Maswali ya interview NAOT na HESLB

Maswali ya interview NAOT na HESLB

Ntayaandika kwa kifupi jinsi mimi nilivyoelewa coz yalikua yameulizwa kwa mfumo wa maelezo marefu.
1.objectives of loans board management.
2.Discuss the reasons for establishing loans board.
3.Criteria for one to be eligible for loan from heslb.
4.What are expectations of government of Tanzania on Heslb finance?
The questions were answerable.

I hope utakua selected kwenda oral.

Nakutakia maandalizi mema ya oral.
 
Maswali yote yapo kwenye heslb act haya nyumbigwa God abless mpite
Ntayaandika kwa kifupi jinsi mimi nilivyoelewa coz yalikua yameulizwa kwa mfumo wa maelezo marefu.
1.objectives of loans board management.
2.Discuss the reasons for establishing loans board.
3.Criteria for one to be eligible for loan from heslb.
4.What are expectations of government of Tanzania on Heslb finance?
 
Inakuaje wazee?

Mwenye experience ya interview za utumishi kada za auditor II pale NAOT na Loan officer II HESLB atuwekee hapa tujiandae.
Hiki kizazi shida sana,kila kitu mnataka,kamserereko!sasa ukionyeshwa maswali,huo utakuwa usahili au utumbo?
Miaka 20 iliyopita hakukuwa na smart phones,Wala mitandao ya kijamii,simu ndio zilikuwa zinaingia?
Sasa mnafikiri sie baba zenu,tulifsnya vipi usahili bila hayo madesa?maana kulikuwa hakuna jinsi ya kupata desa,ni mpaka muonane na mtu,mawasiliano yalikuwa magumu sana!nicmwendo wa kutafutana manually.
 
Hiki kizazi shida sana,kila kitu mnataka,kamserereko!sasa ukionyeshwa maswali,huo utakuwa usahili au utumbo?
Miaka 20 iliyopita hakukuwa na smart phones,Wala mitandao ya kijamii,simu ndio zilikuwa zinaingia?
Sasa mnafikiri sie baba zenu,tulifsnya vipi usahili bila hayo madesa?maana kulikuwa hakuna jinsi ya kupata desa,ni mpaka muonane na mtu,mawasiliano yalikuwa magumu sana!nicmwendo wa kutafutana manually.
Ndo maana dunia imebadilika, kama vitu vimerahisishwa kutakuwa na maana gani sasa kama havitumiki? unataka mtu atumie simu kufanya nini, mshukuru Mungu ata una smart phone umeweza kuja kusoma na kutoa maoni humu[emoji3]
 
Hiki kizazi shida sana,kila kitu mnataka,kamserereko!sasa ukionyeshwa maswali,huo utakuwa usahili au utumbo?
Miaka 20 iliyopita hakukuwa na smart phones,Wala mitandao ya kijamii,simu ndio zilikuwa zinaingia?
Sasa mnafikiri sie baba zenu,tulifsnya vipi usahili bila hayo madesa?maana kulikuwa hakuna jinsi ya kupata desa,ni mpaka muonane na mtu,mawasiliano yalikuwa magumu sana!nicmwendo wa kutafutana manually
Kwahiyo unataka nasisi tusafiri kwa kupanda punda kama mlivyopandaga nyie???acha kuwa na roho mbaya
 
Ndo maana dunia imebadilika, kama vitu vimerahisishwa kutakuwa na maana gani sasa kama havitumiki? unataka mtu atumie simu kufanya nini, mshukuru Mungu ata una smart phone umeweza kuja kusoma na kutoa maoni humu[emoji3]
Watu wanaideology za ajabu sana aseeh
 
Hiki kizazi shida sana,kila kitu mnataka,kamserereko!sasa ukionyeshwa maswali,huo utakuwa usahili au utumbo?
Miaka 20 iliyopita hakukuwa na smart phones,Wala mitandao ya kijamii,simu ndio zilikuwa zinaingia?
Sasa mnafikiri sie baba zenu,tulifsnya vipi usahili bila hayo madesa?maana kulikuwa hakuna jinsi ya kupata desa,ni mpaka muonane na mtu,mawasiliano yalikuwa magumu sana!nicmwendo wa kutafutana manually.
Baki na uzee wako tu huko.
 
Back
Top Bottom