wewe ni kama nani huku MATAGA!!!maana tuna vyeo kabisa,hatuwezi semewa na mbugila simbilisi mmoja hata hajui ethics za hiyo chama.Tunaomba radhi, tulipotoshwa na watu wenye chuki zao kwa sababu za kisiasa.
Kenya wamemaliza Lamu, sisi bado, tinaomba radhi sana maana tulifanya haya mambo kwa kulipwa matokeo yake tukakwamisha nchi.
Tunaomba radhi kwa Mama Samia, watanzania wote pia
#matege
Code-SSH-2025
Make Tanzania Great AgainEleza kwanza MATAGA ni nini japo kwa kifupi,kisha weka uongo wako ndipo uombe radhi,na sisi tujue tunakusamehe kwa kiwango gani
Mkuu,sisi tulikuwa idara ya propaganda, tunapangiwa mtu was kumtukana, hoja ya kushambulia, jioni tunatuma screenshot tunapata posho. Tuliambiwa mkuu wa tano na nne hawaelewani,tuukwamishe na tujaze uongo,uzandiki mpaka jamii ikubaliwewe ni kama nani huku MATAGA!!!maana tuna vyeo kabisa,hatuwezi semewa na mbugila simbilisi mmoja hata hajui ethics za hiyo chama.
mkuu wenu alikuwa nani ambaye amesarrender mpaka mnatakiwa mkatume screenshot za hivi awalipe pia!!!Mkuu,sisi tulikuwa idara ya propaganda, tunapangiwa mtu was kumtukana, hoja ya kushambulia, jioni tunatuma screenshot tunapata posho.
Posho ni ile ile 7000 kwa siku, au imeshuka? Maana yule Mzee alifyeka posho nyingi kweli! Isipokuwa tu zile za Wabunge.Mkuu,sisi tulikuwa idara ya propaganda, tunapangiwa mtu was kumtukana, hoja ya kushambulia, jioni tunatuma screenshot tunapata posho.
Uwiiiiiii!!!2025 twende na lowassa