Pre GE2025 Maswali yangu kwa Wanaosema No Reform No Election haitafanikiwa

Pre GE2025 Maswali yangu kwa Wanaosema No Reform No Election haitafanikiwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Viongozi wa TEC wana hekima sana kwani wanafahamu fika kosa walilofanya viongozi wa katoliki nchini DRC kumpinga hadharani rais Kabila son na matokeo yake ukapatikana uongozi wa Tshisekedi ambaye ameshindwa kutatua changamoto na kupelekea hamaniko la M 23.....

Sidhani TEC watafanya hayo kusababisha taifa letu liangukie katika vikundi kinzani vyenye silaha......

Ni sawa na viongozi wa kiislamu ambao wale wote wenye ufahamu wa UTAWALA na madola kamwe hawawezi kufungua milango ya upuuzi utakaoweza kukita mizizi mibaya dhidi ya "secular state" ambayo mpaka kufikia sasa CCM imejitahidi kuisimamia ,kinyume chake ni VIKUNDI VYA KIGAIDI kwani si CHADEMA wala Tundu Lissu walio na "roadmap" ya kuliendeleza taifa hili lisianguke katika matatizo wanayopitia DRC ,Somalia ,Sudan na hata migongano ya "wenye nguvu siasani" hapo Kenya.........

Sitegemei kuwaona WANADINI na taasisi zao kuandamana ili "kusuffice agenda binafsi za Tundu Lissu" katika hicho kiitwacho "no reform no election"!!

#JMT ni taifa la kipekee lenye utukufu wa kipekee zaidi ya siasa za Kiliberali za Tundu Lissu na magenge yake ya akina Robert Amsterdam!
Jipige kifua sema mimi ni mjinga. Wapi umeambiwa wa Congo wanajuta kuondoka kwa Kabila? Kabila aliifanyia nini Congo pamoja na kutawala miaka yote hiyo?

Hizo stories za vijiweni muishie kuambiana huko kwenye corridor za Lumumba sio humu kwa great thinkers
 
Ungeonesha nguvu ya CHADEMA pasipo kuweka vitu kama "Endapo" ambavyo vyote vinaonesha huna imani ya kutelelezeka hiyo slogan pasipo taasisi nyingine nzito kuingilia.

Swali fupi, hao unaowataja watapata nini cha kuwasukuma kuenenda kinyume na mfumo uliopo
Msameheni tu jamani huyo nyumbu......yupo kwenye hangaiko kuu.
 
Nawaona CCM na vibaraka wao wanapiga kelele sana kudai No Reform No Election haitafanikiwa kwa sababu vyovyote vile hakuna Watanzania watakaoweza kuwaunga mkono CHADEMA.

Kelele hizi zinapigwa ili kwanza kuwakebehi Chadema na kuendeleza Propaganda za kuwarubuni Watanzania ili waendelee kuwa watumwa wa upuuzi na udhalimu wa CCM.

Pia kelele hizi zinapigwa kwa nia ya kuwakatisha tamaa wapenda mabadiliko ili waone kuwa hakuna namna yeyote kwenye Taifa letu, madai ya haki yatakuja kufanikiwa.


Maswali yangu kwa CCM na watu wao!

1. Endapo leo Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) wakasema wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na watashiriki maandamano ya amani kupinga kufanyika kwa uchaguzi. Je kuna Polisi au mwanajeshi yeyote nchi hii anaweza jaribu kufyatua bomu au risasi dhidi ya waandamanaji wanaoongozwa na maaskofu na Mapadre?

2. Endapo leo Viongozi wa dini ya kiislamu wakasema wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na watashiriki maandamano ya kudai mabadiliko ya Katiba kabla ya Uchaguzi. Je kuna Polisi au Mwanajeshi atajaribu kuwapiga bosi au kuwafyatulia risasi hao waandamanaji?

3. Endapo leo baadhi ya Maaskofu wa Madhehebu mbalimbali ikiwemo KKKT na CCT na hata Wasabato wakisema wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na wakaamua kushiriki maandamano ya kupinga uchaguzi bila mabadiliko ya katiba CCM wanadhani kuwa mwanajeshi au askari atajaribu kuwapiga risasi au bomu au maaskofu?

Soma Pia: Tundu Lissu na John Heche watangaza kuipeleka ajenda yao ya "No Reform No Election" nje ya nchi

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa:
Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Nipende tu kuwaambia CCM na vibaraka wao. Ni heri mkae kimya maana Watanzania sio Wajinga.

Kuna maandamano yakifanyika hapa nchini na yakahusisha watu fulani ( Hasa Viongozi wa Dini) hao polisi mnaowategemea na Wanajeshi hawataweza kuzuia hayo maandamano kamwe.

Msiwakebehi CHADEMA maana hamjui nani atawaunga mkono kesho na kutakuwa na matokeo gani baada ya huo uungwaji mkono.

Kuweni na akiba ya maneno. Watanzania sio wajinga na kila siku wanazidi kuchoka kuwa mazezeta kwa Wanasiasa.
We mtoto hizi hallucinations na illusions zitakupa kichaa!!
 
Subiri muone itakavyokuwa. Watu wako serious kuliko mnavyofikiri.
Ukitoa nyumbu wachache, hakuna mtanzania mwingine aliye serious na huo upuuzi. Aliye serious zaidi ni lissu tu sababu hizo tone tone anazihitaji sana Ili zigeuke na kuwa bonge Moja la TONE akajitumbulie zake ubelgiji huko.
 
Mkuu Lord denning wala usiwe na wasiwasi- kelele unazosikia maana yake sindano imeingia bado kusukuma dawa tu...Watanzania wameshaamua
 
Nawaona CCM na vibaraka wao wanapiga kelele sana kudai No Reform No Election haitafanikiwa kwa sababu vyovyote vile hakuna Watanzania watakaoweza kuwaunga mkono CHADEMA.

Kelele hizi zinapigwa ili kwanza kuwakebehi Chadema na kuendeleza Propaganda za kuwarubuni Watanzania ili waendelee kuwa watumwa wa upuuzi na udhalimu wa CCM.

Pia kelele hizi zinapigwa kwa nia ya kuwakatisha tamaa wapenda mabadiliko ili waone kuwa hakuna namna yeyote kwenye Taifa letu, madai ya haki yatakuja kufanikiwa.


Maswali yangu kwa CCM na watu wao!

1. Endapo leo Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) wakasema wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na watashiriki maandamano ya amani kupinga kufanyika kwa uchaguzi. Je kuna Polisi au mwanajeshi yeyote nchi hii anaweza jaribu kufyatua bomu au risasi dhidi ya waandamanaji wanaoongozwa na maaskofu na Mapadre?

2. Endapo leo Viongozi wa dini ya kiislamu wakasema wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na watashiriki maandamano ya kudai mabadiliko ya Katiba kabla ya Uchaguzi. Je kuna Polisi au Mwanajeshi atajaribu kuwapiga bosi au kuwafyatulia risasi hao waandamanaji?

3. Endapo leo baadhi ya Maaskofu wa Madhehebu mbalimbali ikiwemo KKKT na CCT na hata Wasabato wakisema wanaunga mkono NO REFORM NO ELECTION na wakaamua kushiriki maandamano ya kupinga uchaguzi bila mabadiliko ya katiba CCM wanadhani kuwa mwanajeshi au askari atajaribu kuwapiga risasi au bomu au maaskofu?

Soma Pia: Tundu Lissu na John Heche watangaza kuipeleka ajenda yao ya "No Reform No Election" nje ya nchi

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa:
Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025


Nipende tu kuwaambia CCM na vibaraka wao. Ni heri mkae kimya maana Watanzania sio Wajinga.

Kuna maandamano yakifanyika hapa nchini na yakahusisha watu fulani ( Hasa Viongozi wa Dini) hao polisi mnaowategemea na Wanajeshi hawataweza kuzuia hayo maandamano kamwe.

Msiwakebehi CHADEMA maana hamjui nani atawaunga mkono kesho na kutakuwa na matokeo gani baada ya huo uungwaji mkono.

Kuweni na akiba ya maneno. Watanzania sio wajinga na kila siku wanazidi kuchoka kuwa mazezeta kwa Wanasiasa.
🌤️🙋‍♂️✍️🎯👏👌👍👊🤝🙏💐🎁🆒🔊
 
Ungeonesha nguvu ya CHADEMA pasipo kuweka vitu kama "Endapo" ambavyo vyote vinaonesha huna imani ya kutelelezeka hiyo slogan pasipo taasisi nyingine nzito kuingilia.

Swali fupi, hao unaowataja watapata nini cha kuwasukuma kuenenda kinyume na mfumo uliopo
Hakuna popote cdm wanasema watafanikisha hilo wenyewe, ndio maana wanasema makundi yote yawaunge mkono.
 
Hakuna popote cdm wanasema watafanikisha hilo wenyewe, ndio maana wanasema makundi yote yawaunge mkono.
Hawaelewi kwa nini CHADEMA wanasema wanaongea na makundi mbalimbali ya kijamii wakiwemo Viongozi wa dini.

Wanadhani haya yatakuwa maandamano kama yale ya Mbowe ambayo wanajitokeza CHADEMA peke yao.

Hakuna Askari nchi hii au Mwanajeshi anayeweza kuzuia Maandamano ambayo yataongozwa na wananchi wakiwa na Viongozi wa Dini.

Leo hii wakijitokeza maaskofu 5 tu wakasema tutakuwepo kwenye maandamano na wakawa na mapadre 20 tu na wavae majoho yao na misalaba yao, hayo maandamano hakuna wa kuyazuia.

Same kama leo wajitokeze masheikh 5 tu basement tutakuwa na Viongozi wa CHADEMA kwenye maandamano ya amani kudai haki na kweli kwenye chaguzi na waongoze maandamano wakiwa na mavazi yao hakuna askari atakayetaka laana ya kuwashambulia Masheikh nchi hii.

CCM wawe wapole tu.
 
Hadi sasa tumebakiza miezi kama saba kwenda kwenye uchaguzi mkuu,sijui no reform no election itafanikiwa, narudia tena sijui kama itafanikiwa.

Tatizo lipo kwa watawala na wananchi wenyewe au ataingia Lissu pekee barabarani?
 
Hawaelewi kwa nini CHADEMA wanasema wanaongea na makundi mbalimbali ya kijamii wakiwemo Viongozi wa dini.

Wanadhani haya yatakuwa maandamano kama yale ya Mbowe ambayo wanajitokeza CHADEMA peke yao.

Hakuna Askari nchi hii au Mwanajeshi anayeweza kuzuia Maandamano ambayo yataongozwa na wananchi wakiwa na Viongozi wa Dini.

Leo hii wakijitokeza maaskofu 5 tu wakasema tutakuwepo kwenye maandamano na wakawa na mapadre 20 tu na wavae majoho yao na misalaba yao, hayo maandamano hakuna wa kuyazuia.

Same kama leo wajitokeze masheikh 5 tu basement tutakuwa na Viongozi wa CHADEMA kwenye maandamano ya amani kudai haki na kweli kwenye chaguzi na waongoze maandamano wakiwa na mavazi yao hakuna askari atakayetaka laana ya kuwashambulia Masheikh nchi hii.

CCM wawe wapole tu.
Hao unawataja hapo wengine wanufaika wa system, usibabaike na mavazi yao sijui ya kisheikh na kiuaskofu.

Nchi ngumu hii unaongea nae ukajua ni mwema kumbe anaku zoom tu
 
Hadi sasa tumebakiza miezi kama saba kwenda kwenye uchaguzi mkuu,sijui no reform no election itafanikiwa, narudia tena sijui kama itafanikiwa.

Tatizo lipo kwa watawala na wananchi wenyewe au ataingia Lissu pekee barabarani?
Elewa pointi yangu.

NO REFORM NO ELECTION ikiungwa mkono na kundi lolote lile la kidini, Uchaguzi utahairishwa na tutafanya Reforms.

Tanzania hii hakuna maandamano ya Wanasiasa yanaweza fanikiwa ila Tanzania hii hii, maandamano yeyote ya amani yatakayoungwa mkono na Viongozi wa Dini lazima yatafanikiwa.

Leo hii mfano Baraza la Maaskofu Katoliki likisema litaunga mkono maandamano ya amani kupinga uchaguzi bila mabadiliko amini nakwambia hayo maandamano lazima yatafanikiwa.

Najua CCM wanawazaga kutumia askari na wanajeshi kuwatisha Wananchi ila linapokuja suala la Viongozi wa Dini hata hao Askari na Wanajeshi wanaenda makanisani na misikitini hivyo Hakuna Askari anayeweza kuthubutu kufyatua risasi au bomu kwenye maandamano ya amani yanayoongozwa na maaskofu na ma sheikh nchi hii. Elewa hili neno. HAKUNA.
 
Elewa pointi yangu.

NO REFORM NO ELECTION ikiungwa mkono na kundi lolote lile la kidini, Uchaguzi utahairishwa na tutafanya Reforms.

Tanzania hii hakuna maandamano ya Wanasiasa yanaweza fanikiwa ila Tanzania hii hii, maandamano yeyote ya amani yatakayoungwa mkono na Viongozi wa Dini lazima yatafanikiwa.

Leo hii mfano Baraza la Maaskofu Katoliki likisema litaunga mkono maandamano ya amani kupinga uchaguzi bila mabadiliko amini nakwambia hayo maandamano lazima yatafanikiwa.

Najua CCM wanawazaga kutumia askari na wanajeshi kuwatisha Wananchi ila linapokuja suala la Viongozi wa Dini hata hao Askari na Wanajeshi wanaenda makanisani na misikitini hivyo Hakuna Askari anayeweza kuthubutu kufyatua risasi au bomu kwenye maandamano ya amani yanayoongozwa na maaskofu na ma sheikh nchi hii. Elewa hili neno. HAKUNA.
Umesema kwa usahihi kabisa, viongozi wa dini wakisema wanaunga mkono hoja ya kuwa bila mabadiliko uchaguzi usifanyike, ni siku moja tu mabadiliko yatafanyika. Madai ya cdm kuhusu hizi chaguzi za kihuni yako wazi na yana ushahidi usioacha shaka. Hakuna asiyeuona ukweli wa kisemacho cdm.

Cdm wahakikishe wanafanya kampeni ya nguvu nchi nzima kuhusu no reforms no election. Waweke ushahidi wote wazi wa uhuni unaonedelea, na watoe nafasi ya wananchi kuhoji wanachosema na kukitolea ufafanuzi. Kwa vyovyote mabadaliko yatafanyika.
 
Hoja no reforms no election ina mashiko kwa sababu hatujawahi kuwa na uchaguzi yangu 2019 Bali uchafuzi na mauaji.

1. Sasa kwanini tusifanye mabadiliko ili tusiendelee kuua watu?!

2. Kwanini turuhusu uchaguzi kuwa uadui na vita!!?

Kama kinachosababisha NI katiba yetu na Sheria zetu ambazo siyo kuruan wala biblia
3. NI nini kinazuia kurekebisha??

4. Hivi Leo akiuawa ndugu yako au mtoto wako kwa ajili ya tofauti za kisiasa utafurahi??!
NI BUSARA NDOGO TU KUEPUSHA SHARI KABLA YA HATARI!!
Nawaza Tu.
 
Hawaelewi kwa nini CHADEMA wanasema wanaongea na makundi mbalimbali ya kijamii wakiwemo Viongozi wa dini.

Wanadhani haya yatakuwa maandamano kama yale ya Mbowe ambayo wanajitokeza CHADEMA peke yao.

Hakuna Askari nchi hii au Mwanajeshi anayeweza kuzuia Maandamano ambayo yataongozwa na wananchi wakiwa na Viongozi wa Dini.

Leo hii wakijitokeza maaskofu 5 tu wakasema tutakuwepo kwenye maandamano na wakawa na mapadre 20 tu na wavae majoho yao na misalaba yao, hayo maandamano hakuna wa kuyazuia.

Same kama leo wajitokeze masheikh 5 tu basement tutakuwa na Viongozi wa CHADEMA kwenye maandamano ya amani kudai haki na kweli kwenye chaguzi na waongoze maandamano wakiwa na mavazi yao hakuna askari atakayetaka laana ya kuwashambulia Masheikh nchi hii.

CCM wawe wapole tu.
Kwani Mwamakula sio askofu ? Mbona siku zone mnakuwa nae?
 
..nguvu ya Chadema iko ktk HOJA wanazozisimamia.

..kwa mazingira yaliyoko sasa hivi kufanya uchaguzi ni kudanganyana na kupotezeana muda.
Na sijui kwa nini watu tena wajuzi wa mambo wanajua kuwa katika mazingira ya sasa na sheria zilizopo hakuna ushindani wowote katika uchaguzi labda uwe wa chama tawala au chama tawala kiamue kukuzawadia kutangazwa kwa mapenzi yao na sababu zao.
Sasa eti kuna watu nje ya CCM wanaosema tufanye uchaguzi hivyohivyo maana wakati hautoshi! Kama sio uenda wazimu ni nini? CCM wange washukuru Chadema kwa kuforce njia hizi za kuzuia uchaguzi mpaka mabadiliko muhimu kufanyika maana kiburi chao ndicho kilichofanya nchi zingine kuingia kwenye mapinduzi ya kijeshi. Hayo hatuyataki yatokee lakini wao ni kama wanayalazimisha wakidhani soldiers ni watu wao! Wanajidanganya maana watalia na kusaga meno, hao wana uchungu sana nanyanayo endelea.
 
Back
Top Bottom