Hawa vijana wa miaka 20 iliyopita nafasi za kazi ziliwafata, na hata sahili zao hazikua na mambo mengi kama tunavyoshuhudia sasa.Hiki kizazi shida sana,kila kitu mnataka,kamserereko!sasa ukionyeshwa maswali,huo utakuwa usahili au utumbo?
Miaka 20 iliyopita hakukuwa na smart phones,Wala mitandao ya kijamii,simu ndio zilikuwa zinaingia?
Sasa mnafikiri sie baba zenu,tulifsnya vipi usahili bila hayo madesa?maana kulikuwa hakuna jinsi ya kupata desa,ni mpaka muonane na mtu,mawasiliano yalikuwa magumu sana!nicmwendo wa kutafutana manually.
hawa wazee wanajionaga special sana ukute tukipewa pepa nae hanichomoi hata asome miaka bukuHawa vijana wa miaka 20 iliyopita nafasi za kazi ziliwafata, na hata sahili zao hazikua na mambo mengi kama tunavyoshuhudia sasa.
Mara nyingi hujiona kizazi kamilifu sana.
😂😂😂😂Chukua boda tu akupeleke sio mbaliNilikuwa najiuliza riverside ya dom ipo wapi kumbe ni chako ni chako ni wapi?
Hawa watu wanashida sana sasa mtu kutoa tu hata experience ya interview zinavyokuwa anakunja roho hizo sindo dalili za uchawi aseeh kuna vitu vinakera sanaAnataka twende library za taifa kusoma, tutumiwe materials posta.
Challenging kivipi mkuu?
Kule kwenye venue yetu msimamizi mkuu alitutangazia kuwa wataanza kuyatoa kuanzia 2nd November.
Kuwa na imani mkuuI'm not that smart bro, pia siko vizuri kwenye kukumbuka vitu, so nadhani tusubirie matokeo,I hope yatakuwa poa 🙏
Kuwa na imani mkuu
Tena na kuomba karatasi ya ziada kabisa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tuzidishe maombi tu mkuu,maana ya Mungu nayo mengi.
Nilitumia ile formula yako ya kugusa kila swali
😂😂😂😂asa mimi kwenye pepa nakuwaga na speed balaa ile ya pura nimeenda nikaomba na karatasi matokeo yakatoka ndo nikaona kumbe nilikuwa najibu ujinga tuTena na kuomba karatasi ya ziada kabisa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
HESLB Act hii.Ntayaandika kwa kifupi jinsi mimi nilivyoelewa coz yalikua yameulizwa kwa mfumo wa maelezo marefu.
1.objectives of loans board management.
2.Discuss the reasons for establishing loans board.
3.Criteria for one to be eligible for loan from heslb.
4.What are expectations of government of Tanzania on Heslb finance?
Usikute hawa ndio wanaokalia mikeka huko PSRS, hapa wanakuja kutupiga biti[emoji3][emoji3][emoji3]hawa wazee wanajionaga special sana ukute tukipewa pepa nae hanichomoi hata asome miaka buku
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asa mimi kwenye pepa nakuwaga na speed balaa ile ya pura nimeenda nikaomba na karatasi matokeo yakatoka ndo nikaona kumbe nilikuwa najibu ujinga tu
Inasikitisha, nahisi watu wengi imewapita kwa maana hizi tarehe zipo back dated. Ila cha kushangaza ni hio namba 3!Tayari
Inasikitisha, nahisi watu wengi imewapita kwa maana hizi tarehe zipo back dated. Ila cha kushangaza ni hio namba 3! View attachment 2400780
Lt 2 back bencher na pisi moja pembeni iliyokua na mkeka kwenye gauni ya ngazi. Hatari sana, sijui iliupata wapi. Hapa nasubiria tuu oral, laasivyo nitakata rufaa.Aah mi nilikuwa Lt 2, izi avatar ni balaa mnaweza kuwa same place na msitambuane[emoji3][emoji3]
Kwamba mlibahatisha kupata mkeka/possible? au nimekuelewa vibayaLt 2 back bencher na pisi moja pembeni iliyokua na mkeka kwenye gauni ya ngazi. Hatari sana, sijui iliupata wapi. Hapa nasubiria tuu oral, laasivyo nitakata rufaa.
Naona walikuwa na kimemo huko back bencherKwamba mlibahatisha kupata mkeka/possible? au nimekuelewa vibaya
Mi nilikua cafe theater 2 backbencher.. mbona sijaona hilo tukio?Lt 2 back bencher na pisi moja pembeni iliyokua na mkeka kwenye gauni ya ngazi. Hatari sana, sijui iliupata wapi. Hapa nasubiria tuu oral, laasivyo nitakata rufaa.
duuh kweli life is not fair wakati watu tunakomaa kuvuta hisia ya points za kuweka kumbe kuna watu walikuwa na pepa tayari 😒Kwamba mlibahatisha kupata mkeka/possible? au nimekuelewa vibaya
ndo ukubwa huo lakini Kawaida tu mtu anaweza kuwa na pepa na ukampitaduuh kweli life is not fair wakati watu tunakomaa kuvuta hisia ya points za kuweka kumbe kuna watu walikuwa na pepa tayari 😒