goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Hv helsb hawajatema majinaWazee trh 2 si ilkuwa jana au??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hv helsb hawajatema majinaWazee trh 2 si ilkuwa jana au??
Kwani wew kiongozi umesomea nn mnk nilijuwa wew umesomeaa accounts
Samahni lkn
Sawa nadhani tutakuwa wote hizo zinaweza kufanyika Arusha pale taecNdio
hapo ielewe kila duty inavyofanyika mzee ,nikiwa na muda nitajaribu kuicheki vizuri tuone kama naweza kukuongezea kitu chakupitia
Mbongo akikuahidi jambo kuwa litafanyika saa 4 hapo ujuwe litafanyika saa 10Wazee trh 2 si ilkuwa jana au??
Poa poahapo ielewe kila duty inavyofanyika mzee ,nikiwa na muda nitajaribu kuicheki vizuri tuone kama naweza kukuongezea kitu chakupitia
Mbongo akikuahidi jambo kuwa litafanyika saa 4 hapo ujuwe litafanyika saa 10
Kila la kheri mkuuMzigo wameanza kuutoa kidogo kidogo
Vipi umefanikiwa ?Kila la kheri mkuu
Matokeo ya auditor NAOT yanatoka lini?Leo afadhari kweli aisee, kuwa auditor naot wanakanda kinoma😀😀nahisi ata pass mark zao zitakuwa ndogo, ila HESLB pass mark zitakuwa juu sana maana paper yao watu wengi wameweza ku attempt
Angaliaa kwenye account yakoMatokeo ya auditor NAOT yanatoka lini?
Kila la kheri mkuu
Angaliaa kwenye account yako
Matokeo yapo kwenye account mzeeWamesha updatet accounts??
Kimya kimya[emoji1][emoji1][emoji1]Angaliaa kwenye account yako
Wataweka tuKimya kimya[emoji1][emoji1][emoji1]
Ratiba ipo kwenye tangazo lakuitwa kwenye interviewHellow kama umeona pdf ya majina nisaidie kuipost nijue kama oral itakuwa dodoma pia
Ndio mkuuVipi umefanikiwa ?