Maswali ya interview NAOT na HESLB

Mkuu naomba namba yako pm.
 
Wakuu hao NOAT kada ya mtakwimu walitangaza nafasi moja tu, ila nimeona ni kama wameita written interview watu 800+ hii inawezekanaje aisee au ni macho yangu.
 
Wakuu hao NOAT kada ya mtakwimu walitangaza nafasi moja tu, ila nimeona ni kama wameita written interview watu 800+ hii inawezekanaje aisee au ni macho yangu.
inawezekana mkuu siwote wanasifa zinazotakiwa?lazima waitwe lakini usiogope nikawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…