Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri upi bongo ndg yangu?Kenya?!!!! Kwa lipi?
Mm naona wabongo tunaishi vizuri kuliiko wakenya
nidhamu kwa mamlaka kuheshimu katiba, sheria na haki za binadamu.Unamaanisha katiba mpya au mimi nimekosea??
Umewahi kufika kenya ? ile hamuikuti hata mfanyeje !Kwamba Kenya Kuna maisha mazuri na furaha kuliko Tanzania!?
Wabongo wengi wanaijua Kenya kupitia vijiwe vya kahawa.Umewahi kufika kenya ? ile hamuikuti hata mfanyeje !
Ule mwenge ni kafara auLaana ya kafara la kukimbiza moto bado inaishi
Ahaa! Kama hiki ni moja ya vigezo basi ni sawa. Maana wao SGR unafanya kazi, hosp zao ni (mf. Nairobi Hospital) ninkimbilio la nchi nyingi za Afrika mashariki na kati wakiwemo viongozi.Pili huduma za jamii Kenya zipo juu na hiki ni moja ya kigezo...elimu, hospitali, miundombinu nk
Naam wanapoongelea ubor wa maisha vigezo vikuu;Ahaa! Kama hiki ni moja ya vigezo basi ni sawa. Maana wao SGR unafanya kazi, hosp zao ni (mf. Nairobi Hospital) ninkimbilio la nchi nyingi za Afrika mashariki na kati wakiwemo viongozi.
Lisu alipelekwa Nairobi
JPM alipelekwa Nairobi
Nkurunzinza alipelekwa Nairobi
Upande wa Zambia naunga mkono hoja,..mpaka natamani kuhamia huko.,..wale jamaa hawana complications za ajabu ajabu.Ukifanya study utagundua waafrika walikuwa na unafuu wa maisha kabla ya UHURU. Baada ya UHURU Hakuna nchi ya kiafrica iliyoweza kuleta unafuu wa maisha kwa raia wake. Angalau kidogo nchi za kaskazin Mwa afrika.
Yaana Zambia wana maisha bora kuliko Rwanda,Uganda na Tanzania?sidhaniUpande wa Zambia naunga mkono hoja,..mpaka natamani kuhamia huko.,..wale jamaa hawana complications za ajabu ajabu.
Maisha Bora siyo kuwa na maghorofa,..wazambia wako very simple hawacomplicate maisha.,..hiyo ndo tafsiri yangu juu ya Maisha Bora.Yaana Zambia wana maisha bora kuliko Rwanda,Uganda na Tanzania?sidhani
Fake news by 100%,Kama kawaida kichwa cha mwendawazimu kinaburuza mkia .
NI dhahiri habari hii haina ukweli na uhalisia ndani yake!Yaana Zambia wana maisha bora kuliko Rwanda,Uganda na Tanzania?sidhani
Fake news by 100%,
Kwa kutokuwepo Seychelles! /Kenya Pana nini?
Inamaana taasisi zetu wenyewe hatuziamini 😁😁Kenya pana nini?
Lissu alipelekwa kenya
Nkuruzinza alipelekwa Kenya
Magufuli alipelekwa Kenya akafia huko, ndio wakamrudisha.