Mataifa 10 ya Afrika yenye viwango vya juu vya ubora wa maisha

Umeshawahi kufika sehemu yoyote ya Kenya? Au ulishawahi kaa Nairobi hata wiki ukapita mitaani?
 
Yaana Zambia wana maisha bora kuliko Rwanda,Uganda na Tanzania?sidhani
Zambia sio matajiri ila wanajijali. Hata serikali yao inawajali. Wanaishi maisha yao simple na wako wachache. Raia wa Zambia kuishi bongo hataweza. Kule kwao hawana makodi ya ajabu. Kuna amani kuliko TZ
 
Zambia sio matajiri ila wanajijali. Hata serikali yao inawajali. Wanaishi maisha yao simple na wako wachache. Raia wa Zambia kuishi bongo hataweza. Kule kwao hawana makodi ya ajabu. Kuna amani kuliko TZ
Wewe ni chawa wa Samia hebu mwambie aboreshe hali za Watanzania basi
 
Utopolo mtupu. Hata Kenya na Zambia wamo bila Tanzania, Botswana, Namibia, Mauritius, Ushelisheli, Uganda kweli?
 
Kenya kuna maisha ya hovyo mno. Raia wengi wanaishi kwa shida hawawezi kumiliki ardhi. Ukiwa unaelekea Nairobi huko njiani nyumba kibao za mabati. Utafiti wa kazi gani wakati tunajionea LIVE kwa macho? Acha kuwa mtumwa wa maneno ya kizungu "no research no right to speak"
 
Hiyo list ni toilet paper ya kuchambia chooni ...ujinga mtupu ..hapo kuna nchi ni kichekesho
 
Laana ya kafara la kukimbiza moto bado inaishi
Wacheni kumsingizia mzalendo nyerere tanzania tuna laana moja tu iliyo tufikisha hapa ni viongozi watatu waisiharamu walio kuwa marais ...waisiharamu ndiyo wameua nuru ya tanzania huo ndiyo ukweli hata kuporomoka kwa sh yetu ni marais waisiharamu wameusika kikamilifu
 
Tanzania isipowauzia chakula mtakula nini!?..tunawalisha hata Kama mnanunua,bidhaa gani za viwandani tunazonunua toka Kenya ambazo sisi hatuna!?
Hauko serious hata kidogo. Hii hapa ni meli ambayo ilifika bandarini Mombasa na mahindi tani 10,000 kutoka Brazil.
Ship with 10,000 tonnes of maize imports docks in Mombasa today
Tangia mwezi wa Novemba kumekuwepo na 'duty free window', ya miezi sita, kutoka kwa GOK. Ambapo wafanyabiashara wanakubaliwa kuagiza mahindi kutoka nchi kama Mexico, Brazil, Mozambique na S.A.
Ikifikia Aprili meli 37 za mahindi tu zitakuwa zimeshusha tani milioni kumi bandarini Mombasa na hakuna hata tani moja itakuwa imetoka Tz.

Kwa taarifa yako kila mwaka Uganda huwa wanaiuzia Kenya mahindi mengi zaidi(X2) ya yale ambayo huwa yanaagizwa kutoka Tanzania.
 
Sasa ndio mna afueni zaidi ya Kenya na wakenya? 'Middle Class' ya Kenya ndio kubwa zaidi ukanda huu wote wa A.M na ya kati. Wakenya kwa ujumla wana 'purchasing power' na 'disposable income' kubwa zaidi, takwimu zipo.

Unadhani hatujafika vijijini Tz? Ambapo wananchi wenzako wanaishi kwenye nyumba za tope, hata sio bati. Bila miundombinu yeyote ile ya kueleweka, umeme wala huduma zingine za kiserikali. Hata vyoo tu ni shida kwao, kazi ni kuchimba tu dawa kila siku ya wiki na mlo mmoja ambao huwa wanakula kwa siku ni chai ya rangi na mihogo ya sumu. Alafu upo hapa ukijimwambafy na kuimba sisiemu mbere kwa mbere, bure kabisa.
 
tunawashauri kwasababu tunawaonea huruma, na chakula chenu ni ugali tuu hakuna vyakula vingine, tukifung akuwauzia mahindi mtakufa nyie.
Endelea kujiliwaza ukiwa hapo kwenye vijiwe vyenu vya kahawa. Mwalimu Nyerere alifunga boda ya Ke-Tz kwa miaka SABA. Boda ilipofunguliwa akapata wakenya ndio wamenawiri zaidi. Akaanza kuwashauri mkajionee London ya A.M hapa hapa jijini Nairobi. Mkawa waumini wakubwa wa bidhaa murua kutoka kwa viwanda vya Kenya na tangia siku hiyo hadi leo hii bado mnaisoma namba.
 
Naona tutabishana sana ila wananchi wa Kenya ni kama watumwa kwenye nchi yao. Mnawafanyia kazi watu wachache
 
Kama Uganda huwauzia Mara 2 ya mahindi toka tz mbona mmeagiza toka ng'ambo msiagize toka Uganda!?..Mara ngapi tukizuwia vyakula viongozi wenu huja mezani tukae tuyazingumze na Hali mbaya ya chakula hutamalaki huko Kenya!?..msimu wa mavuno huku ni April/may,nitakwambia vyenye wake ya,rwanda wanavyojaa,huwezi kuikwepa tz ukiwa mwana afrika mashariki,tz ni kapu la mlo
 
Ubora wa maisha wametupita sana.
Kenya kuna matajiri wengi kuliko Tanzania

sio matajiri sema wenye daraja bora la maisha.middle income.

ila matajiri wengi wako tz.
 
Tanzania hii watu wanajinyonga kisa madeni. Mtu anaua watoto wake kisa ugumu wa maisha. Inaweza kuwa kweli

unadhani kenya watu hawajiui!!!tena ukali wa maisha kenya ni mzito zaidi ya huku.
 
Daah mwanang umenikatisha tatamaa kinoma yan. Mana nilikuwa na mpango wa kwenda kulikita Nairobi next week koz bongo naona kiza tuu🤔🤔🤔
 
Bwahhahahahahahahaha. wajaruo ndio waadumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…