Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Passport Size, wakati ipoWanekuambia ume-miss kitu gani kwenye applications zako..?
Ok ngoja niendelee kujaribuPiga mara nyingi watapokea mzee
Passport ni official au umepiga mikono inaonekana mpaka chini au background ya picha ni ukuta???Passport Size, wakati ipo
Weka Kwanza hyo Text Yao inavyosema..Ok ngoja niendelee kujaribu
Mkuu nina guess tu paper ita base huko.Ndio wanatoaga huko mkuu au ni tubahatishe tu?
Unatumia app gani kuzifungua??Aliefanikiwa kuvifungua na kudownload vitabu vya micro and macro economics vilivyotuma hapa vya mankiw naomba anipm
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ninazo zote wps na adobe lkn link haifunguki hapaUnatumia app gani kuzifungua??
Kwahiyo utumiwe pm au vipi mkuu??au utumiwe kwa emailNinazo zote wps na adobe lkn link haifunguki hapa
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Shukurani nimepata mkuu wanguKwahiyo utumiwe pm au vipi mkuu??au utumiwe kwa email
Poa poa
Mkuu naomba namba yako pm.Ni matumaini yangu Ndugu KYAGATA utajiandaa vizuri kwa USAILI huu, kuna siku mlijibizana na jamaa fulani humu lakini lengo lake lilikuwa ni kukushauri upunguze pressure na lawama dhidi ya Sekretarieti.
Ulivyofanya leo ni sahihi kuomba mtu mwenye any idea na USAILI husika. Ni vizuri kuvuta subira kwa kila nafasi zinazotangazwa na Sekretarieti ya Ajira kuliko kujaza lawama dhidi ya Sekretarieti JF, HAISAIDII!!!
Nakuomba jiandae vizuri, ukafanye vizuri USAILI huo ili upate kazi, kumbuka subira yavuta heri, Mungu ni Mwema utafanikiwa
inawezekana mkuu siwote wanasifa zinazotakiwa?lazima waitwe lakini usiogope nikawaidaWakuu hao NOAT kada ya mtakwimu walitangaza nafasi moja tu, ila nimeona ni kama wameita written interview watu 800+ hii inawezekanaje aisee au ni macho yangu.
Mi niliona ni nafasi moja tu nikaamua kuachana nao.inawezekana mkuu siwote wanasifa zinazotakiwa?lazima waitwe lakini usiogope nikawaida
Labda kama una issue zingine lakini nafasi utajuaje kama ndo yako?Mi niliona ni nafasi moja tu nikaamua kuachana nao.
😂😂😂Ulitaka uitwe mwenyewe mkuu?
Unauhakika kuwa niliomba ?Ulitaka uitwe mwenyewe mkuu?