Jospina
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,421
- 1,395
unafahamu zao la idea ya kutafuta hivo vipaji lilitoka wapi? unafahamu kuwa jopo la makocha, wadau na wataalamu wa soka nchini, waliweka kambi zanzibar, walijifungia takribani wiki nzima kuja na mikakati mbalimbali ya kuinua soka huo wa kusaka vipaji vipya kupitia timu za mkoa ulikuwa mmoja wa mikakati iliyozaliwa na hao wataalamu?? wewe unakuja na kumblame tuu Malinzi? ndo mana nikakwambia huna idea ya soka na hujui maamuzi ya TFF yapoje,Hunijui lkn unaongea vitu vya ajabu kabisa kama vile low esteem!
Wewe ndiyo mwenye inferior complex kwa kuunga mkono issue yyt ile inayohusu mtu anayetoka ukanda wa kwenu na unajulikana kwa hilo!Mm sina la kuogopa na kama madudu haya ya bosi wako ataendelea kuyafanya nitazidi kuyasema tu!
1.Kumpa team kocha weeks 2 kabla ya mashindano makubwa kachemsha
2.Kupeleka team Tukuyu kwenye baridi kali wakati mechi itachezwa kwenye joto huyu bosi wako kachemsha
3.Priority yake sasa kubadili jina la Taifa Stars kama halina maana yyt lkn asianze kufanya hivyo kwa chama anachokiongoza Kagera na timu yenu Lweru Eagles kachemsha
4.Kuokota vijana mitaani eti ndiyo maboresho kachemsha
5.Kuingilia masuala ya usajili wa Domayo wakati hamna team yyt kati ya hizo 2 zimepeleka issue hii TFF kachemsha!
Tukimsema bosi wenu ajirekebishe mnakuwa wakali kweli kweli na kukimbilia kuwa sina ideas yyt ya soka!