Mataifa 10 ya Afrika yenye viwango vya juu vya ubora wa maisha

Mataifa 10 ya Afrika yenye viwango vya juu vya ubora wa maisha

Kiwango cha furaha ambacho watu wanahisi ni motisha ya kutosha kwao kufanya kazi kuelekea kulinda na hata kuinua ustawi uliosemwa, wakati huo huo kufichua kwamba kanuni na kazi zao za kiuchumi hazina ufanisi.

Kwa maneno rahisi zaidi, nchi inapotumiwa kwa kiwango cha maisha kinachofaa, huwa wanafanya kazi kwa bidii ili kuiendeleza, na bidii hii inaakisi vyema uchumi. Hii ndiyo sababu mataifa mengi yaliyofanikiwa zaidi ulimwenguni kwa kawaida hujitahidi sana kulinda njia yao ya maisha.

Kwa bahati mbaya, Afrika imekuwa katika mchanganyiko huu. Katika historia changa ya bara hili, Waafrika wamelazimika kuvumilia baadhi ya hali mbaya zaidi za maisha duniani. Hata hivyo, katika siku za hivi majuzi bara hilo limekuwa na ufahamu wa njia bora ya maisha, na mataifa mengi katika bara hilo yamekuwa yakifanya kazi bila kuchoka ili kufikia wakati ujao unaotamanika.

View attachment 2480598Mataifa 10 ya Afrika yenye viwango vya juu vya ubora wa maisha

Business Insider Africa
Sisi wa Uchumi wa kati tuko wapi?
 
Kenya?!!!! Kwa lipi?

Mm naona wabongo tunaishi vizuri kuliiko wakenya
Dah nimeamini kwamba Kenya kwa akili za watanzania wengi ndio huwa SI unit. Tena kwenye masuala karibia yote ya kimaendeleo, kisiasa na kijamii. Kwenye comments naona wewe na wenzako wengi mlianza kwa kulitafuta jina la Kenya, kwanza, kwenye orodha hiyo. Badala ya jina la nchi yenu Tz. Proudly Kenyan. 🇰🇪
 
Wewe unaamini kweli Kenya Ina ubora wa maisha na furaha kuliko Tanzania!?

Kwamba Kenya Kuna maisha mazuri na furaha kuliko Tanzania!?
Huwa wanasema kwa kimombo, No Research, no right to speak! Tupe takwimu zinazoeleweka, kutoka kwa tafiti zako hizo. Ambazo zitakuwa zimekidhi vigezo vyote vya kuitwa tafiti kamili za kisayansi. Vitu kama hivi havitakagi 'mafeelings'. Chuki zako dhidi ya Kenya hazitaipaisha nchi yako, wala hazitaipunguzia Kenya.
 
Ubora wa maisha wametupita sana.
Kenya kuna matajiri wengi kuliko Tanzania
Utajiri na Furaha ya Maisha vitu viwili tofauti. Kifupi vigezo vya furaha kuvi Quantify ni ngumu.

Tunaishi ulimwengu fake sana, ambao furaha ni idadi ya hela ama show off nyengine ambazo haziakisi uhalisia.

Overall Watanzania wengi wana furaha sana, kushinda nchi nyingi Duniani.
 
Kenya furaha ya moyoni au machoni?

Kenya ambako kwa macho yangu naapa mbele za Mungu niliona Kisumu kundi kubwa la watoto wa shule wakiwa peku bila viatu wanaenda shule! Nairobi Ina watu wengi wanatembea peku Tz hakuna mtu Hana viatu!

Kenya Ina sera ambayo matajiri wanachukua kwa Kasi ardhi ya watu maskini kwa kuwanyonga na bei ya chini, inaitwa willing to sell and willing to buy! magorofa ya kupanga hayana hata rangi!

Kenya ambayo pale Latema Road Kuna lodge ukiingia ndani unakuta sex workers kama kumi uchague wa kulala nae ni sehemu ya package ya kulipia chumba, mi nilichagua mweupeee!!

Kenya ambao wamefisadi mkopo wa SGR ikaishia Naivasha na Sasa TZ ikimaliza ujenzi wa SGR yake Bandari ya Mombasa Itakosa mizigo ya maziwa makuu na itafungwa😃

Kenya ambayo inalemewa na madeni ya wachina karibu nchi itauzwa!!

Kenya ambao ajira hakuna vijana wanakimbia kwenda nje wengine wanakuja TZ Kufundisha mashuleni English na Wala hakuna mtz anawaza kwenda kuishi Kenya!

Kenya ambako ukabila umeshika hatamu na hakuna mjaluo ana haki ya kuongoza nchi sababu ni wakikuyu walipigana vita ya mau mau kudai uhuru!

Kenya pale Nairobi wamechanganyikiwa na maisha magumu wakisikia kiswahili Cha tz ukiulizia mtu Njia ya Ngong anakuelekeza kwingine majengo! Askari tu ndo wanakuelekeza Njia sahihi!

Kenya ambako kuna kundi la wahuni wa Mungiki Gang ni hatari sana kila raia anawaogopa! Kila wakati utasikia washalipua mahali magari ya polisi yanaenda hiyo furaha ni ya kitu gani?

Kenya ambayo unavaa suti tu Kenyatta road na Tom Mboya street Huku mfukoni una kitambaa Cha kufuta jasho tu mia moja tu huna!

Kenya ambako Nairobi usiku River Road Kuna watu wengi wanalala vibarazani upenuni mwa maduka hawana shelter!

Kenya ambako msosi tu hakuna ukame umezidi miaka kumi Mvua wanaona kwenye tv za tz chakula ni ghali kinatoka tz! Mara lawama kibao kuwa mvua zao tz wameiba maana vipimo vinaonesha mvua kubwa ila tone hakuna mvua yanyesha tz!

Kenya ambayo Al shababy wanailipua wanavyotaka na niliona Bisil ni mji wa wasomali watupu. Raia hawana amani Al shababy wanaua Wanavyuo! Kila mtu ana hofu!

Kenya ambayo nzige locust wanaishambulia Kila siku wakifika mpaka wa Tanzania pale Taveta wanageuza na kurudi Kenya! Wakenya hawaelewi kwanini wanafanya utafiti tz Kuna nini wadudu waharibifu wanapaogopa!

Kenya ambayo magorofa ya Nairobi mengi ni ya wasomali!

Furaha yao yatokana na nini?
 
Duh! Inasikitisha sana. Mataifa 4 yote ya juu, yapo Afrika lakini siyo mataifa ya Waafrika weusi, isipokuwa Afrika Kusini ambayo nayo, bila shaka ni kwa sababu ya hao wazungu.

Waafrika halisi, weusi, tunakwama wapi? Hata hayo mengine 5 kwenye list ni yale ambayo yana pipulation kubwa ya wazungu.
 
Duh! Inasikitisha sana. Mataifa 4 yote ya juu, yapo Afrika lakini siyo mataifa ya Waafrika weusi, isipokuwa Afrika Kusini ambayo nayo, bila shaka ni kwa sababu ya hao wazungu.

Waafrika halisi, weusi, tunakwama wapi? Hata hayo mengine 5 kwenye list ni yale ambayo yana pipulation kubwa ya wazungu.
 
Wabongo wengi wanaijua Kenya kupitia vijiwe vya kahawa.
Utasikia Kenya kuna nini? Na mfano wanaotoa ni Kibera haha
Ndio huyu hapa mmoja wa sampuli ya hao unaowazungumzia, wahanga wa hadithi za vijiwe vya kahawa. Eti jijini Nairobi wakenya wanatembea miguu peku. 😄😄😄
Kenya furaha ya moyoni au machoni?

Kenya ambako kwa macho yangu naapa mbele za Mungu niliona Kisumu kundi kubwa la watoto wa shule wakiwa peku bila viatu wanaenda shule! Nairobi Ina watu wengi wanatembea peku Tz hakuna mtu Hana viatu!

Kenya Ina sera ambayo matajiri wanachukua kwa Kasi ardhi ya watu maskini kwa kuwanyonga na bei ya chini, inaitwa willing to sell and willing to buy! magorofa ya kupanga hayana hata rangi!

Kenya ambayo pale Latema Road Kuna lodge ukiingia ndani unakuta sex workers kama kumi uchague wa kulala nae ni sehemu ya package ya kulipia chumba, mi nilichagua mweupeee!!

Kenya ambao wamefisadi mkopo wa SGR ikaishia Naivasha na Sasa TZ ikimaliza ujenzi wa SGR yake Bandari ya Mombasa Itakosa mizigo ya maziwa makuu na itafungwa😃

Kenya ambayo inalemewa na madeni ya wachina karibu nchi itauzwa!!

Kenya ambao ajira hakuna vijana wanakimbia kwenda nje wengine wanakuja TZ Kufundisha mashuleni English na Wala hakuna mtz anawaza kwenda kuishi Kenya!

Kenya ambako ukabila umeshika hatamu na hakuna mjaluo ana haki ya kuongoza nchi sababu ni wakikuyu walipigana vita ya mau mau kudai uhuru!

Kenya pale Nairobi wamechanganyikiwa na maisha magumu wakisikia kiswahili Cha tz ukiulizia mtu Njia ya Ngong anakuelekeza kwingine majengo! Askari tu ndo wanakuelekeza Njia sahihi!

Kenya ambako kuna kundi la wahuni wa Mungiki Gang ni hatari sana kila raia anawaogopa! Kila wakati utasikia washalipua mahali magari ya polisi yanaenda hiyo furaha ni ya kitu gani?

Kenya ambayo unavaa suti tu Kenyatta road na Tom Mboya street Huku mfukoni una kitambaa Cha kufuta jasho tu mia moja tu huna!

Kenya ambako Nairobi usiku River Road Kuna watu wengi wanalala vibarazani upenuni mwa maduka hawana shelter!

Kenya ambako msosi tu hakuna ukame umezidi miaka kumi Mvua wanaona kwenye tv za tz chakula ni ghali kinatoka tz! Mara lawama kibao kuwa mvua zao tz wameiba maana vipimo vinaonesha mvua kubwa ila tone hakuna mvua yanyesha tz!

Kenya ambayo Al shababy wanailipua wanavyotaka na niliona Bisil ni mji wa wasomali watupu. Raia hawana amani Al shababy wanaua Wanavyuo! Kila mtu ana hofu!

Kenya ambayo nzige locust wanaishambulia Kila siku wakifika mpaka wa Tanzania pale Taveta wanageuza na kurudi Kenya! Wakenya hawaelewi kwanini wanafanya utafiti tz Kuna nini wadudu waharibifu wanapaogopa!

Kenya ambayo magorofa ya Nairobi mengi ni ya wasomali!

Furaha yao yatokana na nini?
 
Ndio huyu hapa mmoja wa sampuli ya hao unaiwazungumzia, wahanga wa hadithi za vijiwe vya kahawa. Eti jijini Nairobi wakenya wanatembea miguu peku. 😄😄😄
Daah huwa siwazingatii hao vilema wa akili.
Nairobi ni miongoni ma majiji yanayoheshimika Afrika.
Leo mtu anaongelea kutembea peku?
 
Kiwango cha furaha ambacho watu wanahisi ni motisha ya kutosha kwao kufanya kazi kuelekea kulinda na hata kuinua ustawi uliosemwa, wakati huo huo kufichua kwamba kanuni na kazi zao za kiuchumi hazina ufanisi.

Kwa maneno rahisi zaidi, nchi inapotumiwa kwa kiwango cha maisha kinachofaa, huwa wanafanya kazi kwa bidii ili kuiendeleza, na bidii hii inaakisi vyema uchumi. Hii ndiyo sababu mataifa mengi yaliyofanikiwa zaidi ulimwenguni kwa kawaida hujitahidi sana kulinda njia yao ya maisha.

Kwa bahati mbaya, Afrika imekuwa katika mchanganyiko huu. Katika historia changa ya bara hili, Waafrika wamelazimika kuvumilia baadhi ya hali mbaya zaidi za maisha duniani. Hata hivyo, katika siku za hivi majuzi bara hilo limekuwa na ufahamu wa njia bora ya maisha, na mataifa mengi katika bara hilo yamekuwa yakifanya kazi bila kuchoka ili kufikia wakati ujao unaotamanika.

View attachment 2480598Mataifa 10 ya Afrika yenye viwango vya juu vya ubora wa maisha

Business Insider Africa
Tunasubiri uwanja waliotuahidi
 
Unamaanisha katiba mpya au mimi nimekosea??
Yep, katiba mpya ya Kenya 2010 imekuwa ni baraka isiyo na kifani, kwa wakenya wa matabaka yote. Ugatuzi umebadilisha na unazidi kubadilisha kabisa, kwa kasi kubwa sana, maisha ya wakenya.

Sasa hivi wakenya kule mashinani, kwenye Gatuzi(County) zao wanajiamulia wenyewe maendeleo ambayo watayapa kipaumbele. Kupitia serikali za Gatuzi zao(kigezo cha 'public participation' kipo wazi kisheria), bila kutegemea ziara au fadhila za rais aliye madarakani. Wala mipango au maamuzi ya serikali kuu jijini Nairobi.
 
Huwa wanasema kwa kimombo, No Research, no right to speak! Tupe takwimu zinazoeleweka, kutoka kwa tafiti zako hizo. Ambazo zitakuwa zimekidhi vigezo vyote vya kuitwa tafiti kamili za kisayansi. Vitu kama hivi havitakagi 'mafeeeling'. Chuki zako dhidi ya Kenya hazitaipaisha nchi yako, wala hazitaipunguzia Kenya.
Nimesema wapi naichukia Kenya!!?..kwenye uchumi wa kibepari tarakimu za ukuaji uchumi haziakisi Hali halisi ya maisha ya mmoja mmoja,Kenya Kuna maisha magumu mzee,usione wake ya Wanamnyenyekea boss kazini,halijaja Bure hilo
 
Kenya hiyo ambayo jana nimeiona mashirika ya kutoa misaada ikitafuta hela kwa ajiri ya nchi zenye watoto wenye utapia mlo na Kenya ikiwemo hizi takwimu zengine zimekaa kipropaganda
 
Umewahi kufika kenya ? ile hamuikuti hata mfanyeje !
Kenya mtandao wa barabara ya lami hovyo,nimetoka kilifi,Mombasa mpaka Nairobi,hakuna Cha ajabu,njaa njaa,kwa GDP na budget wanatuzidi,lakini wangapi wanaguswa na Hilo!!?..china Wana uchumi mkubwa kuliko uingereza na ujerumani,wapi Kuna maisha mazuri na furaha!?
 
Wewe jibu hoja zote nilizosema!

Nairobi nimefika zaidi ya mara 20 I talk from walking on the streets, nimelala sana River Road mtaa wenye ofisi za Dar Express bus, nyuma Kuna mtaa una ofisi za Akamba bus. nimeona Kila kitu kwa macho yangu! Pale Latema Kuna Banda la kuvutia sigara Nairobi wanajifanya wazungu hakuna kuvuta fegi mitaani!

Huwa nikitumia Uwanja wa Jomo Kenyatta tunabook KLM kwenda ulaya wanatupandisha Kenya Airways wahudumu wa kenya wabaya wa sura! Weusiii!
Ndio huyu hapa mmoja wa sampuli ya hao unaiwazungumzia, wahanga wa hadithi za vijiwe vya kahawa. Eti jijini Nairobi wakenya wanatembea miguu peku. 😄😄😄
 
Back
Top Bottom