Pre GE2025 Maswali yangu kwa Wanaosema No Reform No Election haitafanikiwa

Pre GE2025 Maswali yangu kwa Wanaosema No Reform No Election haitafanikiwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nionavyo No reform no election ni uamuzi sahihi kabisa.

Huwezi shiriki uchaguzi ambao siyo wa haki. Ni uenda wazimu kushiriki jambo unalojua halikupi haki yako.

Hata wana CCM wanao jitambua wakienda kupiga kura huku wanajua mazingira sio sawa wanafanya hivyo kiuwenda wazimu. Wale wasioelewa au kuona dosari na ambao ni wengi, wana samehewa. Ipo siku wataelewa hata miaka 100 ijayo.

Binafsi sipendelei maandamano, naamini zipo njia nyingi za kuwasilisha ujumbe na ukawa na madhara.

Kujitolea kuumia au kufungwa kwa kuamini unawatendea vema mamilioni wasio jitambua nao unaweza kuwa uenda wazimu.

Napendekeza na kuunga mkono yafuatayo yafanyike.

1. Kufikia na kuongea na makundi mbalimbali katika jamii.

2. Kutumia vyombo vya habari kama ilivyo fanyika hivi kribuni.

3. Kuendesha midahalo swali la msingi ni ikiwa kuna uhalali wa mtu unayejitambua kushiriki uchaguzi kwa taratibu za sasa.

4. Kufungua pingamizi mahakamani bila kujali uimara au udhaifu wa mhimili huo.

Binafsi nina tabiri watu wengi hawata itikia wito wa No reform no election sababu wengi wana maono dhaifu, madogo sana kutokana na malezi kitaifa.

Itatuchukua miaka 50 au zaidi kuelewa haki zipi tunanyimwa.

Ingawa CCM wanajua hata mabadiliko yakikubaliwa bado watashinda lakini wanajua pia kuwa muda wa kuondolewa madarakani utazidi kuwa mfupi, wataendelea kufanya danadana yasifanyike mabadiliko yoyote ya maana.

No reform no elección ni sahihi lakini ifanyike kwa namna ambayo haitaumiza watanzania wenzetu.
 
Nionavyo No reform no election ni uamuzi sahihi kabisa.

Huwezi shiriki uchaguzi ambao siyo wa haki. Ni uenda wazimu kushiriki jambo unalojua halikupi haki yako.

Hata wana CCM wanao jitambua wakienda kupiga kura huku wanajua mazingira sio sawa wanafanya hivyo kiuwenda wazimu. Wale wasioelewa au kuona dosari na ambao ni wengi, wana samehewa. Ipo siku wataelewa hata miaka 100 ijayo.

Binafsi sipendelei maandamano, naamini zipo njia nyingi za kuwasilisha ujumbe na ukawa na madhara.

Kujitolea kuumia au kufungwa kwa kuamini unawatendea vema mamilioni wasio jitambua nao unaweza kuwa uenda wazimu.

Napendekeza na kuunga mkono yafuatayo yafanyike.

1. Kufikia na kuongea na makundi mbalimbali katika jamii.

2. Kutumia vyombo vya habari kama ilivyo fanyika hivi kribuni.

3. Kuendesha midahalo swali la msingi ni ikiwa kuna uhalali wa mtu unayejitambua kushiriki uchaguzi kwa taratibu za sasa.

4. Kufungua pingamizi mahakamani bila kujali uimara au udhaifu wa mhimili huo.

Binafsi nina tabiri watu wengi hawata itikia wito wa No reform no election sababu wengi wana maono dhaifu, madogo sana kutokana na malezi kitaifa.

Itatuchukua miaka 50 au zaidi kuelewa haki zipi tunanyimwa.

Ingawa CCM wanajua hata mabadiliko yakikubaliwa bado watashinda lakini wanajua pia kuwa muda wa kuondolewa madarakani utazidi kuwa mfupi, wataendelea kufanya danadana yasifanyike mabadiliko yoyote ya maana.

No reform no elección ni sahihi lakini ifanyike kwa namna ambayo haitaumiza watanzania wenzetu.
Asante sana
 
..nguvu ya Chadema iko ktk HOJA wanazozisimamia.

..kwa mazingira yaliyoko sasa hivi kufanya uchaguzi ni kudanganyana na kupotezeana muda.
Wapo sawa maana katiba bado haina mapana ya kufanya vyama vingi vishinde.

Nikiangalia mpasuko uliopo katika vyama vilivyopo, kama CHADEMA ikiachwa upweke na ijipiganie katika kusimamisha uchaguzi bila nguvu ya pamoja. Huoni kama serikali itapata uhalalisho wa kuipuuza maana si upinzani kamili bali ni msimamo wa chama
 
Yaani, so much 'endapo', na imebaki miezi saba tu kufikia uchaguzi, wakati uchaguzi wa serikali za mitaa umeibwa juzi tu, na maisha yanaendelea kama vile hakuna kilichotokea
Kabisa kwa hiyo lazma tuoneshwe huo uziada na utofauti wa sasa. Kubadili uongozi si kigezo tosha
 
Kwani hao wanaosema haitafanikiwa kwa nini hawazingatii hoja ya CHADEMA kuwa wataongea na makundi mbalimbali ili kutafuta uungwaji mkono wa agenda yao?

Mie nimechagua makundi machache tu ambayo CHADEMA wamesema wataongea nao na nimeulizwa What if wakiunga mkono hoja hiyo? Kuna askari yeyote kwenye hii hii anaweza wakamata maaskofu wanaoshiriki maandamano ya amani?

Nijibu wewe!

Ndio mpaka waunge mkono
 
Kwa Tanzania ni ngumu. Majaribio yote mawili ya 1964 na (1982) kama sikosei mwaka yote yalishindwa. Na wakati huo ulinzi haukuwa makini kama leo.
Amini maneno yangu. Ulinzi na uzalendo kwa wakati ule vilikuwa makini kuliko sasa.
 
Wapo sawa maana katiba bado haina mapana ya kufanya vyama vingi vishinde.

Nikiangalia mpasuko uliopo katika vyama vilivyopo, kama CHADEMA ikiachwa upweke na ijipiganie katika kusimamisha uchaguzi bila nguvu ya pamoja. Huoni kama serikali itapata uhalalisho wa kuipuuza maana si upinzani kamili bali ni msimamo wa chama
Huo mpasuko mbona haupo CHADEMA? Au wewe unasema mpasuko gani?
 
Wapo sawa maana katiba bado haina mapana ya kufanya vyama vingi vishinde.

Nikiangalia mpasuko uliopo katika vyama vilivyopo, kama CHADEMA ikiachwa upweke na ijipiganie katika kusimamisha uchaguzi bila nguvu ya pamoja. Huoni kama serikali itapata uhalalisho wa kuipuuza maana si upinzani kamili bali ni msimamo wa chama

..experience wanayopitia wapinzani haswa wakati wa uchaguzi ni mambo ambayo hayafai kumtokea raia yeyote wa nchi hii.

..badala ya kuwabeza Chadema ambao wameamua kuitafuta haki, ni busara kuichagiza serikali na CCM ili chaguzi na siasa zifanyike ktk mazingira ya usawa.

..swala la kujiuliza ni dhuluma hii itaendelea mpaka lini? Je, athari za dhuluma hizi kwa jamii yetu ni zipi?
 
Siasa ni janga. Wakati mwingine unatamani tuongozwe na kichaa/mwerevu. Yaani mbabe wa maendeleo makubwa ila asiue watu.
Jiulize kwanini Ibrahim Traore ni maarufu hapa Tz wakati kwanza anaongea lugha ambayo hatuijui. Kuna siku askofu yule wa Karagwe na yéyé alisema vijana wanavutiwa na madikteka wanaoleta maendeleo kuliko wanaojiita viongozi wa kiemokrasia. Wanasiasa wamechokwa.
 
Nawaona CCM na vibaraka wao wanapiga kelele sana kudai No Reform No Election haitafanikiwa kwa sababu vyovyote vile hakuna Watanzania watakaoweza kuwaunga mkono CHADEMA.

Kelele hizi zinapigwa ili kwanza kuwakebehi Chadema na kuendeleza Propaganda za kuwarubuni Watanzania ili waendelee kuwa watumwa wa upuuzi na udhalimu wa CCM.

Maswali yangu kwa CCM na watu wao!

1. Endapo leo Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) wakasema wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na watashiriki maandamano ya amani kupinga kufanyika kwa uchaguzi. Je kuna Polisi au mwanajeshi yeyote nchi hii anaweza jaribu kufyatua bomu au risasi dhidi ya waandamanaji wanaoongozwa na maaskofu na Mapadre?

2. Endapo leo Viongozi wa dini ya kiislamu wakasema wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na watashiriki maandamano ya kudai mabadiliko ya Katiba kabla ya Uchaguzi. Je kuna Polisi au Mwanajeshi atajaribu kuwapiga bosi au kuwafyatulia risasi hao waandamanaji?

3. Endapo leo baadhi ya Maaskofu wa Madhehebu mbalimbali ikiwemo KKKT na CCT na hata Wasabato wakisema wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na wakaamua kushiriki maandamano ya kupinga uchaguzi bila mabadiliko ya katiba CCM wanadhani kuwa mwanajeshi au askari atajaribu kuwapiga risasi au bomu au maaskofu?

Soma Pia: Tundu Lissu na John Heche watangaza kuipeleka ajenda yao ya "No Reform No Election" nje ya nchi

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa:
Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Nipende tu kuwaambia CCM na vibaraka wao. Ni heri mkae kimya maana Watanzania sio Wajinga.

Kuna maandamano yakifanyika hapa nchini na yakahusisha watu fulani ( Hasa Viongozi wa Dini) hao polisi mnaowategemea na Wanajeshi hawataweza kuzuia hayo maandamano kamwe.

Msiwakebehi CHADEMA maana hamjui nani atawaunga mkono kesho na kutakuwa na matokeo gani baada ya huo uungwaji mkono.

Kuweni na akiba ya maneno. Watanzania sio wajinga na kila siku wanazidi kuchoka kuwa mazezeta kwa Wanasiasa.
Viongozi wa TEC wana hekima sana kwani wanafahamu fika kosa walilofanya viongozi wa katoliki nchini DRC kumpinga hadharani rais Kabila son na matokeo yake ukapatikana uongozi wa Tshisekedi ambaye ameshindwa kutatua changamoto na kupelekea hamaniko la M 23.....

Sidhani TEC watafanya hayo kusababisha taifa letu liangukie katika vikundi kinzani vyenye silaha......

Ni sawa na viongozi wa kiislamu ambao wale wote wenye ufahamu wa UTAWALA na madola kamwe hawawezi kufungua milango ya upuuzi utakaoweza kukita mizizi mibaya dhidi ya "secular state" ambayo mpaka kufikia sasa CCM imejitahidi kuisimamia ,kinyume chake ni VIKUNDI VYA KIGAIDI kwani si CHADEMA wala Tundu Lissu walio na "roadmap" ya kuliendeleza taifa hili lisianguke katika matatizo wanayopitia DRC ,Somalia ,Sudan na hata migongano ya "wenye nguvu siasani" hapo Kenya.........

Sitegemei kuwaona WANADINI na taasisi zao kuandamana ili "kusuffice agenda binafsi za Tundu Lissu" katika hicho kiitwacho "no reform no election"!!

#JMT ni taifa la kipekee lenye utukufu wa kipekee zaidi ya siasa za Kiliberali za Tundu Lissu na magenge yake ya akina Robert Amsterdam!
 
Jiulize kwanini Ibrahim Traore ni maarufu hapa Tz wakati kwanza anaongea lugha ambayo hatuijui. Kuna siku askofu yule wa Karagwe na yéyé alisema vijana wanavutiwa na madikteka wanaoleta maendeleo kuliko wanaojiita viongozi wa kiemokrasia. Wanasiasa wamechokwa.
.....kama vijana hao wanavutiwa na Ibrahim Traore basi wakichunguza kwa undani* kamwe hawatoacha kuvutiwa na CCM....na malengo makuu ya CCM ....vijana wajitahidi kuielewa CCM kinaga ubaga....
 
Kwani yanakofanyikaga mapinduzi huwa inakuwaje?
Hebu panuka kifikra....

Ni wapi pale jeshi la nchi likafanya mapinduzi dhidi ya serikali halali ?!!

Hakuna popote pale....

Ukweli ni kuwa kuna askari wachache waasi wanaofanya hayo mapinduzi.....

Tanzania tulishajifunza baada ya kushindwa kwa yale mapinduzi dhidi ya hayati baba wa taifa.....

Nilisoma mfululizo wa makala za Luteni Eugene Maganga ,akina Lugakingira ,Hatty Mc Ghee (Hatibu Gandhi) ,Kapteni Kadege ,komandoo Tamimu na wengineo....

Hebu vijana tupende kulisoma vyema taifa letu TUKUFU.....

Unatwanga maji kwenye kinu kutegemea YASIYOKUWEPO na ambayo kamwe hayawezi kutokea ....

Tafuteni mbinu nyingine .....

#JMT salama na tulivu milele dumu!
 
Nawaona CCM na vibaraka wao wanapiga kelele sana kudai No Reform No Election haitafanikiwa kwa sababu vyovyote vile hakuna Watanzania watakaoweza kuwaunga mkono CHADEMA.

Kelele hizi zinapigwa ili kwanza kuwakebehi Chadema na kuendeleza Propaganda za kuwarubuni Watanzania ili waendelee kuwa watumwa wa upuuzi na udhalimu wa CCM.

Maswali yangu kwa CCM na watu wao!

1. Endapo leo Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) wakasema wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na watashiriki maandamano ya amani kupinga kufanyika kwa uchaguzi. Je kuna Polisi au mwanajeshi yeyote nchi hii anaweza jaribu kufyatua bomu au risasi dhidi ya waandamanaji wanaoongozwa na maaskofu na Mapadre?

2. Endapo leo Viongozi wa dini ya kiislamu wakasema wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na watashiriki maandamano ya kudai mabadiliko ya Katiba kabla ya Uchaguzi. Je kuna Polisi au Mwanajeshi atajaribu kuwapiga bosi au kuwafyatulia risasi hao waandamanaji?

3. Endapo leo baadhi ya Maaskofu wa Madhehebu mbalimbali ikiwemo KKKT na CCT na hata Wasabato wakisema wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na wakaamua kushiriki maandamano ya kupinga uchaguzi bila mabadiliko ya katiba CCM wanadhani kuwa mwanajeshi au askari atajaribu kuwapiga risasi au bomu au maaskofu?

Soma Pia: Tundu Lissu na John Heche watangaza kuipeleka ajenda yao ya "No Reform No Election" nje ya nchi

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa:
Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Nipende tu kuwaambia CCM na vibaraka wao. Ni heri mkae kimya maana Watanzania sio Wajinga.

Kuna maandamano yakifanyika hapa nchini na yakahusisha watu fulani ( Hasa Viongozi wa Dini) hao polisi mnaowategemea na Wanajeshi hawataweza kuzuia hayo maandamano kamwe.

Msiwakebehi CHADEMA maana hamjui nani atawaunga mkono kesho na kutakuwa na matokeo gani baada ya huo uungwaji mkono.

Kuweni na akiba ya maneno. Watanzania sio wajinga na kila siku wanazidi kuchoka kuwa mazezeta kwa Wanasiasa.
Mkakati ni Mkubwa sana, usimuamshe aliyelala
 
Nawaona CCM na vibaraka wao wanapiga kelele sana kudai No Reform No Election haitafanikiwa kwa sababu vyovyote vile hakuna Watanzania watakaoweza kuwaunga mkono CHADEMA.

Kelele hizi zinapigwa ili kwanza kuwakebehi Chadema na kuendeleza Propaganda za kuwarubuni Watanzania ili waendelee kuwa watumwa wa upuuzi na udhalimu wa CCM.

Maswali yangu kwa CCM na watu wao!

1. Endapo leo Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) wakasema wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na watashiriki maandamano ya amani kupinga kufanyika kwa uchaguzi. Je kuna Polisi au mwanajeshi yeyote nchi hii anaweza jaribu kufyatua bomu au risasi dhidi ya waandamanaji wanaoongozwa na maaskofu na Mapadre?

2. Endapo leo Viongozi wa dini ya kiislamu wakasema wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na watashiriki maandamano ya kudai mabadiliko ya Katiba kabla ya Uchaguzi. Je kuna Polisi au Mwanajeshi atajaribu kuwapiga bosi au kuwafyatulia risasi hao waandamanaji?

3. Endapo leo baadhi ya Maaskofu wa Madhehebu mbalimbali ikiwemo KKKT na CCT na hata Wasabato wakisema wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na wakaamua kushiriki maandamano ya kupinga uchaguzi bila mabadiliko ya katiba CCM wanadhani kuwa mwanajeshi au askari atajaribu kuwapiga risasi au bomu au maaskofu?

Soma Pia: Tundu Lissu na John Heche watangaza kuipeleka ajenda yao ya "No Reform No Election" nje ya nchi

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa:
Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Nipende tu kuwaambia CCM na vibaraka wao. Ni heri mkae kimya maana Watanzania sio Wajinga.

Kuna maandamano yakifanyika hapa nchini na yakahusisha watu fulani ( Hasa Viongozi wa Dini) hao polisi mnaowategemea na Wanajeshi hawataweza kuzuia hayo maandamano kamwe.

Msiwakebehi CHADEMA maana hamjui nani atawaunga mkono kesho na kutakuwa na matokeo gani baada ya huo uungwaji mkono.

Kuweni na akiba ya maneno. Watanzania sio wajinga na kila siku wanazidi kuchoka kuwa mazezeta kwa Wanasiasa.
Mambo yao waachie wenyewe...
 
Mkakati ni Mkubwa sana, usimuamshe aliyelala
Ha ha ha ha mkakati wa kwenda kusema kwa akina Robert Amsterdam haufanyi kazi tena...kabisa wale wa marekani na EU wanaumiza kichwa kumkabili mh.Rais Trump asiyetabirika....there is a new geo-political shift......to expect them is to prepare yourself to fell miserably in the coming election ,thought that you would stand firmly to add seats in the parliament but you waste your precious energy for petty issues......
 
Kwanink mnapenda kuandika vitu vya kujifariji visivyo na uhalisia? Kuna mambo you have to be realistic, not optimistic. Vinginevyo itakuwa ni kuota ndoto miaka nenda rudi
...mwenye thread anafanana na mh.Tundu Lissu ambaye yeye mbango* zake ni za kurithi*....ziko damuni....sasa sijui huyu mtoa hoja , naye zake zidamuni ?!!!
 
Back
Top Bottom