Maswali ya kujiuliza juu ya Stiegler's Gorge Hydroelectric Power Station

Maswali ya kujiuliza juu ya Stiegler's Gorge Hydroelectric Power Station

na
Mkuu umevuta bhange. Unajua ufisadi uliofanyika kwenye gesi au unalopoka tu. Hamjui kuwa mlishasainishwa mikataba ya Mangungo kwenye gesi na yote iko kwa mabeberu na mafisadi wakiisubiri serikali na tanesco waingie kichwakichwa wapigwe
Nani alisainisha?
 
Kutokana na Serikal kupandisha kodi kwenye bidhaa za solar na kuwa juu ili kulinda tanesco mimi nimeamua kuunda wind turbine itayotosheleza matumizi yangu ya nyumbani na ofisini kwa kutumia Altenator ya gari 24v DC,ambayo ningeweza ifanya AC kwa Kuunganisha TRANSFORMER na Transistor imara na kupata umeme wa uhakika japo kwetu upepo sio mwingi sana natamani pangekua kwetu ni Mwanga,singida ,tanga maeneo ya mwambao ningeenjoy zaidi ..... Tunza mazingira Yakutunze pia matumizi ya miti ya kisasa nimeyaacha naweka miti ya asili inayoweza stahimili ukame
BARIKIWA SANA MKUU
 
nishati ya gas imeishia wapi...walisema tuna gas yapata cubic metre 28 milion...what happenned?tumeanza kukata miti kujenda dam wakati mvua zenyewe hakuna siku hizi..tuna akili kweli?
 
Kutokana na Serikal kupandisha kodi kwenye bidhaa za solar na kuwa juu ili kulinda tanesco mimi nimeamua kuunda wind turbine itayotosheleza matumizi yangu ya nyumbani na ofisini kwa kutumia Altenator ya gari 24v DC,ambayo ningeweza ifanya AC kwa Kuunganisha TRANSFORMER na Transistor imara na kupata umeme wa uhakika japo kwetu upepo sio mwingi sana natamani pangekua kwetu ni Mwanga,singida ,tanga maeneo ya mwambao ningeenjoy zaidi ..... Tunza mazingira Yakutunze pia matumizi ya miti ya kisasa nimeyaacha naweka miti ya asili inayoweza stahimili ukame
Unaweza tumia umeme huo wa wind turbine ku charge batteries halafu ukabadilisha umeme huo wa DC - AC kwa kutumia inverter.
 
maswali ya kujiuliza
kunauhitaji gani wa hii project kwa sasa?
Je huu mradi ni kipaumbele cha Taifa?.
Je ukitengenezwa huu mradi wa umeme na viwanda vikaamua kutumia nishati tofauti kama vile solar tutafanyaje kama taifa ?
Je uchunguzi umefanyika wakutosha na kugundua kwanini viwanda vingi duniani havitumii aina ya nishati tunayotaka kutumia?
Je gharama za mradi huu tumelinganisha na gharama za miradi mingine ya umeme kwa kutumia chazo tofauti cha nishati kama vile jua au upepo, pamoja na gharama za uendeshaji?
Je hao wanyama tutakao wapoteza hawana thamani kama faru John? Zilitumika nguvu nyingi sana kumtafuta faru John na inatumika nguvu kidogo kuangamiza makundi ya wanyama wa kila aina.

zaidi ya miti milioni 2.6 kukatwa idadi hii ya miti tutaweka historia ya dunia katika uharibifu wa mazingira . Kwahili jambo ni hatari kwa sasa na zaidi kwa kizazi kijacho.
Kwanini tuharibu mazingira kwa ukubwa huu wakati tunauwezo wa kutumia jua na upepo kuendeshea viwanda, na matumizi mengine na tuna makaa ya mawe.
Dunia nzima tuna tatizo la mabadiliko ya hali ya hewa (sisi wenyewe ni mashahidi ndani ya nchi yetu ) yanayosababishwa na uharibifu wa mazingira.



Angalia mazingira ya selour Game Reserve yalivyo mazuri wanataka pabaki ukiwa, Tunza mazingira yakutunze. View attachment 1090086View attachment 1090088


If you cut a tree, you kill a life.
If you save a tree, you save a life.
If you plant a tree, you plant a life.


Wind turbines provide 8% of U.S. generating capacity, more than any other renewable source.


Top 10 Companies Using Solar Power (Based on Megawatts Installed)

  1. Target Corporation (147.5 MW). Target’s goal is to increase its number of buildings with rooftop solar panels to 500 by 2020. The retailer currently has 300 buildings equipped with panels.
  2. Walmart (145 MW). In 2005, Walmart’s chief executive officer at the time, Lee Scott, said, “Climate change used to be controversial, but the science is in and it is overwhelming. Every company has a responsibility to reduce greenhouse gas emissions as quickly as possible.”
  3. Prologis (107.8 MW). Prologis — an owner, operator and developer of industrial real estate — has put in more solar capacity than 27 different U.S. states.
  4. Apple (93.9 MW). A former administrator of the Environmental Protection Agency (EPA), Lisa Jackson, is now the Apple executive overseeing environmental policy, social initiatives and worldwide government affairs.
  5. Costco Wholesale (50.7 MW). The solar array on Costco Wholesale’s warehouse in Lake Elsinore, Calif., covers 45,000 square feet, which will prevent 458 tons of carbon from going into the atmosphere every year. The developers have compared this to planting 112 acres of trees.
  6. Kohl’s (50.2 MW). As of the end of last year, retailer Kohl’s had 163 solar power systems activated in 15 states.
  7. IKEA (44 MW). Ninety-one percent of IKEA stores are powered by the sun.
  8. Macy’s (38.9 MW). By the end of 2016, Macy’s is scheduled to install additional solar power systems on its facilities, for a total of 113.
  9. General Growth Properties (30.2 MW). In 2015, real estate investment trust GGP reduced its overall carbon footprint by 23,200 metric tons of carbon dioxide, which is the equivalent of removing nearly 5,000 cars off the roads in the U.S.
  10. Hartz Mountain Industries (22.7 MW). “Solar power represents both a means to be kinder to the earth by reducing pollution and is a significant factor in reducing our operational expenses,” said Emanuel Stern, president and chief operating officer for Hartz Mountain Industries, which deals in commercial real estate.
Mkuu ungelinena hili kwa angle ya upinzani wallah mitusi ungeikoga haswaa ila ridhika na ukweli kwamba tuko kwenye raiti traki...
 
inawezekana mkuu kutumia inverter , ila pia BRUSSLESS MOTOR hutoa AC , serikal na wapiga dili hawawezi kubali elimisha jamii katika teknolojia hizi rahis na zisizo na gharama , wakati serikal wanapambana na SOLOR,watu wa solor nao wanapambana na WIND TURBIN, ambayo inamfumo sawa na hiyo hydroelectric tofauti moja inazungushwa na maji ingine inazungushwa na upepo. JAMII hasa za vijijini sasa Waelimishwe kuitumia Windturbin waachane na solor
Unaweza tumia umeme huo wa wind turbine ku charge batteries halafu ukabadilisha umeme huo wa DC - AC kwa kutumia inverter.
 
inawezekana mkuu kutumia inverter , ila pia BRUSSLESS MOTOR hutoa AC , serikal na wapiga dili hawawezi kubali elimisha jamii katika teknolojia hizi rahis na zisizo na gharama , wakati serikal wanapambana na SOLOR,watu wa solor nao wanapambana na WIND TURBIN, ambayo inamfumo sawa na hiyo hydroelectric tofauti moja inazungushwa na maji ingine inazungushwa na upepo. JAMII hasa za vijijini sasa Waelimishwe kuitumia Windturbin waachane na solor
Hizi teknolojia sio ngumu kiivyo vijana wa sekondari tuu wanafahamu jinsi ya kufanya haya ila tatizo ni utayari wa kuibadilisha elimu ya darasani kuja kutumika kwenye mazingira ya kawaida. Hapo ndipo serikali inatakiwa kuwa na washauri wa kitaalamu kusaidia wananchi ili kusiwe na madhara (mfano, aina ya nyaya na uwezo wake wa kuhimili).

Utakumbuka mabosi wa Tanesco walivyokuwa wanawawekea kauzibe wale jamaa waliokuwa wanatengeneza umeme wao wa maji huko njombe. Serikali ilitakiwa iweke sheria kusaidia watu hao ili waongeze uwezo wa kufanya hivyo , huku serikali ikikusanya kodi kwa wale waouzia wengine.
 
Ni kweli, Ila kwa mtazamo wangu serikal za kiafrica wako after maslai yao , hapa kwetu vyuo vnavyofundisha Tehama na electric enginer,mechanic mpaka na leo.sijawai skia miongoni mwa wanafunzi wao wamebuni kitu fulani , pengine wapo ila utakuta wakibuni kikifika katika wizara zetu wapiga deal huuza kwa wachina teknolojia hizo , na china wako fasta kununua teknolojia uliyobuni kwa kigezo cha niuzie moja kama sample kikienda kwao wanakichunguza zaidi we ukijua watarudi tena utaskia wametoa kitu kile kile.
Hizi teknolojia sio ngumu kiivyo vijana wa sekondari tuu wanafahamu jinsi ya kufanya haya ila tatizo ni utayari wa kuibadilisha elimu ya darasani kuja kutumika kwenye mazingira ya kawaida. Hapo ndipo serikali inatakiwa kuwa na washauri wa kitaalamu kusaidia wananchi ili kusiwe na madhara (mfano, vitu kama aina ya nyaya na uwezo wa kuhimili).
Utakumbuka mabosi wa Tanesco walivyokuwa wanawawekea kauzibe wale jamaa waliokuwa wanatengeneza umeme wao wa maji huko njombe. Serikali ilitakiwa iweke sheria kusaidia watu hao ili waongeze uwezo wa kufanya hivyo , huku serikali ikikusanya kodi kwa wale waouzia wengine.
 
THIS PROJECT IS A WHITE ELEPHANT PROJECT PERIOD, hii mradi ni wa kula hela tu, hata by 2030 bado hakutakuwa na umeme wa 2100MW, ni vile hii serikali haina watu weye elimu
Bado unaamini hivi?
Aliyekwambia magufuli ataondoka madarakani Nani, hujazisikia taarifa za wapiga nzumari huko wafumue katiba watoe ukomo wa muda wa Urais!!!?
Upo?

Huyu mwizi na fisadi tangu aingie umeme wa gesi hauzungumzii tena kaja na lake ili afanye ukwapuzi wa kufa mtu.
Umepotea sana, ulikuwa unaupinga sana huu mradi. Vipi kuhusu chanjo ya uviko bado unaitetea hasa baada ya kuongezeka kwa idadi ya vifo?
 
Binadamu waonapenda mambo marahisi yasiyoumiza kichwa, ni tatizo.
 
Back
Top Bottom