelezo kwa picha,baadae.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari yako.

Zipo njia mbili za kudownload movie kwa PC.
1-Torrent
2-Direct download

Torrent- kwa njia hii lazima uinstall software za torrent kama vile, bitspirit, utorrent n.k.

Kisha tembelea website zinazotoa huduma ya torrents . Ubaya ni kwamba website nyingi za movie za torrent zilifungiwa (inawezekana zipo ila sizijui) , ila kwa upande wa SERIES) website za torrent zipo nyingi tu mfano eztv n.k.

Kwa urahisi ukitembelea hiyo website ukifika kwenye movie/episode unataka bonyeza kialama cha sumaku fasta tu inaunganisha kwenye software yako ya torrent.

Raha ya torrent: unaweza weka hata movie/episode 20 zikawa zinadowbload kwa pamoja ni bando lako tu. Na pia internet ikikata inakua hupotezi kitu. Yaani internet ikirudi mzigo unaendelea kushuka. (naipendela sana nikiwa busy)

Direct Download- Hizi zipo style mbili
1-kudownload direct link iliyopo kwenye website(mimi situmii maana nakua sina hakika na ubora wa file)
2-kudownload kwa kucapture video kwa kutumia IDM (kwangu mimi ndio the best kuliko torrent)


Kudownload direct kwa direct link hii ukienda kwwnye website husika utaona link zinazokuongoza hivyo click mzigo unashuka (siipendi ndio mana hata website zake sizijuo vizuri)

Download kwa kucapture linl ya video -naipenda sana na ni simple.
Download IDM , install na kisha install browser intergration yake. Ukimaliza restart browser. Sasa hapo unaingia web kama 1movies.se kisha unachagua movie tena yenye logo ya HD kisha unaiplay. Ukiplay tu utaona kijidubwasha cha IDM kinakuuliza kama unatala kudownload video. Unakaclick basi hapo katakuuliza quality hani unataka 720/480 n.k format inakuwepo TS na MP4 .raha ya hii ukiwa na internet yenye speed movie ni dakika 30 tu. Ila udhaifu wake huwezi download vitu vingi kwa pamoja na pia sometime inaweza isikubali kuendelea iwapo internet itakata (ila ni mara chache)

Nadhani kidogo umepata mwanga


Kama hujaelewa au una maswali uliza.

Kama unahitaji more clarification
Nicheki 0745090905

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ahsante,ila nina swali. hiyo IDM ili nidownload naisearch tu kupitia google au? na ipi ndo yenyewe maana ukiandika IDM zinakuja nyingi sana
 
Awali palikuwa na torrents nyingi sana za wazi/bure(free),mojawapo ni KICKASS TORRENTS(nadhani imefungwa baada ya mmiliki kukamatwa(nliskia taarifa hizo)....hata hivyo kuna nyinginezo zilibaki ama zilikuwepo kama matawi mfano,PIRATE BAY ambayo wakati mwingine huzingua kudowload torrents zake mpaka ku-log in n.k(kwa uzoefu wangu)
Sasa katika pitapita zangu nikaipata hii torrent link ya PIRATE BAY ambayo unadownload free...
Link ni hii

HATUA ZA KUDOWNLOAD MOVIE/SERIES/music/app/books n.k

1.download UTORRENTS AU BITTORRENTS na u-install kwenye PC yako
2.Ingia google au search engine yoyote(operamini n.k) na u-search Knaben database,fungua link ya kwanza kabisa(ina link kama hii https://www4.knaben.cc/)
3.baada ya kufungua,ingia sehemu ya ku-search na uandike jina la movie au series unayoitaka
4.ikija orodha ya movie/series nyiingi,chagua ile yenye uwezo(Mb) unazoweza kumudu kisha ifungue(click)
5.ikishafunguka, nenda hadi palipoandikwa "GET THIS TORRENT" halafu click na usubiri sekunde kadhaa utaona inakuuliza iwapo utapenda kutumia (UTORRENT AU BITORRENT moja kati hizo kama ulivyo-install),weka tiki(vema) kwenye kabox kisha subiri U/bitorrent ifunguke.
6.U/Bitorrent ikishafunguka itakuonesha pahala pa kuchagua pakuhifadhia/ku-download (yaani disk ipi uhifadhi hicho unachodownload, mf. Local disk C au E au kwenye external yako ambayo itatokea jina lake au herufi kama H n.k)
7.Baada ya ku-click,hapo utaona inaanza ku-download na ikimaliza uta-right click upate options haswa ya kustop ambapo itaonesha finished.
Hivyo ndivyo ninavyoelewa mimi.
NB-ukihitaji maelezo kwa picha,baadae.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nikitaka kudownload hiyo UTORRENT AU BITTORRENTS nafanyeje? (samahan sio mtaalamu kabisa wa haya mambo)
 
Mkuu ahsante,ila nina swali. hiyo IDM ili nidownload naisearch tu kupitia google au? na ipi ndo yenyewe maana ukiandika IDM zinakuja nyingi sana
Link ya IDM hiyo


Link ya utorrent hiyo

Link ya bitspirit


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ingia kwenye browser either simu au pc then type www.google.com then kwenye google search bar andika intitle:index.of? __________ mp4 hapo kwenye desh weka jina la movie unayoitaka then search. Utapata direct links ambazo ukiclick tu mzigo unashuka
 
Mkuu ahsante,ila nina swali. hiyo IDM ili nidownload naisearch tu kupitia google au? na ipi ndo yenyewe maana ukiandika IDM zinakuja nyingi sana

IDM nafikiri ni moja ya application za ku-download na kwa uelewa wangu hii si rahisi sana ku-download torrents mbalimbali haswa kwa begginers... tumia application ya UTORRENT au Bitorrent ndio rahisi zaidi na ukiisearch kwa kupitia google au search engine yoyote unaipata,ya kwanza kabisa itafaa zaidi miongoni mwa zitazokuja kama majibu ya search engine husika


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa fanya hivi ingia katika browser unayotumia andika Vuze download itakuja download /run itajiinstall baada yakuwepo katika computer yako fanya haya tafuta movies download ukipata unachukua URL LINK una paste katika hiyo Vuze au tafuta IDM uweke itakuwa inafanya automatic soon nakupa uzi wenye site za movie


Ingia hapa

https://www.jamiiforums.com/threads/download-links-kdrama-movies-tv-shows-others.11579279/


Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nimefanikiwa mkuu
 
Link ya IDM hiyo


Link ya utorrent hiyo

Link ya bitspirit


Sent using Jamii Forums mobile app
ahsante mzee, kama nitakwama sehemu nitarudi
 
Back
Top Bottom