westandtogether
Senior Member
- Jul 8, 2020
- 164
- 242
Habari wakuu,
Naomba kufahamu kwa nafasi za kazi ambapo kada tofauti mnaitwa kuomba yaani kama field za ( finance, planning, economic, engineering) mnaomba kazi moja.
Maswali ya interview huwa yanatungwa kwa namna ipi?
Naomba kufahamu kwa nafasi za kazi ambapo kada tofauti mnaitwa kuomba yaani kama field za ( finance, planning, economic, engineering) mnaomba kazi moja.
Maswali ya interview huwa yanatungwa kwa namna ipi?