na kweli alijitahidi. tukaingia underground sasa tuko katika kuibuka upya. na nikwambie hii mifumo ya uendeshaji nchi isipobadilika kwa kuleta katiba mpya mafisadi hawataisha na wanakotokea ni chama dola, wale mafisadi papa. vinginevyo hata umlete dikteta hitla hatawaweza mafisadi wa kimfumo. lingine ombea sana na mimi niwe fisadi.