Maswali na ushauri kwa Malinzi

muheshimiwa malinzi hivi tff unayoiongoza wewe nayo pia inatengenezewa tiketi na kampuni za nje?

tukijaliwa kuanzia ligi msimu huu tiketi zitakuwa ni za electronic kupitia benki ya crdb
 

Kipaji Halisi hili la Yanga na cecafa siai kama federation we tried our best kuokoa situation na hili Yanga wanajua,walichoamua cecafa ndo hicho.
 
Last edited by a moderator:
Haya tunasubiri majibu au tamko lako rasmi
 
Mr prezidaa tunahitaji majibu ya vigezo vilivyotumika kuitoa Yanga ktk mashindano ya kagame

cecafa walidai Yanga wapeleka a youth squad,bila shaka kuna majina waliyatarajia,ni jambo gumu kwa TFF kulielezea maana hatukutaka Yanga iondolewe.
 

Shark TFF tungekataa kuyapitisha kwa kanuni ipi?
 
Last edited by a moderator:
Asante Mkuu kwa kunisoma, ningependa kuona jambo hili halipiti hivi hivi, viongozi wa TFF waliohusika katika hili wachukuliwe hatua. Siyo lazima wafutwe kazi wanaweza kuandikiwa barua za onyo kuonesha kuwa walichokifanya ni upumbavu mtupu.

makoe matale viongozi wa TFF wawajinishwe kwa lipi? Kwa kupeleka jina la Yanga cecafa na players list? Its all we did.
 
Last edited by a moderator:

SaaMbovu FIFA na CAF wanazitambua associations hizi kama cecafa,cosafa nl na ndio maana kwenye congress za FIFA na CAF wanakaribishwa kama wagwni maalum na hata kuhutubia congress,they are regional groupings.
Ni kweli Yanga walituletea orodha na sisi tukaipelwka cecafa kwa jinai ilivyokuwa.
 
Last edited by a moderator:
Malinzi,

Swali ni kuwa ni kipengele gani, ambacho hata kinalazimisha timu ipeleke kocha gani? Hivi mpira wa Tanzania utakuzwa na CECAFA?

TFF, ilitakiwa ionyeshe ukomavu, heshima ya nchi ilitakiwa kuwekwa mbele. Leo ni Yanga kesho tutaambiwa hata timu ya Taifa ije na nani./ Hata Azam, hawakuonyesha uzalendo, ni kitendo cha kipuuzi kufurahia kwenda wakati Taifa lako lina dhalilishwa.

Kama Musonye alikuwa hataki, tuanze kujenga timu ya mchanganyiko na vijan, kwani ni lazima timu za Tanzania zishiriki? kwa nini hatujifunzi uamuzi wa serikali kukataa kuendesha kwenye EAC?

Malinzi, hili swala ni sensitive, ukweli TFF, au kiongozi aliye handle kaishusha heshima ya Taifa letu, anatakiwa ajiuzulu.
 

komeka we acha tu,ahsante kwa kulitambua hilo.Ifikie wakati vilabu (hasa hivyo vinavyoitwa vikubwa) vitambue kuwa in thw long term kutafuta ubingwa wa papo kwa papo kwa kutumia wachezaji wa nje hakuwasaidia,kuwekeza kwa vijana ndio nguzo ya mpira wa nchi yoyote duniani.
 
Last edited by a moderator:

JITU PEVU uko sahihi kabisa na mimi nakuhakikishia tutafanya hivyo,stay tuned
 
Last edited by a moderator:

mluga yako mambo si ya kueleza hapa,suffice to say TFF tulifanya jitihada Yanga icheze ikashindikana,too sad.
 
Last edited by a moderator:
Jamali Malinzi
natamani kujua aina ya wadau..wafadhili na washirika wa karinu wa tff na mipango yao
mikataba ambayo iliingia tff..mikataba ambayo imeingia tff ..na mikataba ambayo itaingia tff katika kukuza soka letu

mtu chake hadi sasa mikataba tuliyonayo ni ya TBL /taifa stars,vodacom na azam media/premier league na mingine ya copa coca cola na airtel rising star.
 
Last edited by a moderator:

Malafyale wala haikuwa timu B
 
Last edited by a moderator:

Mh.Malinzi hili suala la klabu ya Yanga tunaomba Ufafanuzi wa kina tafadhali Ili turidhike....

Je CECAFA Inaweza ikaiadhibu Yanga moja moja bila TFF Kuhusishwa? Je Yanga ilipeleka Majina ya mchangani?

Mwisho,walivunja kanuni ipi ya mashindano/CECAFA? Natumaini milipewa sababu/taarifa kama chama cha soka juu ya adhabu ya Yanga...
 

Danpol on the contrary kocha maart nooij tangia tumeanza mkataba naye kafungwa mechi mbili tu,ya tar 03/aug vs msumbiji maputo na ya botswana,amedraw mara tatu vs malawi,mozambique na zimbabwe na kuifunga zimbabwe,FIFA rankings aliikuta Tanzania ni ya 133 leo ni ya 110.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…