Jamal Malinzi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 710
- 650
- Thread starter
- #881
ikizu waamuzi hawabadilishwi bila sababu ya msingi na si kila maamuzi tutakuja kuyatolea ufafanuzi jf.Mkuu wa mpira hapa Nchini Tanzania.
nilikwambia kwenye ushauri wangu na maswali kwako hatimae yametimia.
KWANZA
Kuhusu suala la kubadilisha waamuzi wa mechi za TOTO ukakanusha sijui na la mechi ya jana ya TOTO na GEITA utalikanusha? aibu aibu sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kwako kama mkuu wa mpira jitafakari kwa hilo.
PILI
Kituko kingine ni hiki kilichotokea kwenye kamati yako ya utendaji ni juu ya uuandaji wa kamati ya kuwa inashugulika na adhabu hili umelitoa wapi mbona kwenye katiba halipoooooooo jamani huna washauri au husomi katiba ya tff ni aibu aibu na shidaaa hao watu watamuhukumu nani na kwa misingi ipi? na hizo kamati zako za kutoa haki zitafanya kazi gani ikumbukwe fifa masuala yaote yanayohusu adhabu kuna kamati huru zilizojaa wanataaluma wewe kumchagua kalia na yahaya wawe mahakimu hilo umelitoa wapi? kumbuka utakuwa RAIS bogasi kuliko wate waliowahi kuongoza soka la bongo.
TATU
INAUMA sana kusikia nawe unajihusisha na mpango mchafu wa kuhakikisha toto anaingia ligi kuu RAIS jitafakali wapi ulipoanguka na kama hujui nambie niendelee kukusaidia kwa ushauri, Timu ya TOTO mechi 7 zote ilizocheza zimetokea vurugu au mpira kutoisha umewapa point ni aibu
TFF ikiamua kuwa inaunda kamati au kutekeleza maamuzi yake kwa kuangalia nani yanga/simba/azam/mtibwa/ndanda/coastal etc basi hatutakaa tufanye maamuzi kwenye mpira wa nchi hii.Midhali wenyeviti wa hizi kamati wamekugusa,niambie ni maamuzi gani wameyatoa ambayo wewe unayaona ni yanaegemea upenzi wao wa klabu.
Kwenye hili la kuunda kamati ya uendeshaji wa ligi,hii ni kamati NDOGO ya bodi ya ligi na tangia BODI ianzishwe siku zote imekuwa ikisikiliza na kutoa maamuzi kwa masuala ambayo ni NON APPEALABLE na hii mandate Bodi imepewa na kanuni za BODI ya ligi ambazo uongozi wangu umezirithi toka awamu iliyopita.Kamati ya utendaji ya awamu iliyopita ndiyo ilitengeneza kanuni hizi,mbona ulikuwa hujawahi kulalamikia hilo.Malinzi kuboresha utaratibu ambao tayari ulikuwepo imekuwa nongwa?Nia yetu ni kuhakikisha maamuzi yanatolewa ndani ya muda mfupi na sio hadi umma upaze sauti.
Last edited by a moderator: