rubaman
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 4,983
- 3,084
Vp kuhusu timu zinazomilikiwa na Majeshi?? Je mliweka utaratibu wowote kuzihusu??
Manake isifike kipindi Kwenye timu 16 kwenye Ligi za JKT,JW,MAGEREZA,POLISI ni 10..Hapo patakuwa na tatizo kwenye soka letu la Tz...
PILI Ndugu Malinzi hili suala la Ligi yetu kusimama kwa kipindi kirefu katikati ya msimu kana kwamba tunapisha Msimu wa Baridi mnalichukuliaje??
Hapa kama kuna conflict of interests au ni macho yangu? hizo timu zote nne zipo chini ya wizara kama 2, si kuna kipengele cha FIFA/CAF kinachozuia haya?
CC Malafyale, Jamal Malinzi