Maswali na ushauri kwa Malinzi

Maswali na ushauri kwa Malinzi

Ndio maana malyafyale alikuwa anapanda jazba maana majibu ya rais n mepesi,kuna taarifa ya binzubery kuwa ukaguzi wa kiwanja cha mbeya umefanyika na kuna asilimia kubwa sana mechi kufanyika kule katika dunia ya sasa huwezi kuficha kitu knachohusu jamii hususan soka mh rais
 
Hivi ni lazima kila kitu kibadilike hata mechi muhimu kama ya zimbabwe mnataka ichezwe mbeya?
Nimemsika manager wa timu kituo kimoja charadio akisema mngependa ichezwe mbeya kisa timu ipo kambini mbeya na hali ya hewa ni baridi mngependa wacheze mbeya hapa mnachemka rudisheni mechi dar

Mjasiria Akili mkoa wa mbeya,kama ilivyo Dar,ni sehemu ya himaya ya Tanzania.Hatujasema mchezo utafanyika Mbeya ila ikitokea ukafanyika huko itakuwa ni sehemu ya to spread the game,kusambaza mpira Tanzania.
 
Last edited by a moderator:
Mjasiria Akili mkoa wa mbeya,kama ilivyo Dar,ni sehemu ya himaya ya Tanzania.Hatujasema mchezo utafanyika Mbeya ila ikitokea ukafanyika huko itakuwa ni sehemu ya to spread the game,kusambaza mpira Tanzania.

Lakini ndugu Malinzi tunasambaza huo mpira strategically au tunafanya holela holela sababu huwezi kusambaza mpira kwa gharama ya kuatarisha nafasi ya timu ya taifa kwenye mashindano ya kimataifa sababu sina hakika na pitch ya uwanja wa sokoine kama ina ubora wa wachezaji kudisplay vipaji na timu kupata ushindi na kiukweli timu zikicheza uwanja mbovu wachezaji wa timu zote upoteza umakini na mara nyingi mechi kama hizi uwa zinaishia kwa timu kutoka sare sasa iwapo tutatoka sare na zimbabwe (ndio kitu ninachokiona kama mechi itachezwa mbeya) naamini nafasi yetu itakuwa ndogo kuitoa zimbabwe na kama tunashindwa kumtoa hata zimbabwe tunataka tupangwe na nani ili tumtoe COMORO.
 
naamini nafasi yetu itakuwa ndogo kuitoa zimbabwe na kama tunashindwa kumtoa hata zimbabwe tunataka tupangwe na nani ili tumtoe COMORO.

Kwa maandalizi haya hatuwezi mtoa Zimbabwe hata mechi ichezewe viunga vya Ikulu Dar~!Zimbabwe analeta kikosi chake chenye wachezaji wote wanaocheza South Africa na 2 Ulaya;Sisis hata hao wawili wa nje Samatta na Ulimwengu HAWAJI!

Tumeisha chelewa kaka,labda tujiandae sasa kombe la Dunia Qatar
 
MKALIKENYA aliyekuambia Tanzania vs Zimbabwe itachezewa uwanja wa Taifa ni nani?

Haya ndugu Malinzi mechi mmetangaza rasmi inachezwa dar es salaam kulikoni mlipeleka timu kupiga kambi TUKUYU kwenye baridi kali?tunaomba ufafanuzi wa hili maana tunaanza kupata shaka na baadhi ya maamuzi ya TFF.
 
Lakini ndugu Malinzi tunasambaza huo mpira strategically au tunafanya holela holela sababu huwezi kusambaza mpira kwa gharama ya kuatarisha nafasi ya timu ya taifa kwenye mashindano ya kimataifa sababu sina hakika na pitch ya uwanja wa sokoine kama ina ubora wa wachezaji kudisplay vipaji na timu kupata ushindi na kiukweli timu zikicheza uwanja mbovu wachezaji wa timu zote upoteza umakini na mara nyingi mechi kama hizi uwa zinaishia kwa timu kutoka sare sasa iwapo tutatoka sare na zimbabwe (ndio kitu ninachokiona kama mechi itachezwa mbeya) naamini nafasi yetu itakuwa ndogo kuitoa zimbabwe na kama tunashindwa kumtoa hata zimbabwe tunataka tupangwe na nani ili tumtoe COMORO.
Uliza mchezaji yeyote aliyecheza Sokoine baada ya pitch kufanyiwa marekebisho makubwa kabla mzungukonwa pili haujaanza Mapema mwaka huu,ni nzuri sana.
 
Kwa maandalizi haya hatuwezi mtoa Zimbabwe hata mechi ichezewe viunga vya Ikulu Dar~!Zimbabwe analeta kikosi chake chenye wachezaji wote wanaocheza South Africa na 2 Ulaya;Sisis hata hao wawili wa nje Samatta na Ulimwengu HAWAJI!

Tumeisha chelewa kaka,labda tujiandae sasa kombe la Dunia Qatar
Malafyale unashusha silaha na kuinua mikono juu kabla hata hujafyatua risasi moja?
 
Last edited by a moderator:
Uliza mchezaji yeyote aliyecheza Sokoine baada ya pitch kufanyiwa marekebisho makubwa kabla mzungukonwa pili haujaanza Mapema mwaka huu,ni nzuri sana.

Haya ndugu Malinzi mechi mmetangaza rasmi inachezwa dar es salaam kulikoni mlipeleka timu kupiga kambi TUKUYU kwenye baridi kali?tunaomba ufafanuzi wa hili maana tunaanza kupata shaka na baadhi ya maamuzi ya TFF.
 
Haya ndugu Malinzi mechi mmetangaza rasmi inachezwa dar es salaam kulikoni mlipeleka timu kupiga kambi TUKUYU kwenye baridi kali?tunaomba ufafanuzi wa hili maana tunaanza kupata shaka na baadhi ya maamuzi ya TFF.
Kama wewe ni mwandishi ukipata fursa ongea na mwalimu kuhusu hili atakupa maelezo.
 
Heeee ngorongoro heros tumelambishwa mawili hapa hapa home, Je tukienda Nigeria tupigwa ngapi?

Tanzania tunarudi kule kuleeee kwa mzee Mwinyi ( kichwa cha mwendawazimu)

Karibu Zimbabwe uje uchukue pointi za chee kabsaa hapa bongo!

Unasemaje Jamali Malinzi kuhusu hili?
Ukienda vitani hujipangi kushindwa jamani,vinginevyo tusingeingia gharama kuingiza timu zetu tano kwenye mashindano mwaka huu U20 boys and girls,U17 boys,Twiga stars na Taifa stars,zote tuliziingiza tukiwa na nia ya kushinda.
 
Kama wewe ni mwandishi ukipata fursa ongea na mwalimu kuhusu hili atakupa maelezo.

Mimi sio mwandishi ndugu malinzi na sijui ni kitu gani kimekufanya hudhani mimi ni mwandishi hivyo sina fursa ya kumpata mwalimu kama ulivyoshauli naomba hunijibu hapa kwenye ukurasa wetu utakuwa umenitendea haki mimi na ukurasa huu kwa ujumla, ndugu rais mimi ni mwana JF mtanzania na kitaaluma mimi ni mwanasheria na wakili msomi.
 
Mimi sio mwandishi ndugu malinzi na sijui ni kitu gani kimekufanya hudhani mimi ni mwandishi hivyo sina fursa ya kumpata mwalimu kama ulivyoshauli naomba hunijibu hapa kwenye ukurasa wetu utakuwa umenitendea haki mimi na ukurasa huu kwa ujumla, ndugu rais mimi ni mwana JF mtanzania na kitaaluma mimi ni mwanasheria na wakili msomi.
Yapo ya kujibu mimi yapo ya kujibiwa na mwalimu,ya kiufundi anajibu mwalimu,wenye access na mwalimu mara nyingi ni waandishi wa habari,labda nimshauri awe na ukurasa social media.
 
Yapo ya kujibu mimi yapo ya kujibiwa na mwalimu,ya kiufundi anajibu mwalimu,wenye access na mwalimu mara nyingi ni waandishi wa habari,labda nimshauri awe na ukurasa social media.

Ok nadhani mwalimu amekuja tayari TFF ilishaipeleka stars ya maboresho mbeya na naamini kabra ya kwenda mbeya hakuwahi kufika mbeya swali langu JE ni nani aliyependekeza kambi ifanyike mbeya?
 
Mwalimu kaja juzi aamue timu iweke kambi tukuyu wakati napajui na kule tukuyu si ndio kule kule hata wale vijana wenu wa tukuyu squard ndio ilikua kambi yao
 
Mwalimu kaja juzi aamue timu iweke kambi tukuyu wakati napajui na kule tukuyu si ndio kule kule hata wale vijana wenu wa tukuyu squard ndio ilikua kambi yao
Kwa lugha nyingine unataka Malinzi amwage hapa jf dondoo za mawasiliano yote aliyokuwa anayafanya na Mwalimu Nooij kuanzia January mwaka huu kabla hata programu ya maboresho haijaanza hadi leo hii? Huo utakuwa utawala bora kweli? Ninachokuomba @ mjasiria akili na wadau wote wa mpira ni positivity,let be positive,negativity eventually itawaathiri na wachezaji,wazimbabwe wanakuja kumi na moja na sisi tutakuwa kumi na moja acha tupambane,ni Zimbabwe hawa hawa mwishoni mwa mwaka jana tuliwatoa kamasi hapa hapa uwanja wa Taifa,waache waje tuwaone.
 
Rais kuwakosa akina Samatta na Ulimwengu NIMEVUNJIKA sana moyo;hawa 2 ni mafundi sana na kuwepo kwao kunaleta tofauti kubwa sana kwenye team yetu!
Samatta na Ulimwengu wana mechi ya champions league week end hii.
 
Kwa lugha nyingine unataka Malinzi amwage hapa jf dondoo za mawasiliano yote aliyokuwa anayafanya na Mwalimu Nooij kuanzia January mwaka huu kabla hata programu ya maboresho haijaanza hadi leo hii? Huo utakuwa utawala bora kweli? Ninachokuomba @ mjasiria akili na wadau wote wa mpira ni positivity,let be positive,negativity eventually itawaathiri na wachezaji,wazimbabwe wanakuja kumi na moja na sisi tutakuwa kumi na moja acha tupambane,ni Zimbabwe hawa hawa mwishoni mwa mwaka jana tuliwatoa kamasi hapa hapa uwanja wa Taifa,waache waje tuwaone.

Kusema zimbambwe wapo 11 ndio kigezo cha kuona wa kawaida sio sawa juzi tumecheza na vijana wa nigeria 11 kama sisi muhimu ni kwanza kuwapa heshima yao wametuzidi halafu ndio tuingie vitani tukijua tunapambana na waliotuzidi sio kutuaminisha tunawaweza matokeo yake tunaambulia aibu
 
Kwa lugha nyingine unataka Malinzi amwage hapa jf dondoo za mawasiliano yote aliyokuwa anayafanya na Mwalimu Nooij kuanzia January mwaka huu kabla hata programu ya maboresho haijaanza hadi leo hii? Huo utakuwa utawala bora kweli? Ninachokuomba @ mjasiria akili na wadau wote wa mpira ni positivity,let be positive,negativity eventually itawaathiri na wachezaji,wazimbabwe wanakuja kumi na moja na sisi tutakuwa kumi na moja acha tupambane,ni Zimbabwe hawa hawa mwishoni mwa mwaka jana tuliwatoa kamasi hapa hapa uwanja wa Taifa,waache waje tuwaone.

Ndugu Malinzi kama hizo nondo zinahusu juu ya ni wapi kambi ifanyike itakuwa ni utawala bora kutuambia kama mwalimu ndio alipendekeza kambi iwe Tukuyu sababu duniani kote mapendekezo ya wapi kambi ya timu iwekwe sio siri ata kidogo ndio maana mpaka sasa dunia nzima inajua timu zinazocheza world cup zitaweka kambi wapi kabra ya kwenda brazil na zikiwa brazil zitakaa wapi nadhani kutokutoa taarifa hiyo ya nani alipendekeza kambi iwe tukuyu itakuwa sio utawala bora sababu tayari wadau mbalimbali wana mashaka na juu ya maamuzi haya.
 
Lakini ndugu Malinzi tunasambaza huo mpira strategically au tunafanya holela holela sababu huwezi kusambaza mpira kwa gharama ya kuatarisha nafasi ya timu ya taifa kwenye mashindano ya kimataifa sababu sina hakika na pitch ya uwanja wa sokoine kama ina ubora wa wachezaji kudisplay vipaji na timu kupata ushindi na kiukweli timu zikicheza uwanja mbovu wachezaji wa timu zote upoteza umakini na mara nyingi mechi kama hizi uwa zinaishia kwa timu kutoka sare sasa iwapo tutatoka sare na zimbabwe (ndio kitu ninachokiona kama mechi itachezwa mbeya) naamini nafasi yetu itakuwa ndogo kuitoa zimbabwe na kama tunashindwa kumtoa hata zimbabwe tunataka tupangwe na nani ili tumtoe COMORO.

Twende kitakwimu labda, kati ya mechi zilizochezwa Dar na mikoani ni zipi ambazo timu ya Taifa ilifanya vizuri. Hapa nimeshashuhudia tukufungwa na Msumbiji na kushindwa kufuzu AFCON 2008, tukaja kupigwa tena na Kodivaa na ndoto za WC2014 zikakomea hapo.

Nasapoti timu kucheza mikoani kwa kuwa washabiki wa mikoani ni wazalendo kuliko wa Dar, washabiki wa timu fulani huzomea timu ya Taifa kama wachezaji wao hawajaitwa kwenye kikosi, kuna kipindi John Boko alistaafu timu ya Taifa kutokana na upuuzi wa mashabiki wa Darisalama, mambo haya hayapo mikoani poti.

Azawaizi naungana na Jamal Malinzi kuwa tuusambaze mchezo mikoani na sio kila siku kukomaa na jiji moja tu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom