MKALIKENYA
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,196
- 486
kama Bwana Malinzi havunji sheria yeyote basi sioni kama kuna haja ya yeye kuachia uongozi wa KRFA labda tuu iwe kwasababu ya ufanisi na kuachia wengine
Unatakiwa uje sheria si lazima ziwe zimekamilika na ndio maana kuna utaratibu wa kufanya mabadiliko ya sheria mara kwa mara (amendements) sasa hapa ni busara kutumika sababu ata utawala wa kikaburu nchini afrika kusini ulikuwa unafata sheria hivyo basi kuna mazingira sheria inaweza kuwa mbaya na kuna mazingira sheria inaweza kuwa kimya hapo ndipo busara na hekima utumika kuchukua maamuzi sahihi.