Maswali ya interview NAOT na HESLB

Maswali ya interview NAOT na HESLB

Hiki kizazi shida sana,kila kitu mnataka,kamserereko!sasa ukionyeshwa maswali,huo utakuwa usahili au utumbo?
Miaka 20 iliyopita hakukuwa na smart phones,Wala mitandao ya kijamii,simu ndio zilikuwa zinaingia?
Sasa mnafikiri sie baba zenu,tulifsnya vipi usahili bila hayo madesa?maana kulikuwa hakuna jinsi ya kupata desa,ni mpaka muonane na mtu,mawasiliano yalikuwa magumu sana!nicmwendo wa kutafutana manually.
Hawa vijana wa miaka 20 iliyopita nafasi za kazi ziliwafata, na hata sahili zao hazikua na mambo mengi kama tunavyoshuhudia sasa.

Mara nyingi hujiona kizazi kamilifu sana.
 
Anataka twende library za taifa kusoma, tutumiwe materials posta.
Hawa watu wanashida sana sasa mtu kutoa tu hata experience ya interview zinavyokuwa anakunja roho hizo sindo dalili za uchawi aseeh kuna vitu vinakera sana
 
Tena na kuomba karatasi ya ziada kabisa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
😂😂😂😂asa mimi kwenye pepa nakuwaga na speed balaa ile ya pura nimeenda nikaomba na karatasi matokeo yakatoka ndo nikaona kumbe nilikuwa najibu ujinga tu
 
Ntayaandika kwa kifupi jinsi mimi nilivyoelewa coz yalikua yameulizwa kwa mfumo wa maelezo marefu.
1.objectives of loans board management.
2.Discuss the reasons for establishing loans board.
3.Criteria for one to be eligible for loan from heslb.
4.What are expectations of government of Tanzania on Heslb finance?
HESLB Act hii.

Hata mimi wa kada nyingine ningekomaa na hiyo Act ningeokoteza maswali kadhaa hapa
 
hawa wazee wanajionaga special sana ukute tukipewa pepa nae hanichomoi hata asome miaka buku
Usikute hawa ndio wanaokalia mikeka huko PSRS, hapa wanakuja kutupiga biti[emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asa mimi kwenye pepa nakuwaga na speed balaa ile ya pura nimeenda nikaomba na karatasi matokeo yakatoka ndo nikaona kumbe nilikuwa najibu ujinga tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Inasikitisha, nahisi watu wengi imewapita kwa maana hizi tarehe zipo back dated. Ila cha kushangaza ni hio namba 3!
Screenshot_20221027-231058_Chrome.jpg
 
Aah mi nilikuwa Lt 2, izi avatar ni balaa mnaweza kuwa same place na msitambuane[emoji3][emoji3]
Lt 2 back bencher na pisi moja pembeni iliyokua na mkeka kwenye gauni ya ngazi. Hatari sana, sijui iliupata wapi. Hapa nasubiria tuu oral, laasivyo nitakata rufaa.
 
Lt 2 back bencher na pisi moja pembeni iliyokua na mkeka kwenye gauni ya ngazi. Hatari sana, sijui iliupata wapi. Hapa nasubiria tuu oral, laasivyo nitakata rufaa.
Kwamba mlibahatisha kupata mkeka/possible? au nimekuelewa vibaya
 
Lt 2 back bencher na pisi moja pembeni iliyokua na mkeka kwenye gauni ya ngazi. Hatari sana, sijui iliupata wapi. Hapa nasubiria tuu oral, laasivyo nitakata rufaa.
Mi nilikua cafe theater 2 backbencher.. mbona sijaona hilo tukio?
 
Back
Top Bottom