Maswali ya interview NAOT na HESLB

Kwaio mkuu na wewe hauna kazi...🀣🀣🀣
 
Kwani haya majina ninayoyaona pdf mpya la Leo Huku PSRS ni ya Nyongeza au vp.. mbona ni mengi hv dadeq.. wamesema ni ya HESLB
 
Kuna mdau yuko hapo NAOT ameniambia pale cpa sio priority ingawa ukiwa nayo ni vizuri zaidi.
Huyo mdau kwanini asitusaidie sample ya maswali ya written/oral kama alipitia njia hii.

Ebu muulizie basi mkuu.
 
Kwaio mkuu na wewe hauna kazi...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kazi ni neno pana mkuu.

Kuna kazi zenye security na maslahi manono, zingine hazina security na maslahi manono, zingine zina security na maslahi duni.

Angalau nipo kwenye hizo miongoni nilizozitaja hapo juu.

Nisaidie kunipachika unayoona inanifaa, wakati nikiendelea kujinoa kuwakabili PSRS kwenye kada za NAOT
 
Mkuu mimi sina kazi kabisa...🀣🀣🀣🀣
 
Hapo sawa mkuu
Ahsante sana.
maana nilikuwa nishaanza pata mashaka kwanini status yangu bado inasoma received.
hapa lazima wakupige chini watakutafutia sababu za kipuuz, me sio mfuasi wa magu ila toka magu adondoke wamekuwa wangese, tegemea kati ya hizi sababu za kutoitwa..

1.Lacks Relevant Bachelor Degree as Per Advert
2.Wrong Passport Size Photo Attached
3.Passport Size Photo not Uploaded
4.CISA Certification not Attached

Yan wana kaupuuz fulan ivi, wanaboa kinoma, hata kama hizo sababu sio relevant hawajali as long as your name is not on the list your not gonna do the exam and these mf's dont care.
 
Naomba unitumie hili tangazo la kazi, mimi nipo legal officer.
 
tena umekosea hujasoma vizuri written Dom tarehe 27 mwezi wa 10, practical Dar tarehe 6 mwezi wa 11 alafu Oral ni tarehe 7 mwezi 11 Dodoma kudadeki cheki picha πŸ˜‚
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…