Mataifa 10 ya Afrika yenye viwango vya juu vya ubora wa maisha

Mataifa 10 ya Afrika yenye viwango vya juu vya ubora wa maisha

Tembea Kenya sista, acha majungu ya kiccm na propaganda zao. Aliyekuambia Kenya yote kuna njaa ni nani? Sehemu ambazo huwa zinakumbwa na njaa ni zile kame, ambapo kunaishi wafugaji wa kuhamahama. Eneo lenyewe kame linaanzia kule Ethiopia, S.Sudan, Somalia hadi Kenya kaskazini. Media na mashirika mengine ya Kenya huwa yanawajibika ipasavyo, kwa uzalendo, wanapoyaangazia maeneo hayo. Ili usaidizi uwafikie wananchi wenzao, wakati wa kiangazi. Hatuna utamaduni kama wenu wa kufukia vichwa mchangani.

Kenya ni nchi ya pili DUNIANI kwenye uzalishaji wa chai, ya kwanza Afrika kwenye uzalishaji wa maparachichi, top 3 kwenye uzalishaji wa maziwa na kwenye makadamia pia. Hayo yote ni mazao yenye 'high returns'(faida kubwa) na ambayo yanakuzwa kwenye sehemu zenye mvua ya kutosha. Tafakari hayo.

Ikifika kwenye kilimo BIASHARA, cha umwagiliaji, hamfikii hata 10% ya mazao ya 'horticulture' kutoka Kenya ambayo huwa yanapaa kwenye ndege kila siku hadi Uropa. 'Legumes' kama french beans, mboga, matunda n.k, n.k na maua pia. Ukitaka takwimu za kudhibitisha ninayo yazungumzia nitakupa.
Kenya hata mvua zinyeshe haiwezi jiyosheleza kwa chakula,lazima ilishwe na Tanzania
 
kwahiyo na ninyi mnatusaidia sisi kutulisha bidhaa za viwandani....hahaha
Hapana, mambo ya kusaidiana na kulishana ni dhana finyu na potovu za kijamaa. Sisi wakenya huwa tunaifanya kama 'pure business' biashara ya nipa nikupe, basi, sio undugu mara sijui urafiki wa kinafik.
 
Hapana, mambo ya kusaidia na kulishana ni dhana finyu za kijamaa. Sisi wakenya huwa tunaifanya kama 'pure business' biashara ya nipa nikupe, basi, sio undugu wa kinafik.
hivi serikali yenu huwa haiwezi kutafuta muarobaini/dawa kuhakikisha njaa haitokei tena kwenye nchi yenu? kuna mito kama TANA, kuna maziwa ya maji fresh n.k, fanyeni umwagiliaji kila mwaka mnaifanya africa kuonekana sehemu ya famine. huwa mna mipango gani kwenye hilo?
 
hivi serikali yenu huwa haiwezi kutafuta muarobaini/dawa kuhakikisha njaa haitokei tena kwenye nchi yenu? kuna mito kama TANA, kuna maziwa ya maji fresh n.k, fanyeni umwagiliaji kila mwaka mnaifanya africa kuonekana sehemu ya famine. huwa mna mipango gani kwenye hilo?
Unatoa wapi ubavu wa kutushauri? Yaani na rasilimali zote hizo nchini kwenu nyie na chama chenu mmefanikiwa kufanya nini cha maana tangia uhuru? Ili kupunguza umasikini wa wananchi wenu? Mpo kwenye nafasi ya ngapi ndani ya hiyo orodha hapo ambayo tunaijadili?
 
Unatoa wapi ubavu wa kutushauri? Yaani na rasilimali zote nchini kwenu nyie na chama chenu mmefanikiwa kufanya nini cha maana tangia uhuru? Ili kupunguza umasikini wa wananchi wenu? Mpo nambari ngapi kwenye hili orodha ambayo tunaizungumzia hapa?
tunawashauri kwasababu tunawaonea huruma, na chakula chenu ni ugali tuu hakuna vyakula vingine, tukifung akuwauzia mahindi mtakufa nyie.
 
Uzuri upi bongo ndg yangu?
Kenya ni wapambanaji sana huwezi kulinganisha na wabongo.
Kenya wako mbali sana wakuu.

Pili huduma za jamii Kenya zipo juu na hiki ni moja ya kigezo...elimu, hospitali, miundombinu nk

Hata makusanyo yao ya kodi wametupita zaidi ya mara mbili.
Hebu fuatilia uone
Achana na cooking data nenda Kenya uone , bila chakula Cha Tanzania wakenya wanakufa , Yani ukiona border ya silari inavyo pitisha ng'ombe mpaka utaogopa wanaisha
 
tunawashauri kwasababu tunawaonea huruma, na chakula chenu ni ugali tuu hakuna vyakula vingine, tukifung akuwauzia mahindi mtakufa nyie.
Ucha kuwaza kienyeji kienyeji hivyo jombaa. Bandari za Mombasa na Lamu zina shipping lines na connection nyingi sana za kimataifa. Hata sasa hivi kunazo meli ambazo ziliagizwa na GOK kutoka Brazil na Mexico. Zipo Mombasa zimefikisha mzigo wa mahindi.
Kwa akili zako hizi ni sawa na kusema kwamba ukikosa bidhaa fulani kwenye duka moja na hela unazo, huwa unarudi zako home mikono mitupu. Badala ya kununua bidhaa zenyewe kwenye duka lingine.
 
Achana na cooking data nenda Kenya uone , bila chakula Cha Tanzania wakenya wanakufa , Yani ukiona border ya silari inavyo pitisha ng'ombe mpaka utaogopa wanaisha
Unaongea takataka sana.
Hicho chakula cha Tanzania tunawapa bure?.
Jiulize kwa ukama unavyowasumbua wanawezaje kuishi?.
Wakenya ni wabunifu na wanajua kuisaka pesa kwa kila njia halali na isivyo hslali.
Jamaa hawalali usiku kucha wanachonga mawe ya kujengea.
Mimi nipo Nairobi kila mara watu hawalali.

Sisi ni nchi ya wavivu na kuendekeza siasa za wizi tu.
Tusipojiangalia tutakuwa taifa la mwisho kimaendeleo East Afrika.
Note; mimi ni Mtanzania lkn sina mentality za kijinga za ubishi usiokuwa na maana wa Kitanzsnia.
Tuamke tuache ujinga na majungu.
 
Wee,sema kweli? Kwann?
Wameatuacha mbali sana hasa kuanzia miundombinu.
Sisi tunahangaika sijui na fly over ya 4,...tena hadhi ya madaraja lakini wenzetu wana fly over zisizo na idadi.
Kubwa zaidi wamejenga fly over ya ukweli urefu zaidi ya 25km.
 
Tunanunua sio kupewa. Sawa na mnavyonunua bidhaa za viwandani kutoka Kenya. Mtoe wapi hela za 'kuilisha' Kenya nyie?
Tanzania isipowauzia chakula mtakula nini!?..tunawalisha hata Kama mnanunua,bidhaa gani za viwandani tunazonunua toka Kenya ambazo sisi hatuna!?
 
Tuliza fuvu , wavivu wanalishaje nchi nyingine 😂😂😂
Wacha ufaller dogo.
Nikujuze kuwa kwasasa Wakenya wanafadhili wakulima wa Tanzania kuanzia upandaji hadi msimu wa kuvuna ili uwauzie wao.
Unaishi namtumbo hujui mambo yanaendaje
 
Back
Top Bottom