Mkuu,kuna watu humu mpaka unakaa unajiuliza,hawa ndugu zetu wamelelewa katika mazingira gani?yani tuvitu tudogo tudogo mpaka waombe wafanyiwe.ila ni uvivu tu hakuna kingine...tujifunze kujiongeza si mtuu anatuma kitu uku bhasi badala ya ku google unaanza kuomba kila
kitu tukiishi kusaidiwa we cant help ourself
wa NAOT soma hiyo audit and auditor act 2020
NILITUMA PICHA YA ACT LAKINI BADO MTUU ANATAKA NA NAMATERIAL KABISAMkuu,kuna watu humu mpaka unakaa unajiuliza,hawa ndugu zetu wamelelewa katika mazingira gani?yani tuvitu tudogo tudogo mpaka waombe wafanyiwe.ila ni uvivu tu hakuna kingine...
Mkuu, Kusema kweli uvivu wa watu kutotumia akili zao na kutojiamini ndo kunasababisha haya yote Hadi hata huko kwenye interview wanafeli..NILITUMA PICHA YA ACT LAKINI BADO MTUU ANATAKA NA NAMATERIAL KABISA
WATU NI MATOMASO SANA
Safi sana, kila la kheri mkuumi nipo job but najiongeza kwa vitu vingi pia
Hiyo uliyoweka ni ya India, ya kwetu ni hii hapatujifunze kujiongeza si mtuu anatuma kitu uku bhasi badala ya ku google unaanza kuomba kila
kitu tukiishi kusaidiwa we cant help ourself
wa NAOT soma hiyo audit and auditor act 2020
Nakusihi sana usisahau kusoma research na kuielewa. Mwaka fulani katika usaili wa mchujo wa kada hiyo tulipewa maswali ya research tu. Wale ambao tulipitia research kwa juu juu, tulipata tabu sana.Wakuu naombeni muongozo pia kwa kada ya Afisa kilimo-NAOT, tupitiepitie wapi kujinoa? Maana hapa ni kupambania kombe, najua wapo wanaJF wenye uzoefu katika hili tusaidiane jamani.
Kumbe mkuu ni bwana Shamba,, unafanyia kazi mkoa gani..?Nakusihi sana usisahau kusoma research na kuielewa. Mwaka fulani katika usaili wa mchujo wa kada hiyo tulipewa maswali ya research tu. Wale ambao tulipitia research kwa juu juu, tulipata tabu sana.
Bila shaka kitabu hiki kitakufaa
Ngoja nikutungie swali la kwanza mimi la kupima uelewa kama unao au kichwa chako cheupe kabisaaa!! Ili ukijue unapoenda interview ujue zimo au hazimoUzi mzuri, pia na mchumi grade 2, maswali yakoje kuna watu walifanyaga usaili tutor, na taasisi zingine
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Umenikumbusha mbali sana but Ngoja niishie hapa lakin chakukukumbusha mbapana tu kivyako unaweza toboaHivi kweli hakuna mtu ambae amewahi kufanya interview utumishi kwa kada za auditor ii humu jamani,au roho mbaya tu?
Labda umeweka baada ya maombi kufungawa maana haya majina wameyaandaa muda sana kupost ndo wamefanya wik iliyopitaPassport Size, wakati ipo
Nani kakwambia wameandaa mda sana na ninlininhyo mda..?Labda umeweka baada ya maombi kufungawa maana haya majina wameyaandaa muda sana kupost ndo wamefanya wik iliyopita
Njoo hapa mkuu Doubleg MalafyaleNakusihi sana usisahau kusoma research na kuielewa. Mwaka fulani katika usaili wa mchujo wa kada hiyo tulipewa maswali ya research tu. Wale ambao tulipitia research kwa juu juu, tulipata tabu sana.
Bila shaka kitabu hiki kitakufaa
Economics, Gregory,Mankiw View attachment 2388425View attachment 2388426
Ahsante kwa muongozo mkuuJamani hakikisheni mnapita humu
View attachment 2392747
Nimeona mkuu,thank youNjoo hapa mkuu Doubleg Malafyale