Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye picha za jezi mpya za taifa starz naomba aweke nizione
hata aje nani pale tff hatuwezi kufuzu mashindano yoyote kwa sasa, malinzi mnamuonea tu, tena tatizo kubwa ni team nyamlani ndio inahujumu soka letu
Zipo online now ni kichefuchefu kabisa kwa ubunifu wa hovyo!
Then TFF wamesema kwa umaridadi wa jezi hizi mpya wana uhakika sasa Taifa Stars itaanza kushinda games zake
Ehehehehe TFF kweli watz tunayo
J Malinzi maombi ya azamfc na yanga kutaka kuzidisha wachezaji wa kigeni mbona hamlitolei jibu kwa nini mda unaenda wachezaji wanagharamikiwa kukaa kwenye mahoteli naomba ulitolee ufafanuzi mapema
Sijajua hadi leo why alimuondoa Kim kamleta huyu mwehu wake