faiza do you know how much i am worth mpaka ufikirie kukagua mali zangu?
Nikusaidie Faiza,Federation nyingi Africa zinaendeshwa kwa nguvu na uwezo wa viongozi wa hivyo vyama,Look at Zimbabwe FA Mozambique FA etc FA presidents wao ndil wanahangaikia timu hasa za vijana.Kwa nini hujiulilizi majuzi bila udhamini wa uhakika tuliwezaje kuingiza kwenye mashindano ya Africa timu mbili za wanawake under 20 na senior,tukaingiza wavulana under 17 na under 20?Na zote zilikaa kambini zikala zikalala zikapanda ndege kwenda lusaka,lagis,nairobi na jburg.Taifa stars imekaa kambini since march hadi august inakula,inalala,posho,kambi botswana na timu haidai posho,Faiza bado una fikra potovu kuwa Malinzi mwizi? FIFA's motto ni "fair play".
mambo mengine mkuu naomba uwe unapuuzia tu kwani naona kama hayajengi, lugha zinazotumika sio za staha, mi binafsi nathamini uwepo wako hapa kwani kuna vitu vingi unavitolea ufafanuzi na bila wewe ukute tungekuwa tunajiuliza bila kujua wapi tutapata majibu, keep it up ndugu