The questions were answerable.Ntayaandika kwa kifupi jinsi mimi nilivyoelewa coz yalikua yameulizwa kwa mfumo wa maelezo marefu.
1.objectives of loans board management.
2.Discuss the reasons for establishing loans board.
3.Criteria for one to be eligible for loan from heslb.
4.What are expectations of government of Tanzania on Heslb finance?
No nimejikuta the Niko Hulu Kuna mwanagu alifikia huku so nikajikuta Niko na mm sas naelekeq ilazoUmefata pisi mzee??hapo mida ya usiku ndo unawapata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ntayaandika kwa kifupi jinsi mimi nilivyoelewa coz yalikua yameulizwa kwa mfumo wa maelezo marefu.
1.objectives of loans board management.
2.Discuss the reasons for establishing loans board.
3.Criteria for one to be eligible for loan from heslb.
4.What are expectations of government of Tanzania on Heslb finance?
Nafikiri wajiandae na oral tu hapo ni uhakikaThe questions were answerable.
I hope utakua selected kwenda oral.
Nakutakia maandalizi mema ya oral.
😂😂😂😂Jiandae na oral aseeh nimeangalia heslb act mpaka nikasema yesssss yessss🤣🤣🤣 tusubirie matokeo
😂😂😂😂😂😂Mzee umefanya nicheke sana siku moja nilicheki hiyo avatar nikasema eeeh shindwa pepoo nisijekusema ujinga ujingaMkuu,hiyo avatar yako inatuchanganya ujue.siku zote nilikua najua we ni manzi yani
Hiki kizazi shida sana,kila kitu mnataka,kamserereko!sasa ukionyeshwa maswali,huo utakuwa usahili au utumbo?Inakuaje wazee?
Mwenye experience ya interview za utumishi kada za auditor II pale NAOT na Loan officer II HESLB atuwekee hapa tujiandae.
Ndo maana dunia imebadilika, kama vitu vimerahisishwa kutakuwa na maana gani sasa kama havitumiki? unataka mtu atumie simu kufanya nini, mshukuru Mungu ata una smart phone umeweza kuja kusoma na kutoa maoni humu[emoji3]Hiki kizazi shida sana,kila kitu mnataka,kamserereko!sasa ukionyeshwa maswali,huo utakuwa usahili au utumbo?
Miaka 20 iliyopita hakukuwa na smart phones,Wala mitandao ya kijamii,simu ndio zilikuwa zinaingia?
Sasa mnafikiri sie baba zenu,tulifsnya vipi usahili bila hayo madesa?maana kulikuwa hakuna jinsi ya kupata desa,ni mpaka muonane na mtu,mawasiliano yalikuwa magumu sana!nicmwendo wa kutafutana manually.
Kwahiyo unataka nasisi tusafiri kwa kupanda punda kama mlivyopandaga nyie???acha kuwa na roho mbayaHiki kizazi shida sana,kila kitu mnataka,kamserereko!sasa ukionyeshwa maswali,huo utakuwa usahili au utumbo?
Miaka 20 iliyopita hakukuwa na smart phones,Wala mitandao ya kijamii,simu ndio zilikuwa zinaingia?
Sasa mnafikiri sie baba zenu,tulifsnya vipi usahili bila hayo madesa?maana kulikuwa hakuna jinsi ya kupata desa,ni mpaka muonane na mtu,mawasiliano yalikuwa magumu sana!nicmwendo wa kutafutana manually
Watu wanaideology za ajabu sana aseehNdo maana dunia imebadilika, kama vitu vimerahisishwa kutakuwa na maana gani sasa kama havitumiki? unataka mtu atumie simu kufanya nini, mshukuru Mungu ata una smart phone umeweza kuja kusoma na kutoa maoni humu[emoji3]
Baki na uzee wako tu huko.Hiki kizazi shida sana,kila kitu mnataka,kamserereko!sasa ukionyeshwa maswali,huo utakuwa usahili au utumbo?
Miaka 20 iliyopita hakukuwa na smart phones,Wala mitandao ya kijamii,simu ndio zilikuwa zinaingia?
Sasa mnafikiri sie baba zenu,tulifsnya vipi usahili bila hayo madesa?maana kulikuwa hakuna jinsi ya kupata desa,ni mpaka muonane na mtu,mawasiliano yalikuwa magumu sana!nicmwendo wa kutafutana manually.
Anataka twende library za taifa kusoma, tutumiwe materials posta.Kwahiyo unataka nasisi tusafiri kwa kupanda punda kama mlivyopandaga nyie???acha kuwa na roho mbaya
Kijana ulikuwa LT 2?😀😀😀Challenging kivipi mkuu?
Kule kwenye venue yetu msimamizi mkuu alitutangazia kuwa wataanza kuyatoa kuanzia 2nd November.
Nilikuwa najiuliza riverside ya dom ipo wapi kumbe ni chako ni chako ni wapi?Umefata pisi mzee??hapo mida ya usiku ndo unawapata😂😂😂😂
Leo afadhari kweli aisee, kuwa auditor naot wanakanda kinoma😀😀nahisi ata pass mark zao zitakuwa ndogo, ila HESLB pass mark zitakuwa juu sana maana paper yao watu wengi wameweza ku attemptAfadhali kidogo ya HESLB aisee, sio sawa na jana kule NAOT
Aah mi nilikuwa Lt 2, izi avatar ni balaa mnaweza kuwa same place na msitambuane😀😀Cafe Theater 3